Me too
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,325
- 9,184
Ni kwanini wanaume mnaichukia kabichi?
Skukuu yote hii nilitamani niwafukuze hawa wageni.
Asilimia kubwa wote waliiponda kabichi,
Mwingine anaita
Minyoo hiyo Mimi silagi.
Mwingine Nani ale mizizi hiyo?
Oooh sijawa ng'ombe hiyo kabichi usirudie kunitengea.
Huyu ndo balaa eti me yf akipika kabichi nikiikuta tu hadi sufuria alilopikia nalitupa,,, sipendi ujingaujinga.
Nimestaajabu sana kwa nini wanaume hampendi mboga ya kabichi?
Iliwafanya nini au INA nini kwenu?
Skukuu yote hii nilitamani niwafukuze hawa wageni.
Asilimia kubwa wote waliiponda kabichi,
Mwingine anaita
Minyoo hiyo Mimi silagi.
Mwingine Nani ale mizizi hiyo?
Oooh sijawa ng'ombe hiyo kabichi usirudie kunitengea.
Huyu ndo balaa eti me yf akipika kabichi nikiikuta tu hadi sufuria alilopikia nalitupa,,, sipendi ujingaujinga.
Nimestaajabu sana kwa nini wanaume hampendi mboga ya kabichi?
Iliwafanya nini au INA nini kwenu?