Angalia video Hii kisha utoe hukumu kwa haki.

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
11,252
Reaction score
24,089
Binafisi mimi nimetokea kwenye familia ya wafugaji wa mifugo karibia yote yaani mbuzi,kondoo na hata ng'ombe .

kipindi tukiwa tunachunga ilikuwa ni fahari sana kulisha mazao ya wakulima tena ikitokea mkalisha na msionwe au kukutwa mtajipongeza kweli.


Ukweli usiosemwa ukisikia vita ya wakulima na wafugaji jua tu mchokozi ni mfugaji kwa 97%.

Hii video ukiangalia vizuri ni zaidi ya ng'ombe ya 40 wanachungia kwenye mahindi ya mkulima imagine umelima kwa gharama kubwa then unafika shamba unakuta yameliwa yote na mifugo.

Bahati mbaya sana ukienda kudai haki yako utapewa kiasi kidogo tu maana wafugaji huwa wako karibu sana na ma bwana shamba na viongozi wengine kwa kuwapa maziwa na kuwalimia bure mashamba yao.

Hivyo viongozi wanakuwa hawana meno kabisa kuhukumu kwa haki.

Matokeo yake ndo haya mkulima ananunua asali hata lita3 tu anapaka paka kwenye mazao yake ili ng'ombe akila habari ya uzima inaishia hapo!

Wengine hupulizia sumu pia.

Je wewe utahukumuje hii kesi?
 
Binafisi mimi nimetokea kwenye familia ya wafugaji wa mifugo karibia yote yaani mbuzi,kondoo na hata ng'ombe .

kipindi tukiwa tunachunga ilikuwa ni fahari sana kulisha mazao ya wakulima tena ikitokea mkalisha na msionwe au kukutwa mtajipongeza kweli.


Ukweli usiosemwa ukisikia vita ya wakulima na wafugaji jua tu mchokozi ni mfugaji kwa 97%.

Hii video ukiangalia vizuri ni zaidi ya ng'ombe ya 40 wanachungia kwenye mahindi ya mkulima imagine umelima kwa gharama kubwa then unafika shamba unakuta yameliwa yote na mifugo.

Bahati mbaya sana ukienda kudai haki yako utapewa kiasi kidogo tu maana wafugaji huwa wako karibu sana na ma bwana shamba na viongozi wengine kwa kuwapa maziwa na kuwalimia bure mashamba yao.

Hivyo viongozi wanakuwa hawana meno kabisa kuhukumu kwa haki.

Matokeo yake ndo haya mkulima ananunua asali hata lita3 tu anapaka paka kwenye mazao yake ili ng'ombe akila habari ya uzima inaishia hapo!

Wengine hupulizia sumu pia.

Je wewe utahukumuje hii kesi?
View attachment 3442383
Hawa wafugaji walinifanya nikachukia kabisa shughuli za kilimo.Na nikajua pia kuwa nina uwezo mkubwa wa kuhimili mshituko.

Wafugaji hasa wa mkoa wa Morogoro Mungu anawaona.
 
Kwakweli mimi ni mfugaji lakini hili swala la kulisha mifugo kwenye mashamba ya wakulima siliafiki kabisa na hata kila mara tunapokutana wafugaji nalizungumzia sana hilo maana lina leta uadui mkubwa sana kiasi inafika mahala watu wanashindwa hata kuzikana .
 
Binafisi mimi nimetokea kwenye familia ya wafugaji wa mifugo karibia yote yaani mbuzi,kondoo na hata ng'ombe .

kipindi tukiwa tunachunga ilikuwa ni fahari sana kulisha mazao ya wakulima tena ikitokea mkalisha na msionwe au kukutwa mtajipongeza kweli.


Ukweli usiosemwa ukisikia vita ya wakulima na wafugaji jua tu mchokozi ni mfugaji kwa 97%.

Hii video ukiangalia vizuri ni zaidi ya ng'ombe ya 40 wanachungia kwenye mahindi ya mkulima imagine umelima kwa gharama kubwa then unafika shamba unakuta yameliwa yote na mifugo.

Bahati mbaya sana ukienda kudai haki yako utapewa kiasi kidogo tu maana wafugaji huwa wako karibu sana na ma bwana shamba na viongozi wengine kwa kuwapa maziwa na kuwalimia bure mashamba yao.

Hivyo viongozi wanakuwa hawana meno kabisa kuhukumu kwa haki.

Matokeo yake ndo haya mkulima ananunua asali hata lita3 tu anapaka paka kwenye mazao yake ili ng'ombe akila habari ya uzima inaishia hapo!

Wengine hupulizia sumu pia.

Je wewe utahukumuje hii kesi?
View attachment 3442383
Hii serikali legevu kama.ya kikwete kipindi cha magufuli huu ujinga ulikoma. Haya mambo yalishamiri awamu ya 4 sasa yanarudi tena
 
D
Binafisi mimi nimetokea kwenye familia ya wafugaji wa mifugo karibia yote yaani mbuzi,kondoo na hata ng'ombe .

kipindi tukiwa tunachunga ilikuwa ni fahari sana kulisha mazao ya wakulima tena ikitokea mkalisha na msionwe au kukutwa mtajipongeza kweli.


Ukweli usiosemwa ukisikia vita ya wakulima na wafugaji jua tu mchokozi ni mfugaji kwa 97%.

Hii video ukiangalia vizuri ni zaidi ya ng'ombe ya 40 wanachungia kwenye mahindi ya mkulima imagine umelima kwa gharama kubwa then unafika shamba unakuta yameliwa yote na mifugo.

Bahati mbaya sana ukienda kudai haki yako utapewa kiasi kidogo tu maana wafugaji huwa wako karibu sana na ma bwana shamba na viongozi wengine kwa kuwapa maziwa na kuwalimia bure mashamba yao.

Hivyo viongozi wanakuwa hawana meno kabisa kuhukumu kwa haki.

Matokeo yake ndo haya mkulima ananunua asali hata lita3 tu anapaka paka kwenye mazao yake ili ng'ombe akila habari ya uzima inaishia hapo!

Wengine hupulizia sumu pia.

Je wewe utahukumuje hii kesi?
View attachment 3442383
Dioo diooo🤣🤣🤣🤣
 
Kwakweli mimi ni mfugaji lakini hili swala la kulisha mifugo kwenye mashamba ya wakulima siliafiki kabisa na hata kila mara tunapokutana wafugaji nalizungumzia sana hilo maana lina leta uadui mkubwa sana kiasi inafika mahala watu wanashindwa hata kuzikana .
Nikweli kabisa mkuu Uadui husababishwa na sisi wafugaji wakulima usipogusa mazao yake Wala Hana habari nawewe
 
Back
Top Bottom