wanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. NOT ENOUGH

    Wanaume wanaopenda kununa

    Kuna baadhi ya miwanaume inayopenda kununa inakera sana. Nilikuwa na boyfriend wangu yani kila ikifika Ijumaa lazima litafute sababu ya kugombana ili linune weekend yote. Unakuta wewe mwenyewe unataka mpalange lenyewe limenuna. Na nimefanya utafiti wangu nimegundua wanaume wengi wa aina hii...
  2. Miss Zomboko

    Aidan Khenani awataka Wanaume kutokaa kimya wanapopigwa au kunyimwa unyumba na wake zao

    MBUNGE wa Jimbo la Nkasi Kaskazini mkoani Rukwa, Aida Khenani (Chadema) amewashauri wanaume mkoani humo wanaopigwa au kunyimwa unyumba na wenza wao wasione aibu na kunyamaza bali wazungumze ili wasaidiwe. Alisisitiza kuwa visa vya kupigwa na kunyimwa unyumba na wenza wao ni ukatili huku...
  3. Analogia Malenga

    Wanaume mnaonyanyaswa na wanawake msifiche uovu huo

    WANAUME WATAKIWA KUTOFICHA UKATILI WANAOTENDEWA. Kamanda wa polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni ACP Ramadhani kingai amewashauri wanaume kuacha kuficha vitendo viovu wanavyotendewa na wanawake kwa kutoa taarifa katika mamlaka husika ili watuhumiwa washughulikiwe kisheria. Ushauri huo aliutoa...
  4. U

    Askari wa JWTZ Atuhumiwa Kwa Mauaji ya Mke Wake wa Ndoa Huku Akijaribu Yeye Mwenyewe Kujiua Bila Mafanikio

    Askari huyo wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) anayeenda kwa jina la Daniel Warioba alijaribu kujiua kwa kunywa sumu baada ya tukio hilo lakini hakufanikiwa. Uchunguzi wa tukio hilo la kutisha lililotokea Mlandizi Mkoani Pwani bado unaendelea na taarifa kamili itatolewa na mamlaka husika...
  5. Bujibuji Simba Nyamaume

    Wanaume, please, please msije mkafanya kosa hili

    Enyi wanaume, haijalishi unapenda kiasi gani na huyo mwanamke, awe demu wako, au girlfriend wako, au mchumba wako na hata akiwa mkeo, kamwe usije kumwambia Siri za baba yako na mama yako, hasa zikiwa mbaya, yaani mapungufu. Kuna siku moja atakuja kukusema vibaya wewe, ama kwa marafiki zake, au...
  6. Z

    Maamuzi ya Wakinamama yasiingiliwe

    Viti Maalum vya wabunge Wanawake vimewekwa ili kulipa fursa kundi hilo la jamii kwenye ulingo wa siasa. Mantiki yake ni kuwa, katika vurugumechi za siasa, wanaume huwazidi wanawake kutokana na sababu mbalimbali za kijamii na kitamaduni. Katika kuheshimu misingi ya malengo hayo ya kuwa na viti...
  7. yuda75

    Kwanini wanaume mnaumia mkigongewa wake zenu wakati nyie mnagonga wa wenzenu?

    Dah! Umeowa mkee wako kila kitu unampaa na bado anakuzunguka. Umeolewa na unampa mumeo kila kitu na Bado anazunguka Je, ni kuchokana au kutafuta ladha mpyaa au uwanja wa kila siku hauna raha? JAMANI MKEE ANAUMAA Wewe harusi na mahari umelipa watu wanakula free header SEMA CHA MTUU KITAMU
  8. Chakorii

    Wanawake wengi (wazuri wachache wapo) tuna roho mbaya mno

    Habari ya muda huu natumai muwazima nyote. Moja kwa moja nisipoteze muda. Tukio la leo(jana) limenifanya nikakumbuka miaka michache iliyopita nilipoteza fahamu katika moja ya usafiri wa umma, kizunguzungu kikali sana kilinipata nikajikuta naanza kuyumba (kupepesuka)nilikuwa natafuta nafasi ya...
  9. Miss Zomboko

    Tulia aonya wanaume kupiga wake zao. Kama wewe unasikia maumivu ukipigwa basi na mwanamke anasikia maumivu

    NAIBU Spika wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson, amezindua kampeni ya Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia, huku akiwataka wanaume kuacha kuwapiga wanawake na kuwafanyia ukatili wa aina mbalimbali. Akizungumza kwenye uzinduzi huo, jana, jijini Dar es Salaam, Dk. Tulia alisema jamii...
  10. Miss Zomboko

    RC Chalamila: Wanaume wengi wa Mkoani Mbeya wanapenda kulelewa

    Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, amesema kuwa asilimia kubwa ya wanawake wa mkoa wa Mbeya, wameachiwa jukumu la kuendesha familia zao huku wanaume wakiongoza kufanya vitendo vya dhuluma dhidi ya mali zinazotafutwa na wake zao. Chalamila ameyasema hayo wakati akifunga kongamano la sita...
  11. tang'ana

    Wanaume mliooa acheni tabia ya kununia wake zenu otherwise tutawachapia sana

    Habari zenu watanganyika wenzangu Nishatafuna wake za watu kama watano hivi, sababu kubwa hao wanawake walikuwa wananiambia kuwa waume zao walikuwa wamewanunia pasipokuwa na sababu za msingi, so nami nikaichukulia kama advantage ya kujilia vinono. Wanaume mliooa acheni hii tabia asee.
  12. GENTAMYCINE

    Wanaume tunaopanda Daladala 24/7 hali hii ikikutokea kwa Abiria wa Kike unadhani suluhisho la haraka yeye kufanya ni lipi?

    Ikikutokea umepanda Dala Dala halafu umesimama ( umeshika Chuma ) na mbele yako ameketi ( amekaa ) Mwanamke na mara Yeye wakati labda 'anachati' na Simu akaugusa Uume ( Mkuyenge ) wako ambao na wenyewe kwa bahati nzuri hapo hapo ukaonyesha Ushirikiano wake wa Kusimama Kwake Kiukakamavu (...
  13. Dam55

    Hili la siku ya wanaume duniani kuingiliana na siku ya maadhimisho ya Choo imekaaje?

    Leo ni siku ya wanaume duniani lakini siku hii imekuja wakati ambapo Kuna maadhimisho ya siku ya Choo. Huko mitandaoni kashfa zimekuwa nyingi sana, hii siku imekosa thamani kabisa leo. Kweli wanaume siku hizi tunapenda vyoo hasa vile vikubwa Ila hii ya leo imezidi. =============...
  14. 2019

    Wanaume wanaohonga ndiyo wanawaaribu wanawake

    Kwanza tukubaliane kuna tofauti kati ya kuhonga na kumpa mwanamke vitu. Ufafanuzi:👇👇 Kuhonga ni kutumia vitu kama pesa,vitu vizuri vya anasa kumshawishi mwanamke ili kutimiza lengo lako. Kumpa mwanamke kitu pale anapoomba hupaswi kutoa kitu ambacho kipo nje ya uwezo wako,yani toa kwa moyo wako...
  15. yuda75

    Mwanamkee wako asikufanye usahau wazazi wako

    Habarini jamani, Kumekuwa na mambo mengi haswa wanaume kusahau wazazi wetu haswa wakishaowana au wakiwa na uchumba yani watu wanajisahau sana wanashindwa kujua kuwa wazazi ndo baraka kwa maendeleo. Mzazi alijitoa kwako kwa hali na mali, alijinyima alifungu ili wewe ufike hapo galfa unaobwa...
  16. yuda75

    Chanzo cha wanaume kufa mapema

    * Nimefundisha semina nyingi za wajane 99.9% wanaohudhuria ni wanawake. Mchango huu hapa chini una ukweli usiofichika. 👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼 SABABU INAYOFANYA WABABA KUFA MAPEMA!! Baba anapokuwa bado ana nguvu, yuko kazini huwa anakua na nguvu na ushawishi mkubwa sana kwenye familia yake, familia...
  17. safuher

    Wanaume wengi hufa mapema kwenye ndoa kwa sababu moja kubwa ya wao kuwa na umri mkubwa kuliko wake zao

    Wengi tumekuwa tukidiscuss kwa nini wanaume wengi huwa tunakufa mapema katika ndoa kuliko mababu zetu. Sababu moja kubwa ambayo tunaisahau ni kuwa kiasili mtu mwenye umri mkubwa sana ndio huwahi kufa kwa asilimia kubwa na hii ndio ilivyo kitamaduni tulivyozoea. Sasa tukija kwenye mas'ala ya...
  18. The Assassin

    Ushauri wa bure kwa wanaume wenzangu

    Wanaume tunapitia changamoto nyingi sana, hii Dunia iko very harsh and unfriendly kwa mwanaume and this is how it was created to be. Alternative na mwanaume kuishi, kula, kunywa, kupata raha nyingine zote za Dunia bila kuparangana, kuhatarisha maisha na kadhalika ni next to impossible labda...
  19. Komeo Lachuma

    Wanaume Wabishi ndio tumebaki hewani

    Weusi Wagumu Asilia, Wabishi, Watukutu, Vyuma,Mipini,Wajuba aka Wakulu Kumwao. Ndio tunaelea elea mawinguni namna hii. Wengi wanalalamika mitandao haipatikani. Sisi Wakulungwa tunapasua anga tu toka sehemu mbalimbali za Dunia. Tutawaletea habari za Tanzania hapa hapa JF. Mtazikuta siku Mkirudi...
  20. Matope

    Joyce Kiria, acha kulaumu wanaume muda wote. Anza sasa kufuatilia matatizo ya wanawake kwenye ndoa zao

    Habari, Nimekuwa nafatilia mada za huyu dada muda wote amekuwa mtu wa kulaumu wanawake kupigwa na waume zao je amewahi jiuliza changamoto ni nini Mpk wapate vipigo? Wakati flani wanawake wanakera na kuudhi sanaaa wapo wanaowanyanyasa sana waume zao walalamike wapi? Wanaume wasioweza kusema...
Back
Top Bottom