lup
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 2,514
- 2,732
za jumapili na weekend kwa ujumla,
ni wazi kwamba wengi wetu tunajua nini ambacho mama diamond amekiwasha huko anga za habari na kusababisha kila mahali kuwa ngumzo tu,
kwa yanayoendelea nin halali kabisa kwa familia nyingi kupoteza wanaume kwa maana ya kufa na wanawake kuwa ndio wenye nyumba. ebu jaribu kuwaza tu.. kwa maelezo ya mama daiamond ni kwamba, mzee abdul alijua kuwa Nasibu sio mtoto wake kwa mda wote huo,lakini bado aliweza kukaa na mwanamke ambaye alijua wazi kuwa ni msaliti kimapenzi... na mwisho wa siku hata kama ni kishingo upande alimlea mtoto na hakumuua ingawa alikuwa na nafasi ya hata kumuua kwa hasira hata kama ni kisirisir lakini alivumilia...
wakati huo huo sasa mzee Abdul amepumzika na ameamua kutulia na shunguli zake ili amalizie uzee kwa amani.Mama tena anaibuka ni kisu kingine kwa kumuanika hadharani kuwa sio mtoto wake na kusababusha fedheha nyingine tena kitu ambacho kisaikolojia kinaweza kusababisha magojwa makubwa kwa mzee Abdul na kupelekea kufa hali mama mtu akila raha na mwanae......
kwa mfano huu nikiunganisha na wimbo wa pro.jay na stamina kuna maneo j. anasema
baada ya ujauzito wako tulipima DNA na ikangudulika wewe sio mwanangu , lakini bado aliuza vitu ili stamina amuhudumie... ila bado stamina anatamani hata kumuua baba yake... JUST IMAGINE
ni wazi kwamba wengi wetu tunajua nini ambacho mama diamond amekiwasha huko anga za habari na kusababisha kila mahali kuwa ngumzo tu,
kwa yanayoendelea nin halali kabisa kwa familia nyingi kupoteza wanaume kwa maana ya kufa na wanawake kuwa ndio wenye nyumba. ebu jaribu kuwaza tu.. kwa maelezo ya mama daiamond ni kwamba, mzee abdul alijua kuwa Nasibu sio mtoto wake kwa mda wote huo,lakini bado aliweza kukaa na mwanamke ambaye alijua wazi kuwa ni msaliti kimapenzi... na mwisho wa siku hata kama ni kishingo upande alimlea mtoto na hakumuua ingawa alikuwa na nafasi ya hata kumuua kwa hasira hata kama ni kisirisir lakini alivumilia...
wakati huo huo sasa mzee Abdul amepumzika na ameamua kutulia na shunguli zake ili amalizie uzee kwa amani.Mama tena anaibuka ni kisu kingine kwa kumuanika hadharani kuwa sio mtoto wake na kusababusha fedheha nyingine tena kitu ambacho kisaikolojia kinaweza kusababisha magojwa makubwa kwa mzee Abdul na kupelekea kufa hali mama mtu akila raha na mwanae......
kwa mfano huu nikiunganisha na wimbo wa pro.jay na stamina kuna maneo j. anasema
baada ya ujauzito wako tulipima DNA na ikangudulika wewe sio mwanangu , lakini bado aliuza vitu ili stamina amuhudumie... ila bado stamina anatamani hata kumuua baba yake... JUST IMAGINE