wanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Hivi nyie wanaume mkoje?

    Weweee mwanaume tumejuana mitandaoni halafu unamadai nifunge safari nije kukuona. Sijawahi hata kukuona kwa machooo. Hii nikali sana . Je ukiwa mchunaji ngozi,muuza viungo vya watu,muuza wadada wa watu , muuaji,... Nakama unania nzuri mbona wewe hutaki kuja kumuona msichana?? Watu wengine...
  2. Mzukulu

    Huenda Wanawake wengi wangekuwa na Hekima na Busara ya hali ya juu kama huyu Dada, basi Ndoa zingedumu na Wanaume tungeacha hata Kuwasaliti

    " Mfano nimekuta mume wangu anacheat na mwanamke mwingine ninayemfahamu, siwezi kumfuata yule mwanamke nikamtukana, nitaanza na mume wangu na kumuuliza kwa sauti ya upole " - Riziki. globalpublishers Tatizo ni kwamba Wanawake wenye Utu, Hekima, Upendo na Busara kama ya huyu Dada Mungu Baba...
  3. KichwaBOGA

    Kama mnajua hamna chaji, ya nini kututia shombo?

    Hivi kwanini mnajidhalilisha? Iko hivi, kuna mkaka mmoja alinitoa..anaonekana dume six pack ila hamna kitu kwenye gemu. Eti dakika 5 kashamaliza anahema ka mjusi hata hajielewi, akazima kabisa nikampepea akazinduka hawezi round nyingine. Kama mnajua hamna chaji ya nini kututia shombo?
  4. Mzukulu

    Pale mume mkomoaji naye anapokutana na wanaume wanaojua kukomoa zaidi yake

    Lawrence Ripple, alienda kuiba benki, lakini baada ya kuiba aliendelea kubaki hapo akisubiri kukamatwa na Polisi. Alipokamatwa na kuhojiwa alidai ni bora akaishi jela kuliko kuendelea kuishi na mke wake mkorofi, baadaye alihukumiwa kifungo cha kukaa nyumbani kwa miezi 6. Chanzo...
  5. Cobra70

    Hivi kuna shahawa za wanaume zinazokondesha na nyingine kunenepesha wanawake?

    Kuna rafiki yangu mmoja analalamika kila akifanya ngono na mwanamke yeyote lazima akonde na jamaa ni mzima wa afya na ana watoto wa nje. Ila wanawake wanamwambia ana shahawa mbaya. Je, kuna ukweli hapo?
  6. katoto kazuri

    Hivi nyie wanaume tuwaweke wapi?

    Kama hutaki kuoa siuache unamchukua binti wawatu halafu matokeo yake unamuua na umalaya wako unalala na kila msichana unaweka mimbegu. Halafu unakuja humo ndani yanyumba kisa mkeo amejua unamuua . Kama mnaona mmeshindwa kukituliza hicho kitu chenu mwambie mkeo naomba tuachane kuliko kumtoa mtu...
  7. Analogia Malenga

    Iran: Wanaume 3 wakamatwa kwa kuwauza watoto wachanga Instagram

    Mkuu wa polisi katika mji mkuu wa Iran -Tehran, Brigadia Jenera Hossein Rahimi, amesema kuwa mmoja wa watoto hao wachanga alikuwa ni wa siku 20.Mwingine alikua na umri wa mwezi mmoja. Watoto hao wachanga walikua tayari wamenunuliwa kwa hadi dola $500 (£400), na walikua wanauzwa tena kwa dola...
  8. P

    Imenishangaza: Dunia ya leo bado kuna wanaume wanapigana mpaka kuuana kisa mwanamke?

    Nimesikia Habari za Chuo cha Utumishi Tanga, Vijana wamezichapa hadi mmoja akaaga dunia kisa binti Sauda Hussein waliyekuwa wanachangia kimapenzi. Bado najiuliza huyu Sauda alikuwa na utamu kiasi gani? Mpaka hii mijemba kuona chuo kizima ni yeye tu wengine hawafai mpaka wakaanza kumgombania...
  9. D

    Siku ya Baba Duniani: Lady Jaydee akerwa kukithiri kwa rushwa ya ngono kwa wasanii wa kike. Ujumbe uwafikie Takukuru

    Mwanamziki mkongwe Lady J Dee; ameonesha kukerwa Sana na tabia ya mapromoter, sponsor na mapresenter Kuwataka kingono wasanii wa kike! Adai tabia hiyo inaua Sana ndoto za wasanii hususani chipukizi kuingia kwenye gemu! Salam ziwafikie: Waziri wa Habari na Michezo Takukuru BASATA Swali ni je...
  10. WilsonKaisary

    Furaha yetu sisi wanaume ni nini haswa?

    Kwa upande wa wanawake furaha yao ni kuolewa na kuzaa basi. Na endapo mwanamke atakosa hivi wanawake hupata maumivu makali na hujisikia kasoro kwenye jamii. Ni maumivu gani aliyonayo Wema Sepetu au Lady Jay Dee kwa umri huo kukosa mtoto au watoto? Kutokana na maumivu haya hupelekea wanawake...
  11. Babu Kijiwe

    Baada Dar kuwa mkoani, sasa ni zamu ya wanaume wa Dodoma

    Wanaume wa Dar waliandamwa sana kwa mengi, sasa Dar imekuwa mkoani kama Simiyu, Njombe na Songwe kazi kwenu wanaume wa Dodoma.
  12. M

    Ni sababu zipi zinazopelekea wanaume kununua dada poa?

    Heshima kwenu wadau Hivi ni sababu ipi kuu ambayo inasababisha wanaume kununua dada poa? Je, ni kukwepa mizinga ya mara kwa mara toka kwa mpenzi wa kudumu, kukata tamaa ya mahusiano ya kudumu au kuna sababu zingine zinazopelekea hali hiyo? Karibuni tuweze kupeana uzoefu
  13. R

    Mshangao: Wanaume tuliooa wanawake wazuri tuna matatizo gani lakini?

    Ngoja leo tuongee na wanaume tuliooa wanawake wazuri kuona tunakwama wapi. Jana katika pita pita zangu mitaa ya kishua nikaibukia uswazi kwetu. Nikakutana na mwanadada Mashaallah analia huku akiongea kwa hasira akimtaja mtu mmoja kwa jina Mohamed. Alikuwa akipiga makelele Mohamed, Mohamed una...
  14. Mzukulu

    Dada zetu kama mnajua hampo tayari kuwa Mama na hamuwezi kulea basi jichungeni

    Katika hali isiyo ya kawaida kabisa Jana jioni katika Vichaka vya iliyokuwa Tanganyika Packers Kawe aliokotwa Mtoto wa kati ya miaka Miwili hadi Mitatu wa Kiume akiwa ametelekezwa hapo na Mama yake. Najua Polisi ya Kawe inayo tayari hii taarifa kwani Juhudi kubwa zilifanywa na Walinzi Shirikishi...
  15. Y

    Wanaume tujifunze kupiga deki

    Natumai hamjambo wananzengo Wakuu wanaume wengi tumekua tukilichukulia poa sana suala la kupiga deki (kuzama chumvini) akati ni jambo muhimu sana katika ndoa/mahusiano ya sasa. Imagine upo kwenye mahusiano/ndoa na mdada aliezoea kupigwa deki hadi analimwaga unadhani atakuona sawa kama humpigi...
  16. EINSTEIN112

    Mwanamke usishiriki mapenzi na mtu wa aina hii

    Unajituma mwenyewe ukienda kwa boyfriend wako unamfanyia usafi, unampikia, unamfulia nguo, halafu kwa ujinga wako unampa na mapenzi moto moto. Unajikunja mwenyewe kama kambale kwenye sex mtoto wa watu viuno feni na vilio juu vya mahaba, unampa mpaka style za akiba za kwenye ndoa mpaka unataka...
  17. H

    Wanaume anachofanya huyu mwenzenu ni sawa?

    Najua mu wazima wa afya njema, mnaoumwa Mungu awafanyie wepesi mpone haraka. Lengo la uzi huu ni kuomba ushauri kwenu na kueleweshwa kama ni sahihi kwa mwanaume kuhitaji mpenzi wako akufanyie kila kitu, unachotaka bila ya wewe kumjali? Kumjali namaanisha hujui amekuja kwa nauli gani...
  18. Money Penny

    Kwanini Wanaume wengi siku hizi mmegoma kuzama chumvini?

    Nilikuwa naongea na bwashee mmoja WhatsApp baada ya kuletewa Uzi na shogangu WA Yule binti alieng'atwa na mbwa😂😂 Nikamwuliza bwashee kwanini wanaume wengi sikuhizi hampendi kuzama chumvini?! Nyie ndio mnafanya wanawake wengi kununua vimbwa na vipaka vya kuwalambalamba Wanaume wengi mpoo...
Back
Top Bottom