Rais Samia ashiriki Maadhimisho ya Miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara na Mkutano wa Kwanza wa Kitaifa wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,812
11,987
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara na Mkutano wa Kwanza wa Kitaifa wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 leo tarehe 09 Desemba, 2023 katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete.


View: https://www.youtube.com/live/wD6xPrxfO1M?si=evBA8PUCdgDxTepN

===
IMG_9303.jpeg
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara na Mkutano wa Kwanza wa Kitaifa wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 leo tarehe 09 Desemba, 2023 katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete.
Mnatusumbua vichwa vyetuuuuu.....akija rais mwingine anaziacha hizo dira na miomgozo anakuja na ujinga wake anaacha kufuata hizo mnatuchoshaaas
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara na Mkutano wa Kwanza wa Kitaifa wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 leo tarehe 09 Desemba, 2023 katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete.


Mkuu hakujawahi kuwa na Uhuru wa Tanzania Bara , ni Uhuru wa Tanganyika , Inasikitisha sana ikiwa hata wewe unaingia kwenye upotoshaji huu .

Mnaogopa nini kuitaja Tanganyika , mkiitaja mtafanywaje , na atakayewafanya hivyo ni nani na kwanini ?
 
Uhuru wa Mtanganyika komando ni Mswahili wa Kizimkazi..........Hii nchi tuna unafiki mwingi sana ndiyo maana hatuendelei
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara na Mkutano wa Kwanza wa Kitaifa wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 leo tarehe 09 Desemba, 2023 katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete.


Uhuru wa Tanganyika Kiongozi Mkuu kutoka taifa lingine Zanzibar.Hii nchi bado inasafari ndefu sana katika suala zima la kujitambua.

Mwl Nyerere katuachia katiba ya ajabu ajabu kiasi kwamba hta wananchi hawajui thamani ya nchi yao.Hakika Mwl Nyerere hastahili utakatifu hata kidogo kauza uhuru kwa taifa la Zanzibar ambao nao kila siku wanauza rasilimali zetu kwa waarabu.
 
Rais wa Tanganyika yupo wapi?
Rais wa Tanganyika mwenye uchungu na anayejali rasilimali na maslahi ya Watanganyika na Tanganyika yupo wapi?

Huyo hapo SSH ni dalali wa kuuza rasilimali za Tanganyika zote chapchap misitu, mbuga, Bandari. Umeme hakuna, maji shida.
 
Rais wa Tanganyika yupo wapi?
Rais wa Tanganyika mwenye uchungu na anayejali rasilimali na maslahi ya Watanganyika na Tanganyika yupo wapi?

Huyo hapo SSH ni dalali wa kuuza rasilimali za Tanganyika zote chapchap misitu, mbuga, Bandari. Umeme hakuna, maji shida.
tubebugi, wacha tuliwe watanganyika.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara na Mkutano wa Kwanza wa Kitaifa wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 leo tarehe 09 Desemba, 2023 katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete.


Acheni unafiki wa kijinga, hakuna nchi iliyopewa uhuru na mwingereza inayoitwa Tanzania bara, ni Tanganyika
 
Uhuru na kazi, kazi iendelee, uhuru na maendeleo.

SSH2025/2030

Pisha kulee na meno yako ya kuungua(sijamsema wa singida Wala machame kwa kuwa Wana meno ya kuungua), SSH anapita kuelekea 2030
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom