Kwanini sherehe za uhuru au nyingine za kitaifa wakati wa Magufuli viongozi wa Afrika Mashariki walikuwa hawafiki?

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,947
95,237
Nimetazama sherehe za miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar hakika yamefana.

Hili limenifanya kujiuliza hivi ni kwanini sherehe za uhuru au nyingine za kitaifa wakati wa Magufuli viongozi wa Afrika Mashariki walikuwa hawafiki?

Kuna wakati hata rafiki yake mkuu yaani Rais Museveni hakufika.

Tafadhali mwenye undani wa suala hili naomba anielimishe maana elimu haina mwisho.
 
Nimetazama sherehe za miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar hakika yamefana.

Hili limenifanya kujiuliza hivi ni kwanini sherehe za uhuru au nyingine za kitaifa wakati wa Magufuli viongozi wa Afrika Mashariki walikuwa hawafiki?

Kuna wakati hata rafiki yake mkuu yaani Rais Museveni hakufika.

Tafadhali mwenye undani wa suala hili naomba anielimishe maana elimu haina mwisho.
Siyo kweli. Kufika walikuwa wanafika. Sema sherehe nyingi Magufuli hakufanya alisisitiza kubana matumizi. Na kufanya shughuli za kijamii kama usafi wa mazingira yetu. Na kipindupindu alikishinda. Miaka yake hakukuwahi kuwa na shida hiyo.
 
Nimetazama sherehe za miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar hakika yamefana.

Hili limenifanya kujiuliza hivi ni kwanini sherehe za uhuru au nyingine za kitaifa wakati wa Magufuli viongozi wa Afrika Mashariki walikuwa hawafiki?

Kuna wakati hata rafiki yake mkuu yaani Rais Museveni hakufika.

Tafadhali mwenye undani wa suala hili naomba anielimishe maana elimu haina mwisho.
Kumbuka unapowaita hao watu wewe ndiye unapaswa kuwapokea na jopo lao lote kuwapa usafiri wa ndani, malazi nk gharama zao wote na sherehe kwa ujumla ILITENGENEZA KIPANDE CHA BARABARA YA MWENGE HADI MOROCO.
Jiulize ni kipi bora, waje kupunga mikono hewani au Ujenge miundombinu?
 
Nimetazama sherehe za miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar hakika yamefana.

Hili limenifanya kujiuliza hivi ni kwanini sherehe za uhuru au nyingine za kitaifa wakati wa Magufuli viongozi wa Afrika Mashariki walikuwa hawafiki?

Kuna wakati hata rafiki yake mkuu yaani Rais Museveni hakufika.

Tafadhali mwenye undani wa suala hili naomba anielimishe maana elimu haina mwisho.
Wewe Kwa akili Yako ,yule mtu wenu alikuwa na ushirikiano na nani?

Yule alikuwa ni kikwazo kuanzia ndani ya Nchi hadi Nje ya Nchi,aliharibu mahusiano vibaya sana maana alikuwa anagombana na Kila mtu.

Kimsingi alikuwa ni mtu wa ajabu ajabu na disaster.
 
Kumbuka unapowaita hao watu wewe ndiye unapaswa kuwapokea na jopo lao lote kuwapa usafiri wa ndani, malazi nk gharama zao wote na sherehe kwa ujumla ILITENGENEZA KIPANDE CHA BARABARA YA MWENGE HADI MOROCO.
Jiulize ni kipi bora, waje kupunga mikono hewani au Ujenge miundombinu?
Kwani Kuna tatizo gani? Na hata akiwaita walikuwa Hawaii Kwa sababu mtu wenu yule alikuwa hamnazo.
 
Nimetazama sherehe za miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar hakika yamefana.

Hili limenifanya kujiuliza hivi ni kwanini sherehe za uhuru au nyingine za kitaifa wakati wa Magufuli viongozi wa Afrika Mashariki walikuwa hawafiki?

Kuna wakati hata rafiki yake mkuu yaani Rais Museveni hakufika.

Tafadhali mwenye undani wa suala hili naomba anielimishe maana elimu haina mwisho.
Wengi wanaanzia wangapi? Halafu wakifika wengi au wachache faida na hasara zake ni zipi?
 
Nimetazama sherehe za miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar hakika yamefana.

Hili limenifanya kujiuliza hivi ni kwanini sherehe za uhuru au nyingine za kitaifa wakati wa Magufuli viongozi wa Afrika Mashariki walikuwa hawafiki?

Kuna wakati hata rafiki yake mkuu yaani Rais Museveni hakufika.

Tafadhali mwenye undani wa suala hili naomba anielimishe maana elimu haina mwisho.
Hilo swali linatusaidia nini kwa Sasa..So what..!!?? Achana na Mzee wa watu...stupidddd..
Hii awamu ya sita, zungumza Mambo ya Serikali ya mama yetu Dr SSH..
 
Mkuu umeskika, ukiona mtu anashindana na Mfu/Marehemu ni ishara ya ama Uoga, Ama Uchawi au Mgonjwa wa akili. Wewe ni mental case yanipasa kunyamaza!
Mental case kabisa...huyu inawezekana ni Kati ya Yale mafisadi papa..yanatafuta sehemu ya kuondoka stress zao za kufilisiwa
 
Nani amekwambia anataka kujifunza..ili iweje ukishajifunza, ili waje au??....nenda na utumbo wako kule
Wewe kama hutaki wenzako wanataka.

Kwani wewe umeambiwa na nani kwamba hawataki kujifunza?

Nasisitiza mtu wenu alikuwa hana akili
 
Kumbuka unapowaita hao watu wewe ndiye unapaswa kuwapokea na jopo lao lote kuwapa usafiri wa ndani, malazi nk gharama zao wote na sherehe kwa ujumla ILITENGENEZA KIPANDE CHA BARABARA YA MWENGE HADI MOROCO.
Jiulize ni kipi bora, waje kupunga mikono hewani au Ujenge miundombinu?
Achana na chizzii huyo
 
Back
Top Bottom