scatter
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,667
- 925
Katika dunia hii kuna makundi mbali mbali ya watu na sifa zao. Kuna wanaume ambao waliojaribu kuingia katika ndoa na ikawavuruga mpaka kufanya maamuzi ya kuachana na wake zao au kuna wengine hawajawahi kuingia kabisa ila kutokana na speed ya maisha wameona haina haja tena ya kuingia katika suala la ndoa.
Je, kuna haja ya kuingia kwenye ndoa au ni sababu zipi zinakufanya usite kufunga ndoa au kupeleka mahari kwa mwanamke?
Je, kuna haja ya kuingia kwenye ndoa au ni sababu zipi zinakufanya usite kufunga ndoa au kupeleka mahari kwa mwanamke?