safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,161
- 15,839
Wakati wanaharakati wakihangaika kuwainua wanawake na kujifanya kuwatetea ndipo wanazidi kuwashusha na kuwakandamiza wanaume.
Hali inakokwenda kuna wanaharakati watajitokeza nao kuwa wanatetea wanaume dhidi ya ukandamizaji unaofanywa dhidi yao.
Mwanamke kutaka pasu kwa pasu ilhali hajachangia kinachostahiki kuwa pasu kwa pasu huo ni unyama kwa wanaume na pia kuzidi kuwalegeza wanawake.
Unapowatafutia shortcut wanawake manake unazidi kuwadumaza zaidi ili waje kuwa watu hatari zaidi katika jamii.
Kama ishu ni kwamba naye kalea watoto basi apate hao watoto wote wawe wake mana ndo nguvu kubwa ilikuwa huko.
Mwanamke apewe chochote lakini sio pasu kwa pasu wakati yeye hakuchangia gharama yoyote ya mali katika kukuza mafanikio ya mume.
Kama alichangia na mume pasu kwa pasu(nusu mume nusu mke)basi HAINA SHIDA IWE PASU KWA PASU,kama hakuchangia basi iangaliwe tu kipi apewe akaanzie maisha na sio mambo ya kuwafanya wanaume vitega uchumi.
Hali inakokwenda kuna wanaharakati watajitokeza nao kuwa wanatetea wanaume dhidi ya ukandamizaji unaofanywa dhidi yao.
Mwanamke kutaka pasu kwa pasu ilhali hajachangia kinachostahiki kuwa pasu kwa pasu huo ni unyama kwa wanaume na pia kuzidi kuwalegeza wanawake.
Unapowatafutia shortcut wanawake manake unazidi kuwadumaza zaidi ili waje kuwa watu hatari zaidi katika jamii.
Kama ishu ni kwamba naye kalea watoto basi apate hao watoto wote wawe wake mana ndo nguvu kubwa ilikuwa huko.
Mwanamke apewe chochote lakini sio pasu kwa pasu wakati yeye hakuchangia gharama yoyote ya mali katika kukuza mafanikio ya mume.
Kama alichangia na mume pasu kwa pasu(nusu mume nusu mke)basi HAINA SHIDA IWE PASU KWA PASU,kama hakuchangia basi iangaliwe tu kipi apewe akaanzie maisha na sio mambo ya kuwafanya wanaume vitega uchumi.