molecule2004
Member
- Jun 28, 2025
- 30
- 59
Kwa kijana mwenye umri wa 22yrs mwenye mtaji wa 3.5M apa mjini dsm ungemshauri ajikite kwenye biashara zipi zinakazomfanya atoboe kimaisha baada ya miaka michache?
We pika maandazi weka amira nyingii halafu tumia mafuta ya transfoma kukangia. Utapata pesa mlima, maana wajinga wengi saridalaam huwaambii kitu kwa maandazi yaliyopikwa kwa kutumia mafuta ya transfoma.Kwa kijana mwenye umri wa 22yrs mwenye mtaji wa 3.5M apa mjini dsm ungemshauri ajikite kwenye biashara zipi zinakazomfanya atoboe kimaisha baada ya miaka michache?
Hiyo kazi iliyokupa 3.5m komaa nayo izalishe zai
5 mpaka 10Kwa kijana mwenye umri wa 22yrs mwenye mtaji wa 3.5M apa mjini dsm ungemshauri ajikite kwenye biashara zipi zinakazomfanya atoboe kimaisha baada ya miaka michache?
DuhhWe pika maandazi weka amira nyingii halafu tumia mafuta ya transfoma kukangia. Utapata pesa mlima, maana wajinga wengi saridalaam huwaambii kitu kwa maandazi yaliyopikwa kwa kutumia mafuta ya transfoma.
Aweze kuwa na uchumi stable bila kuteterekaKutoboa kimaisha kuna maana nyingi, mimi nikipata hela ya kula milo miwili kwa siku nakua nimeshatoboa tayar sasa mleta mada tuambie huyo kijana wa 2004 anataka matobo yapi kwenye haya maisha
Ujaelewa swali io milion tatu iwekwe wapi izidi kukuaHiyo kazi iliyokupa 3.5m komaa nayo izalishe zaidi
Hiyo kazi iliyokupa 3.5m komaa nayo izalishe zaidi
HahahahahaNjoo kimbia chapu hapa kitambaa cheupe nikushauri
upumbavuWe pika maandazi weka amira nyingii halafu tumia mafuta ya transfoma kukangia. Utapata pesa mlima, maana wajinga wengi saridalaam huwaambii kitu kwa maandazi yaliyopikwa kwa kutumia mafuta ya transfoma.
Jibu/swali zuri
Ngoja aje kusema aliipataje
Ushawahi kuona kilaza anaelewa?Ujaelewa swali io milion tatu iwekwe wapi izidi kukua