Wadada hasa Tanzania licha ya kusema Nchi ya kijamaa wanawake 95% ni wa baguzi sana kuna wanaume hawawachuni wala kuwapiga mizinga lakini wengine ambao weupe (handsome) tunachunwa mpaka basi.
Kama Marekani na Ulaya wameandamana kwanini tusianamane kupinga ubaguzi, nipo tayari kufa nikipinga...
Tuliooa tusijifariji, asilimia kubwa wake zetu wanachepuka na ni ngumu sana sisi wanaume kugundua.
Mwezi uliopita tu nimeshuhudia rafiki yangu wa karibu kabisa na wa tangu utotoni anamla Ex wake alieolewa japo walikuwa mbalimbali kwa miaka zaidi ya 4. Tulikuwa mkoani kikazi na mwanamke alirudi...
Ma-mdogo Penny Shikamoo, samahani Nina sehemu nimeganda naomba unichomoe
Money Penny: haya nambie mwanangu
Mtoto: Ma-mdogo, me Nina Miaka 40, ninapenda Sana wanaume Umri mdogo lakini siwapati?!
Money Penny: kwanini unapenda wadogo zako kama sio wanao?
Mtoto: wanaume wadogo Wana vitu ambavyo...
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu leo amezindua ripoti ya utafiti wa kiwango cha matumizi ya Tumbaku kwa watu wazima. Taarifa hiyo inahusisha tathmini ya matumizi, watu waliojaribu kuacha, gharama za matumizi, ufikiwaji wa taarifa za madhara
Amesema Taarifa inaonesha kuwa watu 4 kati ya 10 (32.9%)...
Salaam kwenu wajomba na ma shangazi,
Ujumbe huu uwafikie wanaume wote wawe ni wa Dar au ni wa wapi uko. Wanaume tuache kupenda mteremko, tuache tamaa za kutaka wanawake warembo kirahisi rahisi tu.
Wanawake wote ni wazuri, wanatofautina matunzo tu. Sasa wewe hutoi hela kwa mke/mpenzi wako...
NAOMBA NIANZE MOJA KWA MOJA KWENYE MADA.BAADHI YAO WANA TABIA KAMA ZIFUATAZO😂😂😂
1.Baadhi yao wanapenda lifi sanaa
2.Baadhi yao wanapenda hela ndogo ndogo sana ukimpa buku utamckia aah hii kubwa sana unakula kabisa hii:D
3.Baadhi yao wanapenda kutoa wosia sana na maneno mengi na hawamalizi...
Mtu kaoa juzi tu hata wiki mbili hazijaisha,Anatongoza na kutoa ahadi kedekede,
Lakini ukweli ni kwamba yupo kwenye ndoa,
Mie najiuliza tatizo ni nini hasa kwa hawa kaka zetu?
Kutulia na mke mmoja hamuwezi?
BADILIKA TAFADHALI.
Madokta uchwara watakwambia " oooh NI Kwa sababu Una Tatizo la nguvu za kiume!!!"
Usiwalaumu Kwa sababu hata wao hawajui what is going on .
Ndio maana wanaitwa " WAGANGA".
Neno Mganga linatokana na Neno " KUGANGA"
Kuganga maana yake ni kubahatisha bahatisha.
Mfano " Jamaa yupo Mjini ana...
Kumbukumbu zangu zinaanzia kwa Mh Kasyupa Alipipi , huyu alimshinda Mwakipesile , enzi za Chama Kimoja , nilihudhuria kampeni zilizofanyika Ipande , kijiji cha Bukinga , kwenye eneo la wazi lililojulikana kama MPIKI KIMBWALA , nadhani ilikuwa mwaka 1980 ( niko tayari kusahihishwa ) wakati huo...
Sasa wakuu mimi binafsi nimeona tiba ya kitunguu swaum , tangawizi malimao yamekuwa mazuri sana kwangu, pia natumia sana habat souda na mrungu rungu katika kujitibu Corona
Sasa picha linaanza, kila nikikutana na demu wangu ananiambia mbona sasa show ya kibabe sana? Nikamwambia, kwanini...
Viswali swali vya Kipuuzi kama hivi msivyovibadilisha Watu wengine kama akina GENTAMYCINE tusio na Uvumilivu mtakuja Kupigwa!
1. Mkeo umefanya naye Mapenzi lini?
2. Huwa una tabia ya Kumkuna hasa Mkeo?
3. Kwa kawaida Mkeo huwa unampiga Bao ngapi?
4. Mara yako ya mwisho Kumkatia Mkeo Viuno...
Jana katika pita pita zangu mitandaoni nikakutana na lile sakata la yule Bi. Mkubwa aliechezea vitasa mjini Moshi baada ya kuhusishwa na fumanizi flani.
Katika hali ambayo iliamsha hisia zangu zaidi ni mahojiano ambayo yalifanyika kati yake na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Anna Mghwira...
Wakuu, huko kwenye twitter nimeona wanaume wakimshambulia Ndugu Chris Mauki kutokana na bandiko lake aliloweka huko kuwa wanaume ambao wanaombwa hela na wake zao na kusema kuwa kuna Jambo nafuatilia kila Siku wanasema hivyo, Chris Mauki anasema kuwa hao wanawake wanapaswa kujua kuwa wameolewa na...
Habari wanna JF.
Wanaume siku zote ni watu wanaozungukwa na msongo wa mawazo katika mihangaiko ya kimaisha ha hapa na pale......
Baadhi ya vitu vinavotuletea msongo wa mawazo ni Kama;
1.kuachwa na mwanamke umpendae
2.kumpenda mtu asiekupenda
3.kuwa na madeni lukuki
4.kukata tamaa/kufeli Jambo...
Ni kwanini Wanaume wengi siku hizi wanapenda sana kufanya Ngono ndani ya Magari yao? Hii tabia siyo tu kwamba sasa imeshazoeleka bali kwa jinsi ambavyo ninakutana nayo sasa ni dhahiri kabisa kuwa imeshaota Mizizi.
Katika utafiti ambao hivi karibuni utachapishwa mitandaoni kutoka taasisi moja ya utafiti unaonyesha kua wanawake wengi wanasema kua wanaume kutoka kanda ya ziwa ndio wanaume wanaojua kuhonga kuliko wanaume wote Ukanda wa Afrika Mashariki na kati.
Wanawake walipoulzwa ni makabila gani hasa...
Yapo madhara mengi Na hutofautiana kulingana Na jinsia, umri, Na umbo. Nayo ni;
- Kukosa choo, kupata choo kigumu,
- Constipation au choo kuganda
- Bawasili kutokana Na mfumo wa chakula kuzongwa Na taka mwili hasa masalia ya vyakula visivyo mengenywa (insoluble wastes)
- Kupungukiwa Nguvu za...
Hi guys.
Naomba hizi baraka za dhati ziwafikie WANAUME, Hasa wale wanaume wanaosimamia na kutekeleza majukumu yao ipasavyo.
Nakumbuka muda mfupi uliopita I passed through a very rough road to hell. Kuna zile nyakati kwenye maisha unatamani kabisa kama ujikane nafsi, yote yanayokusibu yawe tu...
MUME AMWEKEA PILIPILI NA KUZIBA NA GUNDI NYETI ZA MKEWE
POLISI katika Kaunti ya Taraka Nithi nchini kenya, wanamshikilia mwanaume mmoja aliyejulikana kwa jina la James Muriuki, kwa tuhuma za kumuwekea Mke wake Pilipili kwenye sehemu zake za siri na kisha kumziba na gundi.
Kwa mujibu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.