polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,362
- 5,809
Ndiyo ! Hayo ni maoni yangu ya dhati kabisa ili kupunguza matumizi ya fedha za umma
Tanzania ina halmashauri 185 tu ambazo zingetosha kabisa kuwakilishwa na mbunge mmoja mmoja kila halmashauri wakisaidiwa na madiwani
Kuwa na wabunge 384 kwa nchi kama tanzania ambayo ina changamoto nyingi za kimaendeleo kwa wananchi ni matumizi mabaya kabisa ya pesa za umma
Hawa wanao itwa wabunge wa viti maalumu wooote ni wakuondolewa wamekuwa mzigo kwa taifa na hawana faida chanya kwa watanzania
Wabunge wote wawe wakuchanguliwa na wananchi na taratibu za kuwapata hawa wabunge pia ziangaliwe upya nchi ina matatizo mengi sana inahitaji wabunge wachapa kazi na wenye nia ya dhati kutatua kero za watanzania na sio kupata wabunge wenye ubingwa wa kujibizana bungeni kwa maneno machafu na kejeli.
Tukiokoa pesa ambayo ingetumika kwa wabunge 199 kuwalipa posho na gharama zinginezo ilihali hawana tija yeyote kwa taifa itasaidia sana kuboresha changamoto nyingi sana
Piga hesabu posho na marupupu yoote wanayo lipwa wabunge hao kwa kipindi chote cha ubunge wao pesa hiyo ingejenga madarasa mangap na vituo vya afya vingapi
Yawezekana kuna wakati Mh. Rais anapata wakati mgumu ku alocate fedha za kutatua changamoto za watanzania kwa sababu pesa nyingi zinahudumia wanasiasa ambao kimsingi hawana tija wala michango chanyana ya kimaendeleo kwa wananchi wanao wazunguka.
Tanzania ina halmashauri 185 tu ambazo zingetosha kabisa kuwakilishwa na mbunge mmoja mmoja kila halmashauri wakisaidiwa na madiwani
Kuwa na wabunge 384 kwa nchi kama tanzania ambayo ina changamoto nyingi za kimaendeleo kwa wananchi ni matumizi mabaya kabisa ya pesa za umma
Hawa wanao itwa wabunge wa viti maalumu wooote ni wakuondolewa wamekuwa mzigo kwa taifa na hawana faida chanya kwa watanzania
Wabunge wote wawe wakuchanguliwa na wananchi na taratibu za kuwapata hawa wabunge pia ziangaliwe upya nchi ina matatizo mengi sana inahitaji wabunge wachapa kazi na wenye nia ya dhati kutatua kero za watanzania na sio kupata wabunge wenye ubingwa wa kujibizana bungeni kwa maneno machafu na kejeli.
Tukiokoa pesa ambayo ingetumika kwa wabunge 199 kuwalipa posho na gharama zinginezo ilihali hawana tija yeyote kwa taifa itasaidia sana kuboresha changamoto nyingi sana
Piga hesabu posho na marupupu yoote wanayo lipwa wabunge hao kwa kipindi chote cha ubunge wao pesa hiyo ingejenga madarasa mangap na vituo vya afya vingapi
Yawezekana kuna wakati Mh. Rais anapata wakati mgumu ku alocate fedha za kutatua changamoto za watanzania kwa sababu pesa nyingi zinahudumia wanasiasa ambao kimsingi hawana tija wala michango chanyana ya kimaendeleo kwa wananchi wanao wazunguka.