utajiri

  1. Makirita Amani

    JamiiForums Tanzania Kama una tabia hizi 10, huwezi kamwe kufanikiwa kwenye maisha

    Rafiki yangu mpendwa, Sipendi kuwa mtu wa kuleta habari mbaya kwako, lakini ukweli huwa haujali. Ukweli huwa unabaki kuwa ukweli iwe unapendwa au haupendwi. Hivyo badala ya kutumia mbinu ya mbuni, kuficha kichwa kwenye mchanga ili kutokuiona hatari, ni vyema tukaiona hatari na kuchukua hatua...
  2. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania AliKiba amdiss Diamond Platnumz kuhusu utajiri na Forbes: Wadau wasema Sadala ni kiki ya album yake mpya

    Akielekea kuachia album yake mpya msanii wa kitambo Ali Saleh Gentamilan au Ali Kiba, amemdiss Mfalme wa Afro Pop duniani Diamond Platnumz. Lakini wadau wameusisha diss yake na promotion ya album yake mpya.
  3. Prof Koboko

    JamiiForums Tanzania Lengai ole Sabaya akutwa na ukwasi wa Tsh. Bilioni 3 baada ya kupekuliwa

    Kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa na Gazeti kongwe la RAIA MWEMA ni kwamba aliyekua mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Ole Sabaya anaogelea kwenye mabilioni ya shilingi. Kazipataje hizi pesa wakati yeye ni mwajiriwa wa serikali? Ni biashara gani ya wazi Sabaya anafanya tusaidiane? Eti mnaita huyo...
  4. Countrywide

    JamiiForums Tanzania Mbinu za utajiri ni ubahili, bila kuwa bahili sahau utajiri. Faida yake naiona

    ... .
  5. Makirita Amani

    JamiiForums Tanzania Kitabu Kipya; Tabia za kitajiri za kuishi kila siku ili kufika kwenye utajiri mkubwa

    Rafiki yangu mpendwa, Ninayo furaha kubwa kukutaarifu kwamba kitabu kipya cha TABIA ZA KITAJIRI; Tabia Za Kuishi Kila Siku Ili Kupata Utajiri, Mafanikio Na Furaha kimekamilika na kiko tayari kwa ajili yako kusoma. Hiki ni kitabu ambacho kimebeba matokeo ya tafiti mbalimbali zilizofanywa kwa...
  6. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Kilichokuwa Nyuma ya Story yangu ya kusaka Utajiri Kongo DRC

    Naona wengi mnanichukia na kuniita majina yote mabaya.Fisadi, Tajiri Mjeuri, Handsome Boy, Billionea Chizi n.k Ile story nlilazimika kuisitisha baada ya wahusika kunifuata na kutaka niisitishe na walitoa sababu zao. Mbaya zaidi mmoja ana connection kubwa sababu ya biznez zake za Madawa. Nami...
  7. Jackwillpower

    JamiiForums Tanzania Freemasons katika siasa na dini

    Nataka kusema kwamba, Ulaya wameitawala Libya,wanajua utamu wa utajiri wake wa mafuta. Ulaya na Marekani ndiyo wenye makampuni makubwa, “Supermajors” ya mafuta hapa duniani. Utawala wa Gaddafi ulitaka kubinafsisha mafuta yote yawe kwa maslahi ya Walibya, ooh…wakamkosea Mzungu. Freemasons...
  8. Naton Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni 1% tu ya Wakenya wanaoweza kumiliki Milioni 40 za Kitanzania

    Report mpya ya ukwasi wa mtu mmoja mmoja katika mataifa tofauti duniani imetoka ikionesha hali ya utajiri katika taifa. Aidha report hii inaonesha ni kiasi gani cha fedha unapaswa kuwa nacho ili uingie kwenye country's millionaire club au uwe regarded as a wealth man au uwemo katika kundi dogo...
  9. J

    JamiiForums Tanzania PLO Lumumba: Tundu Lissu ni muongo, nimefika Chato Hayati Magufuli hana utajiri wa kumlinganisha na Mobutu Sese Seko

    Mwanasheria mkongwe na mwanaharakati maarufu Afrika kutoka nchini Kenya PLO Lumumba amesema madai ya Tundu Lissu kwamba Hayati Magufuli ni tajiri kama hayati Mobutu Sseseko wa Zaire ni ya uongo na uzandiki uliopindukia. Lumumba alikuwa anajibu swali la mtangazaji Shaka Ssali wa VOA na kusema...
  10. B

    JamiiForums Tanzania Asikudanganye mtu kuwa Umaskini ni jambo la Kujivunia. Jaribu utajiri uone raha yake

    Ni kweli hamuwezi wote kuwa matajiri. Sisi wengine tunakuwa tuna wawakilisha ninyi ambao bado hamjafanikiwa kuzipata. Utajiri wako uwe wa furaha na amani. Usiibe, Usidhurumu, Usipate kwa Waganga. Pata mali halali. Maskini hana Raha mchana wala Usiku. Mchana Nzi usiku Mbu. Hamna jema maskini...
  11. Ghost boss

    JamiiForums Tanzania Mungu humpa kila mtu utajiri ila mtu huukataa

    Kuna habari inatembea sasa ikimwonesha mvuvi anayedaiwa kuvua samaki mwenye thamani ya pesa za Tanzania billion 6 na anadaiwa baada ya kumvua alimla na wanakijiji wenzie. Kwa haraka haraka hakuna anayeweza kumlaumu jamaa maana angejuaje kama thamani yake ndio hiyo. Ila swali nikuwa huyu jamaa...
  12. Ghost boss

    JamiiForums Tanzania Impossible is richness. Lisilo wezekana ndio utajiri. The problems is that the rich man is not yet a rich, and a poor man is not yet a poor

    IMPOSSIBLE IS RICHNESS. LISILO WEZEKANA NDIO UTAJIRI The problems is that the rich man is not yet a rich and a poor man is not yet a poor. Hayo ni maneno kutoka kwenye kitabu cha rich dad and poor dad cha Robert kiyosaki. Jambo ambalo linaonekana haliwezekani ndilo lenye siri ya unapotaka kuwa...
  13. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Kagera: Amuua Mama yake mzazi baada ya Mganga kumwambia apeleke damu ili kuongeza utajiri

    Jeshi la Polisi mkoani Kagera linamshikilia Fredius Philibart Kibengo mkazi wa Omurushaka wilayani Karagwe kwa tuhuma za kumuua mama yeke mzazi kwa kumkata shingoni kwa kutumia kitu chenye ncha kali baada ya mganga wa kienyeji kumtaka kupeleka damu ya mama yake au ndugu yake wa karibu ili...
  14. lee Vladimir cleef

    JamiiForums Tanzania Utajiri bila soko ni ujinga

    Marekani na China Ni nchi Matajiri Sana lakini kila moja inaitegemea nyingine. Marekani anazalisha Sana na anaiuzia China, China pia anazalisha Sana na anaiuzia Marekani. Sisi hatuzalishi chochote Cha kiwandani Cha kuweza kuwauzia Mabeberu, Wala hatulimi Sana kushinda hata India China na...
  15. Intelligence Justice

    JamiiForums Tanzania Mali iliyoko Singida ni utajiri kwa watu wake na Taifa

    Wakuu, Mjadala unawekwa mezani kuhusu fursa za kiuchumi kutokana na rasilimali asili zilizoko Singida 1. Safu za mlima Sekenke hadi Makutupora ina mkanda wa madini ya Dhahabu. Wajerumani walivuna sana madini hayo na jinsi ya usafirishaji wake ilikuwa wanatumia mitaro ya zege. 2. Zao la...
  16. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

    PART I Katika harakati za kutafuta maisha kuna mengi sana ambayo wanaume tunapitia. Leo ntawaelezea visa na mikasa ambayo nlipitia toka nimemaliza kidato cha nne mwaka 1995. Mambo haya yametokea nikiyaona na pia nikihusika. Mimi ni mtoto wa kwanza katika familia ya watoto 7. Nikiwa na dada...
  17. Cvez

    JamiiForums Tanzania "Linda utajiri wako, ogopa umasikini " Mzee Abdul

    Kauli hii wanaume tuiweke katika sehemu salama zaidi katika vichwa vyetu. Maneno ya mwisho ya Mzee Abdul kumuasa aliyekua mwanae kuhusu maisha.
  18. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Balcony inachukua nafasi kubwa ya eneo, unaweza kujenga ghorofa bila balcony

    Nimeona hii nyumba na kutafakari. Kwa wale wapenzi wa ghorofahii ni plan ni ya bei nafuu. Juu Ina vyumba vitatu vya kulala a family bathroom. Chini ina jiko, choo, sebule na dining. Katika kiwanja cha kawaida cha 1/4 eka unaweza kujenga hii nyumba na nyuma ukapata nafasi ya banda la kuku...
  19. K

    JamiiForums Tanzania Elon Musk ampiku Jeff Benzos kwa utajiri duniani

    Shares of Tesla are up another 4.2% today and with that, Tesla CEO Elon Musk has passed Jeff Bezos to become the world's richest person, according to Bloomberg calculations. His net worth is $188 billion dollars, about $1.5 billion more than Bezos. In the past 12 months, Musk's net worth has...
  20. Red Giant

    JamiiForums Tanzania Kupanga mji ni ustaarabu tu wala siyo utajiri. Cheki hiki kijiji huko Mbeya.

    Hiki kijiji kinaitwa Ifumbo. Kipo wilaya ya Chunya mkoa wa Mbeya. Kimepangwa vizuri sana kuliko sehemu nyingi za jiji la Mbeya. Watu wa mipango miji na vijiji vingine viende vikajifunze kabla hawajachafua maeneo yao. Weka picha ya kijiji kilichopangika vizuri.
Back
Top Bottom