feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 8,947
- 18,448
Salaam.
Wakuu wafanya biashara wadogo wenzangu,hivi hali ikoje kwenye biashara mbona mambo yanazidi kua mabaya hivi wazee kwa zaidi ya mwezi sijawahi kukutana na hali mbaya ya biashara kama wakati huu tangu nianze hii biashara,yaani pesa hakuna mteja anakuja analia vibaya sana.
Wazee ni kwangu tu au hata kwenu? Biashara zote tatu ni shida atleast ya chakula ndo napatapata ya kusukuma siku dah🙌 sio poa.
Wakuu wafanya biashara wadogo wenzangu,hivi hali ikoje kwenye biashara mbona mambo yanazidi kua mabaya hivi wazee kwa zaidi ya mwezi sijawahi kukutana na hali mbaya ya biashara kama wakati huu tangu nianze hii biashara,yaani pesa hakuna mteja anakuja analia vibaya sana.
Wazee ni kwangu tu au hata kwenu? Biashara zote tatu ni shida atleast ya chakula ndo napatapata ya kusukuma siku dah🙌 sio poa.