The Wapi Project was a civic action program originated by the Royal Lao Government; it was performed in Military Region 4 of Laos from late 1963 through 1967. Notable for being among the first integrated programs to offer integrated services to the Lao Theung populace of southern Laos, it became a victim of its own success. Its lean efficiency led to its being crowded out of funding by more expensive programs.
Habari Wakuu, naomba nisaidiwe wapi nitapata kamba za Katani kwa uwingi na bei ya jumla..
Najua zinapatikana kwenye hardwares lakini mimi mahitaji yangu ni makubwa hivyo ningependa kuzinunua either kiwandani au kwa wholesalers..
Asanteni!!
Salaam kwa jina la JMT mwenye yuko na taarifa za huyu Dada Baby Kabae aliyekuwa clouds 360 naziomba nimfollow huko kama kahamia radio nyengine ...
Alikuwa jembe sana pale 360 alipokalia Kija yunus kiukwl hajafiti na hatafiti clouds angalieni mbadala wa Kabae huyo binti Lindi ni wa nyuma ya...
Aisee kweli hapa mjini kila kitu ni dili la mtu. Mtakumbuka wale walemavu ombaomba waliokua wanasukumwa kwenye wheelchair walisambaa kila kona ya Dar kuanzia asubuhi hadi usiku,wanaingia kwenye bar,migahawa,madukani na kwinginek.
Mpaka tukawa tunajiuliza mbona wanaowasukuma ni mabaunsa kwanini...
Hii kitu kama kweli imefanyika Wizara ya fedha - HQ, basi tuna tatizo kubwa sana na usalama wa fedha ya umma chini ya watu hawa...
Waziri wa fedha kwa sasa ni Mwigulu Chemba. Kwa takwimu hizi za wizi huu wakati unafanyika zinazotolewa na PM, Mwigulu alikuwa hajawa Waziri bado...
Wakati huo...
======
Speaker wa bunge,Job Ndugai
" Government intervention inatakiwa ndio iwepo lakini minimal, yaani katika nchi za wenzetu nchi zilizoendelea kampeni moja wapo katika uchaguzi mkuu ni kitu kinaitwa less Government yaani less Government katika maisha ya watu sio ukigeuka serikali, ukigeuka...
Si hoja ya kikatiba Wala ya kisheria ni hoja ya fikra juu ya utekelezaji wa Yale ambayo hayajaandikwa na si kwamba yalisaulika kuandikwa bali ni magumu kuyaweka kwenye makaratasi.
Hakuna sehemu Katiba wala sheria inaposema wakuu wa vyombo wabadilishane kutoka na pande mbili za Muungano. Aidha...
Hapa ofisini kuna dada wa masijala kafika ana miezi miwili. Mzuri kweli...umbo lake matata hasa. Sema tu ni mswahili sana.
Ananiona mimi mpole so mara nyingi anakuja ofisini kwangu kunifanyia fujo. Kuna siku amejamba mbele yangu. Nlimshangaa sana. Akacheka na kusema ye haoni ajabu wala nanii...
Aliwahi kuwa waziri wa utawala bora awamu hii nikasikia amepangiwa kazi maalumu... Sijamuona kwenye uapisho pia sijabahatika kumuona Bungeni yuko wapi Mbunge wangu?
Akiongea na wanafunzi na watoto wa kike, mh.Rais Samia Suluhu Hassan ALIWASHAJIISHA adabu na nidhamu vijana hao huku akiwasimulia mikasa aliyoipata katika safari yake ya maisha.
Alianza kuwaelezea mapito aliyopitia katika UWAJIBIKAJI WAKE WA KAZI katika SEKTA BINAFSI na TAASISI ZA KISERIKALI...
Leo Krav Maga niliamua kujipa tu Kazi binafsi ya kupitia Maamuzi ya Uchunguzi ya waliowahi kuwa Viongozi Serikalini katika Tawala mbalimbali ili Kujiridhisha na hili la aliyekuwa DC wa Moshi Ole Sabaya.
Nilichokigundua tu ni kwamba kati ya Watu kama nane ambao Marais waliwasimamisha Kazi...
YUKO WAPI MTEMI MWINGINE WA KUPAMBANA NA MBOWE!?
Leo 15:15hrs 14/05/2021
Sabaya anaonekana kufanya makosa kwa sababu ya aina za siasa za Arusha, ndio maana juzi kaongea Sabaya hapa Tanzania, akajibu Godbless Lema akiwa Canada, na sababu nyingine ni "spotlight" iliyokuwepo eneo lake la utawala...
Eid Mubarak!
Baada ya kuwanunulia nguo za Eid 😃sasa niwakati wa kutafuta sehemu ya kuwapeleka wanangu kutembea Leo hii siku ya Eid.
Naombeni sehemu ya kwenda maana nimechoka kila siku Coco beach tu bhana.
Asanteni
Kuna udhalimu nimeuona chini ya jua, maskini akiwa na gunia lake moja la mkaa, auze asaidie familia yake, ananyang'anywa na wafanyakazi/askari wa maliasili, sambamba na kuchukua simu na baiskeli, maana ni vya thamani!
Mtuhumiwa anaachwa guru! (huo nao ni ubatili) Mtuhumiwa Hugo anapokwenda...
Lema: Acha kujipendekeza kwa kiwango cha kuumiza watu. Amri uliyopewa ya kucontrol Polisi na Bunduki, kuwa mstaarabu. Magufuli sio Mungu, haya unayofanya kuna siku you will pay. Acha mambo ya Kishamba, acha ulimbukeni. Acha kuumiza watu kwa Silaha, acha mambo ya kutekatwka watu kuchukua hela kwa...
Miaka ya nyuma huyu jamaa alitamba na kibao "Elimu ni biashara tutasomaje?" Sijamsikia kwenye muziki siku nyingi na sijui yupo wapi na anashugulika na nini?
Nahitaji kubadilisha Rim za Gari Harrier, zilizopo zimepinda sana kila siku ukiamka tairi hazina upepo.
Kwa hiyo nahitaji Rim Origal nzuri na durable sio lazima ziwe sport maana naona hizi sport sio imara.
Pia naomba ushauri kutoka kwenu kujua aina nzuri na original za rim.
Nitajuaje hizi ni...