Wadau wanaume tumekuwa wazee wa sound na kuna ishu nasikilizia mara nitakupa mara kuwa mvumilivu alafu ukipata gafla unabadilika kama mvua ya masika kama unajua huwezi kutimizi piga moyo konde utulie si kuahidi tu.
Ndo sababu watu wanagongewa wanawake wao ovyo ahadi kibao maneno mengii...
Wanasayansi na Wabobezi wa 'Kungonoka' wamedai ya kwamba katika ufanyaji wa 'Ngono' Mwanamke huwa anasikia 'Utamu Kunoga' kwa 65% na Mwanaume kwa 35% tu. Na ili kuonyesha kuwa hawa 'Wataalam' wamedhamiria katika kutuelezea ukweli wao hii 65% ya 'Utamu Kunoga' wanaopata Wanawake wameigawanya...
BIBLIA ILIPOSEMA "Enyi Wanaume Ishini na wake zenu kwa AKILI" Mungu alikuwa anajua anachosema. Kama huna akili Mwanamke atakukoroga maisha yako yote na utaishia kusema "Women are so Complicated"
Wanawake huwa wanaongea vitu 'Kirahisi-rahisi tu' lakini huwa vinamaanisha 'Vitu Vigumu Ajabu'...
In any case chanzo cha ndoa yoyote kuvunjika chanzo ni mwanaume.
1. Mfano ukisema ume divorce sababu mama kachepuka lazima kosa ni lako kwa maana ya kwamba hukufanya Uchunguzi wa kutosha kwenye kutafuta mchumba au ulifanya then ukaja ukaboronga baada ya kumuoa
AUA MKE KWA KISU KISA WIVU WA MAPENZI
SHINYANGA: Oktoba 11, 2020
Mkazi wa Didia Shinyanga Vijijini, Eliya Paulo Shija (30) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma ya kumuua Mke wake Mariam Juliasi (26) kwa kumchoma na kisu sehemu za shingoni usiku akiwa amelala akimtuhumu kuwa si mwaminifu...
Jamii yetu inapitia kipindi kigumu cha kucopy na utandawazi ,technology etc.Hii imepelekea janga kubwa la Vijana hususani wa kiume (na baadhi wakike ) wenye mahusiano kuiga hulka za vijana wa maghalibi kupenda kutumia muda wao na marafiki (Washkaji /Masela) zaidi ya wapenzi wao .
Marafiki ni...
Mfanyakazi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) jijini Dar es Salaam, Ombeni Alfayo, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumkata mke wake kiganja cha mkono wa kulia kwa sime kwa madai ya wivu wa kimapenzi.
Nipashe
Ukiona Mwanaume yoyote anafanya 'Upumbavu' na 'Ushamba' huu jua...
Vitabu vya dini vinasema
"Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono take mwenyewe".
Sifa za mwanamke mpumbavu
1: Amejaa Gubu ( nagging). Yaani malalamiko kila Kona.
2: Ananajisi kitanda cha ndoa kwa kuelezea watu mambo ya kitandani mwake na mumewe.
3: Ameolewa lakini mama yake na Ndugu...
Salaam wanajukwaa,
Kumekua na malalamiko mengi miongoni mwa wanawake kua siku za hivi karibuni kumekua na upungufu wa wanaume waaminifu, wapole na wenye upendo wa dhati.
Katika kujaribu kutafuta majawabu ya swali hili pia nimekua najiuliza vipi wanaume wanaweza kubaki kua waaminifu huku...
Jamani tuongee ukweli, kuhonga hakuongezi kupendwa palipo penzi la dhati. Penzi la muda mfupi au la siku moja kuhonga kutaweza kukusaidia lakini kwa mwanamke au mwanaume anayekupenda haihitaji kuhonga. Hii sio kwa wanaume tu hata wanawake wanaohonga.
Kwa uzoefu wangu huu penzi la kweli...
Nishakuwa na mke wa mtu alikuwa ni nesi katika hospital flani. Bwana bwana alikuwa anamuaga mumewe anaenda shift ya night kumbe anakuja kwangu anapika anapakua analiwa kesho yake asubuhi anarudi home kulala hiyo ni siku moja kabla hajaanza off au baada ya kuanza off.
Alinipenda sana yule dada...
Nimeshaobserve sana hili suala yaani kwa mfano mimi nisipomtamani mdada rohoni, huyo mdada lazima anishobokee, kosa ni kuwa nikiona mdada halafu moyoni nikaanza kumtamani sana na kumpenda na kumuwaza kila siku, bhasi huwa simpati.
Hii haijalishi muonekano wake, mdada anaeza akawa mzuri tu, ila...
Dah! Poleni sana kwa kweli nimesoma thread nyingi humu nakuta wanaume wanalalamika juu ya kudhulumiwa pesa zao na wanawake na mzigo hawajapewa
Kuna mwingine nae pia kaanzisha uzi eti demu akisema amekumiss basi ww inabid umtumie pesa nikacheka sana ninajua kinachowasumbua hawa wanaume wa...
Aisee wanaume najua wengine hapa mpo kwenye mahusiano na wengine ndo bado wanatarajia kuoa.
Huwa vijana wana shauku sana pindi wanapotaka kuoa na huwa na mapendekezo mbalimbali juu ya wanawake watakao taka kuwaoa/kuwa nao kwenye mahusiano.
Na ule usemo wa mwanamke sio sura ni tabia haujawahi...
Nitawasalimu baadaye,
Kuna jambo moja huwa mnanishangaza nalo ndugu zangu wapendwa wa jinsia Me,
Naombeni mnisaidie Leo, huwa kwenye akili zenu mnafikiria nini pale unakuta mkaka anaenda ku confess hisia zake kwa mwanamke mwingine, while each and every day unaona anapost either ni girlie wake...
Habari wadau
Mimi nakumbuka nilionga sana ada yangu alafu kuirudisha ikawa shida nikauza vitu vyangu vya getto
Nikamaliza chuo nikapata kazi sehemu nikawa nahonga mshara wangu nusu kama fungu la kumi lakini bada ya kuteswa na mahusiano na kugundua kuwa wanawake ni waongo na walafi sikuizi...
Shirikisho la Mpira wa Miguu la Nchini, Brazil limetangaza sera mpya ya malipo na posho kwa wanasoka Wanawake na Wanaume
Sera hiyo itafawanya wanasoka Wanawake na Wanaume wawe wanalipwa kiwango sawa.
CBF, imeeleza kuwa Wachezaji wa Timu za Taifa(Wanaume na Wanawake) za Brazil kwa ngazi zote...
Inasikitisha kweli kweli yaani Mwanaume analala Saa 7 Usiku na Kuamka Saa 9 Usiku ili aanze Kujiandaa na kuitafuta Vingunguti Machinjioni halafu bado kila akipata tu Mshahara wake anaupeleka wote kwa Mkewe na anapangiwa Bajeti ya Pesa yake anayotakiwa kuwa nayo Mfukoni mwake ama kwa Siku au kwa...
Rejea zako tu Kichwa cha Habari hapo juu kisha anza 'Kutiririka' na 'Kuserereka' zako. Nitashangaa sana nikiona kuna Mwanaume mwenzangu wa Kiafrika atasema kuwa Yeye Mkewe/Mpenzi wake alipojifungua tu hakutoka nje (hakumsaliti ) Kimahusiano. Nitapenda kuona zaidi Wanaume 'tukikiri' hapa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.