mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Lkn hata Lowassa 2015 kwny Kampeni aliahidi kuwatoa wakina babu Seya.Ni mpango wa kishamba sana ! Halafu hawajifunzi tu , walipomtoa Babu Seya walidhani ingewabeba lakini matokeo yake ikawa sifuri
siyo kwa kutafuta kiki hata hivyoLkn hata Lowassa 2015 kwny Kampeni aliahidi kuwatoa wakina babu Seya.
sasa jiwe afure kwa ajili ya nini?Nasikia kuna mfungwa kagomea msamaha,sijui jiwe kafuraje huko!!
Mayalla maana yake njaa. Njaa mbaya sana inaweza kuathiri hata uwezo wa kufikiri mayalla uwezo wako wakufikiri umeathiriwa na njaa yako.Rais Magufuli atoa msamaha wa kihitoria wa wafungwa 5,33!.
Huu ni msamaha mkubwa kabisa kuwahi kutokea katika historia ya Tanzania tangu tupate uhuru.
Kiukweli rais Magufuli atabarikiwa sana. Hata kama rais Magufuli ana makosa yake madogo madogo ya kibinaadamu,
Ila alipomalizia ameharibu kusema msamaha huu umetolewa na Mungu ambapo sasa connotation yeye ni mungu!.
P