09 Dec, 2019: Maadhimisho ya siku ya uhuru wa Tanganyika. Wafungwa 5,533 wapata msamaha wa Rais. Mbowe ataka maridhiano ya Kitaifa

Kama kweli unatenda mema utaonekana tu na sio kulazimisha kutangaza wema.
 
Tumesahau mishahara tunazungumzia huruma ya Magufuli juu ya wafungwa utadhani walipelekwa na wapinzani gerezani.
 
Zamanini ilikuwa kimya kimya kwa Sababu ya coverage ndogo ya Vyombo vya habari na utandawazi. Kwa Sasa tuko kidigitali babu😁! Smart phone hata form iv leaver wa mwaka huu anaimiliki kwa Sasa.

Huoni jinsi gani Tv za mitandao zilivokuwa kibao na zote zina maripoter kilankona ya Tanzania na sisi watanzania tunataka habari. Ona Milard Ayo Tv n.k zinavyotusogezea habari kwa mida mwafaka. Kama huamini, Sasa hivi jaribu kipiga jelele kwa sana huku ukiwa umevua nguo zote uone kuwa hatupati habari zako Sasa ivi nchi nzima na kuwa habari.

Zamani haikiwa ivo maana source za habari zilikuwa kidogo na coverage ndogo.
 
Sasa hivi wabeba kamera wamekuwa wengi na nchi imekuwa na uhaba wa matukio ya kurekodi.

Itoshe kusema hivyo
... why now? Hiyo ndio hoja. Tangu enzi za mkoloni utaratibu wa kusamehe wafungwa upo; kwanini kamera na media sasa?
 
... why now? Hiyo ndio hoja. Tangu enzi za mkoloni utaratibu wa kusamehe wafungwa upo; kwanini kamera na media sasa?
Siku hizi wabeba kamera wamekuwa wengi na nchi imekuwa na uhaba wa matukio ya kurekodi

Itoshe kusema hivyo
 
Watu wanalazimisha kuonyesha wana roho nzuri. Ila wamesahau chema chajiuza.
Kuchangia mada kama hizi hapa siku hizi inakuwa ngumu sana.

Yaani hata hii inakuwa mada ya watu kujizatiti na kutoa maoni hata kwenye mambo ya vichekesho kama haya yanayofanywa na watu wenye elimu ya ngazi ya uzamivu!

Katika viongozi washamba, huyu jamaa rekodi yake itadumu sana. Hata Kikwete hakufanya 'comedy' kama hizi.

Maajabu ya nchi yetu, bado kuna watu wenye akili za kuamini hiki ni kitendo cha mtu mwenye huruma sana kwa wananchi wake! Kawaondoa gerezani kwa huruma yake! Na yeye anategemea watu hawa ndio wampe kura aendelee kuwakandamiza, na anapofurahi yeye, awasamehe kwa huruma zake.
 
Wala sio huruma, ni sababu za kiuchumi. Kwa nini agharamikie kulisha wafungwa gerezani badala ya kuwaachia na pesa hio iende kujenga SGR na Stieglers?
 
Ni PR event kama nyingine nyingi tu, mfano, kupokea magawio kutoka makampuni na taasisi mbalimbali. Kama IFM walitoa gawio na tukahabarishwa, why not now?. Kuna uhaba wa mafanikio na kwa kweli tuko desperate, chochote tu tutaonyesha.
 
Ni kawaida kwa Rais wa Tanzania kutoa misamaha mbalimbali kwa wafungwa hasa wakati wa kusherekea siku yetu ya Uhuru. Hii imekuwa ikifanywa kwa miaka mingi toka wakati wa utawala wa serikali ya awamu ya kwanza ya Mwalimu Nyerere. Mara nyingi jambo hili la wafungwa wanapotoka jela hufanywa kimya kimya bila ya wananchi na vyombo vya habari kualikwa. Kulikoni, naona mambo yamekuwa tofauti kidogo mwaka huu, kamera zimeelekezwa kwenye kila lango la gereza kutuonyesha waliosamehewa.

Tunajua kuna wafungwa wengine ambao walifungwa kimakosa, je serikali inatumia fursa hii pia kufanya marekebisho ya sheria mbalimbali kandamizi ambazo zinaweza kusababisha hata wasio na hatia kufungwa jela.
Kuna la kushangaza hapo? Awamu ya kwanza kulikuwa na ndege, uliona serikali nzima ikiacha shughuli nyingine na kwenda kushangaa ndege? Ni sina ya watawala na mapenzi yao.
 
President John Magufuli on Monday ordered that around 5,500 inmates be freed from Tanzania's overcrowded prisons at a ceremony to mark the anniversary of the country's independence from colonial rule.

The populist president, who has publicly expressed both sympathy and derision for the country's prison population, announced the mass pardon at an event marking Tanzania's national day.

"I believe this will relieve those who were jailed on minor charges, and those who were unable to have lawyers represent them or money to pay fines," Magufuli said in Mwanza, a city on the shores of Lake Victoria.

"The pardon will also help to decongest our prisons."

Magufuli, who came to power in 2015 as a corruption-fighting "man of the people", has toured overcrowded prisons in the past and ordered authorities to free those being held for long stretches without trial.

Tanzania's current prison population is around 36,000, the government says, with some facilities considerably over capacity.

In July, Magufuli said his visit to a jail in Mwanza left him "saddened" because many prisoners had languished there many years without trial.

But he also drew criticism from rights watchdogs in 2018 by ordering that prisoners be made to work "day and night" and suggesting they should grow their own food and be kicked if they are lazy.

Magufuli's talent for high-profile appearances that bolster his reputation as a no-nonsense leader have made him wildly popular among some.

But his intolerance of criticism, impulsiveness and disregard for due process worry others who see authoritarianism at the core of his populism.

The United States and Britain in August expressed concern about the steady erosion of due process under his rule, pointing to a growing tendency of authorities to resort to lengthy pre-trial detentions.

Nicknamed "tingatinga" -- meaning "bulldozer" in Swahili -- Magufuli has cowed the press, and many of his political opponents are routinely arrested. Some opposition activists have been kidnapped and beaten.

For the first time since his election, the main opposition party, Chadema, attended the national day celebrations, sharing the stage with Magufuli.

Chadema leader Freeman Mbowe called for a return to democratic norms and freedom of expression in Tanzania, which goes to the polls next year to choose a president.

"Mr President, you have the chance to make history by rectifying all these challenges," he said.

Chadema boycotted last month's local elections, citing intimidation, handing the ruling party a sweeping victory in polls criticised by the international community as lacking credibility.

Magufuli, 60, has not said whether he will stand for re-election to what would be his second and final term

Source: Times of Malta
 
Back
Top Bottom