Mathayo Fungo,
Msimsifie sana anaweza akafungua wafungwa wote ikawa balaa.
Msimsifie sana anaweza akafungua wafungwa wote ikawa balaa.
Wahuni hawa juzi walikuwa wakwanza kupanda ndegeWengine walikuwa wanatukana ndege zetu?
Wapo wapi sasa,aibu imewakamata hawasemi tena wanapanda kimya kimya
baada ya 9-desemba zinakaa parking tena zinasubiri sherehe za mwakani.Wengine walikuwa wanatukana ndege zetu?
Wapo wapi sasa,aibu imewakamata hawasemi tena wanapanda kimya kimya
Wewe muache lakini pokea taarifaHuyu mtoa thead ni msemaji wa serikali sijui , jamaa inaonekana halali , usiku na mchana anapost mambo inayofanya serikali, huenda ametengewa fungu special Kwa ajili ya kutoa taarifa jamii forum
Usikenue meno ukiwa bado unatembelea mitaa ile ile michafu...!!Wengine walikuwa wanatukana ndege zetu?
Wapo wapi sasa,aibu imewakamata hawasemi tena wanapanda kimya kimya
Tatizo lako ni lipi sasa?Huyu mtoa thead ni msemaji wa serikali sijui , jamaa inaonekana halali , usiku na mchana anapost mambo inayofanya serikali, huenda ametengewa fungu special Kwa ajili ya kutoa taarifa jamii forum
No sweat, acha zilae parking. Si zetu? Tatizo ni nini?baada ya 9-desemba zinakaa parking tena zinasubiri sherehe za mwakani.
Kwa hiyo wewe umesoma reply yangu huku lengo lako kuu ni kutaka kujua tatizo langu liko wapi , nakushaur rudia tena kusoma reply yangu bila kuwa na mlengo wowote , utanielewa nilimanisha nnTatizo lako ni lipi sasa?
zenu na nani wakati bajeti ya kuzinunua haikupitishwa na bunge?No sweat, acha zilae parking. Si zetu? Tatizo ni nini?
Hata mie nimemuona kule twita kwa Miladi AyoNasikia kuna mfungwa kagomea msamaha,sijui jiwe kafuraje huko!!
Ni mpango wa kishamba sana ! Halafu hawajifunzi tu , walipomtoa Babu Seya walidhani ingewabeba lakini matokeo yake ikawa sifuri
sina uhakika juu ya hilihuku baadhi ya wafungwa wakiwa tayari wamepewa maelekezo ya nini waongee kwa waandishi walio ongozana nao kuhusu sifa kwa Rais.
Siasa unazozioona zinafanywa na hao waliopewa msamaha wakisaidiana na ndugu na jamaa zao baada ya kuzidiwa na furaha.
Rais ametoa agizo la watu hao kuachiwa mapema na bila kubughudhiwa na mtekelezaji wa agizo Hilo moja kwa moja ni DC na RC na agizo Hilo lisipokelezwa kwa matakwa ya mtoa agizo ,ni ma-RC na ma-DC ndio wataulizwa