Miadi ni saikolojia. Hizi ni kanuni za mahaba ingawa hazijaandikwa kama za TFF
Wanawake mjifunze kutoka kwenye taarifa ya TFF!
Mwanaume unapompa miadi kila kitu hufanya kwa kuzingatia appointment!
"Sorry baby, we can't make it today, may be tomorrow"
Hakika nawambie maumivu yake huwa ni Mara mbili ya yale ya kuahirishwa mechi ya Simba na Yanga! MJIFUNZE KUTOKANA NA HILI
Wanawake mjifunze kutoka kwenye taarifa ya TFF!
Mwanaume unapompa miadi kila kitu hufanya kwa kuzingatia appointment!
- Wapo wanaokula vizuri ili kujiweka sawa
- Wapo wanaopiga mazoezi kujiweka sawa
- Wapo wanandoa hunyimana ili kumtunzia mchepuko nyege
- Wapo wanaokula vumbi na juice ya tende kwa ajili ya gemu
- Wapo wanaoendesha rafu na kutanua barabarani kwa mwendo hatarishi ili kuwahi miadi
- Wapo wanaonyoa sehemu za siri kwa ajili ya gemu!
"Sorry baby, we can't make it today, may be tomorrow"
Hakika nawambie maumivu yake huwa ni Mara mbili ya yale ya kuahirishwa mechi ya Simba na Yanga! MJIFUNZE KUTOKANA NA HILI