wanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. safuher

    Utaratibu wa mwanamke kupewa pasu kwa pasu baada ya talaka bila wao kuchangia ni wa Hovyo na kandamizi kwa wanaume?

    Wakati wanaharakati wakihangaika kuwainua wanawake na kujifanya kuwatetea ndipo wanazidi kuwashusha na kuwakandamiza wanaume. Hali inakokwenda kuna wanaharakati watajitokeza nao kuwa wanatetea wanaume dhidi ya ukandamizaji unaofanywa dhidi yao. Mwanamke kutaka pasu kwa pasu ilhali hajachangia...
  2. M

    Nawalaumu wanaume wanaotelekeza watoto, japokuwa wadada mmezidi kutubambikia watoto

    Habari ya mwaka mpya wakuu. Mwaka 2013 nilienda field mgodi wa Bulyanhulu huko kakora uliokuwa unamilikiwa na Accacia, kwenye kivuko pale Busisi nikakutana na dada mmoja mrembo sana. Tukiwa tunasubiri kivuko kianze safari nikasogea karibu naye nikaanzisha mazungumzo na yeye yaliyopelekea kukaa...
  3. lee Vladimir cleef

    Kosa wanalolifanya wanaume wengi sana kwa wake zao

    Hasa wale wenye mafunzo ya kale. Kosa lenyewe. Wanaume wengi, Ni wakati wa kufanya tendo la ndoa(mapenzi). Wengi wao wamekua wakiwafanya wake zao kwa viwango vya chini Sana kwa maana eti wanawaheshimu. Wamekua wakitumia staili moja tu wakati wa tendo, kifo Cha mende, Hawapigi denda wake zao...
  4. lee Vladimir cleef

    Je, wajua kuwa wasichana wazuri kupindukia huolewa na wanaume wenye nguvu?

    Wanaume wenye Nguvu, namaanisha matajiri, watu maarufu, watu mashuhuri na VIONGOZI. Nakanusha kabisa dhana kuwa wasichana/wanawake wazuri kupindukia Mara nyingi wengi wao kuwa huwa hawaolewi. Kwanza kabisa wanawake wote duniani ni wazuri lakini ni ukweli usio na Shaka kwamba wapo wanawake...
  5. ragin

    Wanaume na dhana ya kutopenda mboga ya kabichi

    Ni kwanini wanaume mnaichukia kabichi? Skukuu yote hii nilitamani niwafukuze hawa wageni. Asilimia kubwa wote waliiponda kabichi, Mwingine anaita Minyoo hiyo Mimi silagi. Mwingine Nani ale mizizi hiyo? Oooh sijawa ng'ombe hiyo kabichi usirudie kunitengea. Huyu ndo balaa eti me yf akipika...
  6. kibangubangu

    Idadi ya watu duniani, heko kwa wanaume

    Kila binadamu unayemuona ni juhudi za mwanaume kutongoza hadi mwanamke akakubali, kutekeleza tendo la uzalishaji. Kiasili mwanaume ndiye anayeanzisha mbio za utekelezaji wa Jambo hilo(kushawishi/kutongozwa n.k), Mwanamke yeye hukimbia (kukataa),inampasa mwanaume ajitahidi kufukuzia...
  7. scatter

    Sababu zipi zinakufanya usite kufunga ndoa au kupeleka mahari kwa mwanamke?

    Katika dunia hii kuna makundi mbali mbali ya watu na sifa zao. Kuna wanaume ambao waliojaribu kuingia katika ndoa na ikawavuruga mpaka kufanya maamuzi ya kuachana na wake zao au kuna wengine hawajawahi kuingia kabisa ila kutokana na speed ya maisha wameona haina haja tena ya kuingia...
  8. Chungu chachu tamu

    Hivi wanaume na wanawake ni wapi huongoza kwa kujisahau katika ndoa?

    Salam sana Ama baada ya salamu Kumekuwa na kauli kuwa watu wengi wamekuwa wakijisahau sana majukumu yao baada ya kufunga ndoa na wapenzi wao. Kila upande huulalamikia upande mwingine kuwa wamejisahau sana. MALALAMIKO YA WANAUME Wanaume wamekuwa wakiwashutumu wanawake kubadilika sana katika...
  9. E

    Pombe na wanawake huwapotosha wanaume wenye akili

    Ndugu zangu huu ndio ukweli. "Pombe na wanawake huwapotosha wanaume wenye akili"
  10. comte

    Wanawake kumbe wana tabu hivi katika maisha na mahusiano na wanaume?

    mnawezaje kubadili kiumbe wa mwenyezi Mungu
  11. Anna pita

    Wanaume hii kitu ni sawa?

    Hi kitu imekaaje? Mwanaume miaka 37 ameoa na anafamilia kua na urafiki na kijana wa miaka 25. Tena urafiki ule wa close kabisa kila sehem wako wote ikifika jion jamaa akitoka kazini kijana anaenda nae kwake wanakaa mpaka saa 4 usiku kijana anaondoka. Kama jamaa haendi kazini basi rafiki kijana...
  12. Bujibuji Simba Nyamaume

    Wanaume wana mbinu, Wanawake wana mitego

    Nadhani ni vigumu sana kuuelewa huu msemo. Lakini ukweli ndio huo, Wanawake kabla hawajaingia mapenzini, hupiga Hesabu kali huku wakijifanya malonya kumbe wewe mwanaume ndio boya. Hebu jiulize huyo mwanamke uliyekuwa naye, ulimpata kwa ujuzi na mbinu zako au alikuonea huruma? Unajuaje kama...
  13. Tajiri Tanzanite

    Wanaume wa kiswahili ni shida

    Hapo vip!! Leo nilikuwa kwenye restaurant mojo nikiwa nimetulia . Mara majamaa wawili wakaingia wakiwa na mke na watoto wawili..nahisi nimke wa mmoja wapo. Mara wakaagiza msosi na juice,baada yakunywa juice kidogo mara jamaa akashauti hii juice sio nzuri..hata sisi tunatengeneza sio nzuri...
  14. abeli tz

    Hii ni spesho kwa wanaume wote ili kuepuka kulia katika mapenzi

    Jamani wanaume wenzangu ulimwengu umebadilika sana kwa sasa, zamani ilikuwa tuvumiliane wakati wa shida na raha, siku hizi pesa kwanza mapenzi badaae, asije akakudanganya mwanamke eti anakupenda hivyo ulivyo. Hapana wanawake wa sasa wanataka mwanaume problem solver na yule wa kuafford matatizo...
  15. Kasie

    Wanaume mnakwama Wapi? Vunja Vikoba Dar Desemba 2020

    Habari za jioni, Natumai hamjambo, mko poa na mnaendeleza gurudumu la maendeleo. Tangu mwezi wa 11 mwaka huu 2020 kumekuwa na wimbi la wadada/ wamama kuvunja vikoba vyao kwa maana ya vikundi vya wakina dada/mama hawa kukutana wanaenda mahala na kufurahi pamoja. Kawaida vikundi hivi vya kina...
  16. S

    Wanaume ndio wanakwazika zaidi wawapo na maumbile madogo (vibamia) kuliko hata wanawake (wenza wao)

    Watafiti wanaeleza kuwa wanaume ndio huwa wanakwazika zaidi wawapo na vibamia kuliko jinsia ya kike (wenzi wao). Na huwa watoa madai ati hawawafikishi wenzi wao kileleni kwa kuwa na maumbile ya hayo. Wengi wao (wanaume) hudai eti mpaka uwe na tango ndio utafikia G-Spot ya mke. Utashangaa hata...
  17. T

    Kongamano la Wanaume wa Arusha ndio kitu gani?

    Nimeona kipeperushi cha kongamano la wanaume wa Arusha. Kongamano hilo lililenga kukutanisha wanaume ili wakazungumzie matatizo wanayokabiliana nayo na kuhimizana kutokaa na jambo moyoni. Sijajua kama walikutana jana ama lah lakini kongamano linawaomba wanaume wa Arusha wasiwe wakimiya...
  18. Artifact Collector

    Dhana ya wanawake kupenda Kama wanaume imeharibu sana jamii yetu

    Kinachofanya jamii iharibike ni Ile dhana ya Wanawake nao kutaka kuchagua mtu ata Kama Hana nyuma Wala mbele, matokeo yake mwanamke anazaa na wanaume wa ajabu ajabu hawana malengo na kupelekea kuwepo kwa single mother wengi, unavyombebea mimba mwanaume kwa kigezo Cha moyo unampenda ni uzwazwa...
  19. Its Pancho

    Tangazo na tangazo kwa wanaume wote ...

    Hakuna mahusiano yanayoanza mwezi huu wa December Huo ni mtego chunga wallet yako.
  20. matunduizi

    Usafiri wa daladala ni kipimo cha kiwango cha roho mbaya cha wakinamama na wadada

    Mwanamke mwenzako mjamzito anastahili huruma mpishe siti, upate thawabu. Mwanamke mwenzako anamtoto mchanga, mpishe siti akae, upate thawabu Ikitokea umekanyagwa bahati mbaya na mwanamke mwenzako usitukane na kuwa mtata, kuwa muelewa daladala sio Hammer au V8. Wanaume wenzagu katika hili, Mungu...
Back
Top Bottom