lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,154
- 33,367
Wanaume wenye Nguvu, namaanisha matajiri, watu maarufu, watu mashuhuri na VIONGOZI.
Nakanusha kabisa dhana kuwa wasichana/wanawake wazuri kupindukia Mara nyingi wengi wao kuwa huwa hawaolewi. Kwanza kabisa wanawake wote duniani ni wazuri lakini ni ukweli usio na Shaka kwamba wapo wanawake wazuri zaidi kuliko wengine.
Tatizo linalowapata wanawake wazuri kupindukia Ni:-
Wanaume wenye uwezo mdogo ambao wanawapenda wazuri hao,hata Kama watakubaliwa na wasichana hao,Ni kwamba huogopa kuwaoa kwa sababu ya hofu ya KUCHAPIWA na Gharama za kuwatunza.
Kwa sababu ya uzuri wao,wametokea kuhitajiwa na kila mwanaume,(demand) yao Ni kubwa mno hivyo kupelekea kwamba wenye nguvu ndo wawezao kuwapata.
Kwa sababu ya kuwa Wana soko kubwa(kupendwa Sana). Hali hi inapelekea wenye nguvu ndio watakaowapata.
Hivyo hata wenyewe wamejiweka hivyo hawako Tayari kuchukuliwa na mwanaume/wanaume asiye na nguvu za kiuchumi na kijamii.
Kwa kifupi wanaume wasio na nguvu wamekua wakiwakwepa kuwaoa,
Na wao wamekua wakijiweka mbali na wanaume wasio na nguvu.
Hali hii hupelekea wengi wao kuolewa na matajiri,watoto wa matajiri,watoto wa viongozi,watu maarufu,watu mashuhuri n.k.
Watu wenye nguvu
-artists
-sportman
Nk.
Ukiona msichana/mwanamke mzuri kupindukia hajaolewa ujue
-ana Tabia isiyoridhisha
-kafungwa
-kalogwa
- possessed
Nakanusha kabisa dhana kuwa wasichana/wanawake wazuri kupindukia Mara nyingi wengi wao kuwa huwa hawaolewi. Kwanza kabisa wanawake wote duniani ni wazuri lakini ni ukweli usio na Shaka kwamba wapo wanawake wazuri zaidi kuliko wengine.
Tatizo linalowapata wanawake wazuri kupindukia Ni:-
Wanaume wenye uwezo mdogo ambao wanawapenda wazuri hao,hata Kama watakubaliwa na wasichana hao,Ni kwamba huogopa kuwaoa kwa sababu ya hofu ya KUCHAPIWA na Gharama za kuwatunza.
Kwa sababu ya uzuri wao,wametokea kuhitajiwa na kila mwanaume,(demand) yao Ni kubwa mno hivyo kupelekea kwamba wenye nguvu ndo wawezao kuwapata.
Kwa sababu ya kuwa Wana soko kubwa(kupendwa Sana). Hali hi inapelekea wenye nguvu ndio watakaowapata.
Hivyo hata wenyewe wamejiweka hivyo hawako Tayari kuchukuliwa na mwanaume/wanaume asiye na nguvu za kiuchumi na kijamii.
Kwa kifupi wanaume wasio na nguvu wamekua wakiwakwepa kuwaoa,
Na wao wamekua wakijiweka mbali na wanaume wasio na nguvu.
Hali hii hupelekea wengi wao kuolewa na matajiri,watoto wa matajiri,watoto wa viongozi,watu maarufu,watu mashuhuri n.k.
Watu wenye nguvu
- matajiri
- viongozi
-artists
-sportman
Nk.
Ukiona msichana/mwanamke mzuri kupindukia hajaolewa ujue
-ana Tabia isiyoridhisha
-kafungwa
-kalogwa
- possessed