May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,162
- 8,820
Ni jana tu tulikuwa tunazungumza na Mtu akanieleza namna ambavyo Dada yake alivyopambana na maisha mpaka kufikia kujijenga kiuchumi, aliweza kujijengea vyumba vyake viwili vya kuishi na biashara yake ya duka la rejareja.
Baadae alipata mwenza na kubahatika kupata Watoto wawili, baadaye Baba Watoto akaondoka na kumuachia Dada mzigo wote wa malezi hali iliyosababisha hali ya biashara kuyumba na ikambidi kufunga lile duka na inasemekana Jamaa tayari ameanzisha familia nyingine huko alipo huku Mama amebaki anateseka na Watoto.
Na leo nimesikiliza vipindi redioni nako nimesikia stori za kina Mama waliokimbiwa na Wenza wao na kuachiwa Watoto tena wenye changamoto za kiafya.
Tukomeshaje hili?.
Baadae alipata mwenza na kubahatika kupata Watoto wawili, baadaye Baba Watoto akaondoka na kumuachia Dada mzigo wote wa malezi hali iliyosababisha hali ya biashara kuyumba na ikambidi kufunga lile duka na inasemekana Jamaa tayari ameanzisha familia nyingine huko alipo huku Mama amebaki anateseka na Watoto.
Na leo nimesikiliza vipindi redioni nako nimesikia stori za kina Mama waliokimbiwa na Wenza wao na kuachiwa Watoto tena wenye changamoto za kiafya.
Tukomeshaje hili?.