Mara bandarini kuna tatizo, mara tra mfumo hauko sawa mara tanesco mfumo unazingua mara albino wameanza uliwa tena....
Mama anacheka tu mitandaoni...!
aliowateua wanafanya kazi gani.?
yaan yeyr ndio afanye kazi za mawazir. wakurugenzi.. makatib wakuu? aliowateua hawana uzoefu kazin mpaka wapigiwe kelele
 
Timu Chato wafahamu Mh. Samia Suluhu Hassan siyo Queen Regent bali ni Rais wa Jamhuri ya Muungano mwenye mamlaka kamili na siyo 'mama yetu au Queen Regent'

Wanaosema 'Mama Yetu' ni ndugu zetu wanaotaka kumfanya mwendazake ni 'baba' yetu hivyo wanataka kumpa cheo kandamizi Mh. Samia Suluhu Hassan rais wa Jamhuri ya Muungano kuwa ni 'mama yetu ' ili wapate wasaa na nafasi ya kusema tunamkumbuka 'baba' angekuwepo 'mama' .... ukweli wanataka kumfunga hatamu Mh. Rais Samia Suluhu Hassan asifanye mambo anayoyaamini.

A regent (from the Latin regens: ruling, governing) is a person appointed to govern a state pro tempore (Latin: 'for the time being') because the regnant monarch is a minor, is absent, abdicated the throne, is incapacitated or dead, or unable to discharge the powers and duties of the monarchy.
 
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Pumba tu hizi....
Jana tu tumeona wabunge wa CCM wanavyolia miradi kibao ipo ktk ilani lkn for years lkn haijaguswa na mingine hata mwaka huu unaokwisha...
Sasa Mama hata mwaka bado unaongea vitu gani ?

Au unadhani nae atakuwa mshamba wa kutembea na mabulungutu ktk gari na stage watu wa kuwapa ?

Tena shukuruni yupo busy kuziba mashimo na makovu ya huyo mtu wenu alietesa watu sana kwa kivuli cha kujifanya mzalendo....bingwa wa kubambikia watu kesi !!!
Yupo wapi sasa....mfateni kama mmem miss
 
'Nawaomba sana watumishi mchape kazi"
Alisikika mlevi mmoja eti anamuomba nguruwe kuoga!
 
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Wewe bila shaka ni mtumishi wa TRA kwenye kitengo cha Task Force naona ulikuwa na maslahi katika kunyang'anya pesa za watu, kwahiyo naona unaona Rais anakuvuruga kukuambia usitumie nguvu katika kudai kodi.
 
Kwani mtoa mada kuna ambalo kalibainisha sio la kweli?
Kitendo cha kutaja sehemu zilizoonyesha kasoro ni kuonesha wenye nia ovu tayari, na anakuwa kwenye kundi la wanaotaka tupige hatua.
Wewe usiyetaka kuyaona hayo au hata ukiyaona unayachukulia kawaida wewe ndie mwenye nia ovu usiyetaka tupige hatua.
Unahakika na hilo,mashaka yangu wakwamia awamu yao wamekutana
 
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani...
We endelea kumshangaa wakati wengine tukifurahia ujio wake kuja kufuta machozi watu walioteseka, kuonewa na kubaguliwa
 
Hizo ghasia na matukio ya aina hiyo ni wazi yalibaki historia kwa kipindi cha miaka 5 iliyopita.

Ajabu kwa muda mfupi kuanzia mwezi wa tatu mwaka huu mambo hayo mabaya yameanza kurejea/kurejeshwa tena.

Sasa ni lipi tatizo ama mapungufu ya mamlaka zinazo husika hadi uharamia huo urejee kwa kasi ya ajabu namna ile?!
 
Hizo ghasia na matukio ya aina hiyo ni wazi yalibaki historia kwa kipindi cha miaka 5 iliyopita.

Ajabu kwa muda mfupi kuanzia mwezi wa tatu mwaka huu mambo hayo mabaya yameanza kurejea/kurejeshwa tena.

Sasa ni lipi tatizo ama mapungufu ya mamlaka zinazo husika hadi uharamia huo urejee kwa kasi ya ajabu namna ile?!
Sukuma gang wanamhujumu mama.
 
Waziri wa mambo ya ndani anafanya nini? Na IGP anafanya nini na maaskari wake? Hebu waunde kikosi kitembee mtaa kwa mtaa kujua kazi ya kila mtu na suspect awekwe kwenye kikaango cha ujunguzi mbona huo wizi utakwisha.
 
Back
Top Bottom