Wananchi mkoani Simiyu wamtaka mkuu wa mkoa atoe amri ya kuwaweka katika Karantini abiria wote wanaotoka Dsm

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,919
141,884
Leo mkuu wa mkoa wa Simiyu mh Mtaka amezindua utaratibu wa kupulizia dawa mabasi yote na vyombo vingine vya usafiri mkoani humo.

Katika tukio la kushangaza wananchi waliokuwepo stendi kuu kushuhudia zoezi hilo walimtaka mkuu huyo wa mkoa kutoa agizo la kuwaweka katika Karantini abiria wote wanaoingia mkoani humo wakitokea Dsm.

RC Mtaka aliwajibu kuwa yeye hana mamlaka hayo na kwamba mwenye uwezo wa kutoa agizo kama hilo ni Waziri mkuu mh Majaliwa.

Source ITV habari!
 
Safi Sana wananchi wa Simiyu
Mikoa mingine waige pia, Tunawaua Wazee Wetu huko kwa ma-ujinga ya wachavhe. Na ikiwezekan migomo iwepo,Corona haisafiri inasafirishwa

Makapuku yamekuwa yakipinga lockdown yakifikiria kila jambo ni siasa.

Hadi wakulima wa vijijini wamefikia hatua ya kuufichua uzwazwa wao.

Majinga ndiyo yaliwayo.
 
Mkuu wa mkoa wa Dar alikuwa anawakusanya kama kuku,wakati tuliambiwa tuepuke mikusanyiko. Halafu jamaa akiongea inabidi uwe na taulo hapo
 
Sikuzote nasemaga hivi....
Kuwa na kichwa kikubwa pasipo akili, nisawa na kuiongezea adhabu miguu.
 
Leo mkuu wa mkoa wa Simiyu mh Mtaka amezindua utaratibu wa kupulizia dawa mabasi yote na vyombo vingine vya usafiri mkoani humo.

Katika tukio la kushangaza wananchi waliokuwepo stendi kuu kushuhudia zoezi hilo walimtaka mkuu huyo wa mkoa kutoa agizo la kuwaweka katika Karantini abiria wote wanaoingia mkoani humo wakitokea Dsm.

RC Mtaka aliwajibu kuwa yeye hana mamlaka hayo na kwamba mwenye uwezo wa kutoa agizo kama hilo ni Waziri mkuu mh Majaliwa.

Source ITV habari!

Leo mkuu wa mkoa wa Simiyu mh Mtaka amezindua utaratibu wa kupulizia dawa mabasi yote na vyombo vingine vya usafiri mkoani humo.

Katika tukio la kushangaza wananchi waliokuwepo stendi kuu kushuhudia zoezi hilo walimtaka mkuu huyo wa mkoa kutoa agizo la kuwaweka katika Karantini abiria wote wanaoingia mkoani humo wakitokea Dsm.

RC Mtaka aliwajibu kuwa yeye hana mamlaka hayo na kwamba mwenye uwezo wa kutoa agizo kama hilo ni Waziri mkuu mh Majaliwa.

Source ITV habari!
Safi
 
Hili limepigiwa kelele muda mrefu,lakini viongozi wetu wameweka pamba masikioni.
Ulinzi binafsi na sala ni muhimu sana kwa sasa.
 
Back
Top Bottom