Natumai ni wazima wakuu zangu
Ni siku mpya tumeweza kupata zawadi ya uhai na uzima, ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu ambaye ndio mpaji wa vyote.
Kuna wagonjwa mahospital, wafungwa magereza, vita, majanga ya asili, vifo nk.. ukiona umeamka huna changamoto hizo, inakupasa kushukuru sana. Hakuna hajuae kesho.
Turudi kwenye lengo la uzi, kijana wenu nimeamua kupandisha uzi kutokana na masaibu ninayopitia mara kwa mara ( uchumi wangu mbovu sana) kupiga dash kwa siku ishakuwa kawaida.
Hivi ninavyongea mtungi wa gesi umenikatikia ilikuwa ndio mkombozi wangu nikizama kwa mangi nikakopa nina uhakika wa kuishi siku kadhaa. Sasa utambi umekata na sina namna nyingine kwa sasa.
Jinsi mtakavyoguswa kwenye hii changamoto yangu nitashukuru.
Ahsante wakuu zangu, karibuni kunishika mkono 🙏🏾
Ni siku mpya tumeweza kupata zawadi ya uhai na uzima, ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu ambaye ndio mpaji wa vyote.
Kuna wagonjwa mahospital, wafungwa magereza, vita, majanga ya asili, vifo nk.. ukiona umeamka huna changamoto hizo, inakupasa kushukuru sana. Hakuna hajuae kesho.
Turudi kwenye lengo la uzi, kijana wenu nimeamua kupandisha uzi kutokana na masaibu ninayopitia mara kwa mara ( uchumi wangu mbovu sana) kupiga dash kwa siku ishakuwa kawaida.
Hivi ninavyongea mtungi wa gesi umenikatikia ilikuwa ndio mkombozi wangu nikizama kwa mangi nikakopa nina uhakika wa kuishi siku kadhaa. Sasa utambi umekata na sina namna nyingine kwa sasa.
Jinsi mtakavyoguswa kwenye hii changamoto yangu nitashukuru.
Ahsante wakuu zangu, karibuni kunishika mkono 🙏🏾