Zile stori za Tanzania ina utajiri wa rasilimali nyingi ni uongo, au kuna shida mahali?

Artifact Collector

JF-Expert Member
Mar 7, 2019
6,539
10,006
Tokea tunakua tukisikia Tanzania tuna rasilimali nyingi sana, lakin tokea inchi imepata uhuru hizo rasilimali zimeshindwa kuwa msaada kwa wananchi

Mfano nchi za kiarabu Kuna rasilimali ya mafuta tunaona jinsi gani zilivyowasaidia, nchi kama south Africa na Botswana tunaona dhahabu na almasi jinsi zilivyowasaidia

Kipindi cha Magufuli alilamika nchi inaibiwa na makampuni ya madini kutoka nje ya nchi, akabadili Sheria tukaambiwa tutakua tunapata share kubwa, lakin mbona mzigo wa Kodi anabebeshwa mwananchi kabudi atusaudie kutupa jibu sababu yeye ndo alietuambia tutaanza kuneemeka

Kama tungekua na rasilimali nyingi mwigulu asingebebesha wananchi mzigo wa Kodi
 
Kiongozi yule na wanufaika wake waliitawa Nchi Kwa Ngiriba na Uongo Mwingi ndio Maana Hata Sasa Walioirithi Mikoba Wanapata wakati Mgumu katika kutaka Uiongoza nchi badala ya walivyozoea Kututawala. Kwa Miaka Mitano na Usheee nchi Ilitawaliwa na Kikundi cha watu Wachache waliotuaminisha na Kutulazimisha tuamini ya kuwa Nchi yetu ni DONA CANTIRI Kumbe Nchi Ilikuwa Inaenda Kufilisika.
 
Ukitaka kumtawala mtu au kumwibia, usimwambie thamani yake, au kile alicho nacho, au uwezo alionao, au hata vile anavyoweza kuwa baadaye. Hii ndiyo tofauti kubwa kati ya Anko Magu na Bi Mkubwa wenu!!!
 
Ccm kama Ccm hawana tena fikira mpya yani walishafika mwisho kitambo ndio maana munawaona wakijiuguza kupia polis na kununua mawazo mbadala huko hakuna viongozi bali kuna watoza Kodi tu
 
Hivi zile gari nyingi za viongozi huwa ni bei gani?
Misafara ya
Rais,
Makamu,
Waziri mkuu,
Mawaziri/Manaibu,
Makatibu wakuu/Manaibu,
Majaji,
Spika/Naibu,
Wakuu wa Mikoa,
Madas,
Wakuu wa wilaya,
Maras,
Wakurugenzi,
Makamishina nk

KILA SIKU YANANYONYA MAFUTA KAMA TAIFA TUNAINGIZA BEI GANI KWA SIKU.

Huko vijijini shule hakuna,
Maji hakuna,
Dawa hakuna,
Barabara hakuna.
Huku bandari tu inaweza tatua
 
Tokea tunakua tukisikia Tanzania tuna rasilimali nyingi sana, lakin tokea inchi imepata uhuru hizo rasilimali zimeshindwa kuwa msaada kwa wananchi

Mfano nchi za kiarabu Kuna rasilimali ya mafuta tunaona jinsi gani zilivyowasaidia, nchi kama south Africa na Botswana tunaona dhahabu na almasi jinsi zilivyowasaidia

Kipindi Cha magufuli alilamika nchi inaibiwa na makampuni ya madini kutoka nje ya nchi, akabadili Sheria tukaambiwa tutakua tunapata share kubwa, lakin mbona mzigo wa Kodi anabebeshwa mwananchi kabudi atusaudie kutupa jibu sababu yeye ndo alietuambia tutaanza kuneemeka

Kama tungekua na rasilimali nyingi mwigulu asingebebesha wananchi mzigo wa Kodi
Usisahau haya:
Uaarabuni wako serious zaidi, family zao kiutawala organized.
South Africa na Botswana - Wazungu
Angalia Nigeria, Angola, Equatorial Guinea - Weusi - Shida tupu
Tanzania - ni JPM tu alikuwa anajua - itachukua miaka 100 mingine kumpata kama JPM, ila tu kujua mengi/kulewa madaka na ukatili wake, tumempoteza!

Kwa hiyo utajiri au raslimali ziwepo, inategemea na aina ya hao watu waliopo.
 
Ccm kama Ccm hawana tena fikira mpya yani walishafika mwisho kitambo ndio maana munawaona wakijiuguza kupia polis na kununua mawazo mbadala huko hakuna viongozi bali kuna watoza Kodi tu
Kama Philip Mpango anachojua practical ni kuongeza Kodi hakuna kingine anachojua, akilala akiamka anafikiri ataongeza Kodi wapi, na hiyo tabia kamridhisha mwigulu
 
Usisahau haya:
Uaarabuni wako serious zaidi, family zao kiutawala organized.
South Africa na Botswana - Wazungu
Angalia Nigeria, Angola, Equatorial Guinea - Weusi - Shida tupu
Tanzania - ni JPM tu alikuwa anajua - itachukua miaka 100 mingine kumpata kama JPM, ila tu kujua mengi/kulewa madaka na ukatili wake, tumempoteza!

Kwa hiyo utajiri au raslimali ziwepo, inategemea na aina ya hao watu waliopo.
JPM anajua kivip na wakati amepandisha deni la taifa Maradufu ndani ya mda mfupi kuliko Marais wote waliopita
 
Tokea tunakua tukisikia Tanzania tuna rasilimali nyingi sana, lakin tokea inchi imepata uhuru hizo rasilimali zimeshindwa kuwa msaada kwa wananchi

Mfano nchi za kiarabu Kuna rasilimali ya mafuta tunaona jinsi gani zilivyowasaidia, nchi kama south Africa na Botswana tunaona dhahabu na almasi jinsi zilivyowasaidia

Kipindi Cha magufuli alilamika nchi inaibiwa na makampuni ya madini kutoka nje ya nchi, akabadili Sheria tukaambiwa tutakua tunapata share kubwa, lakin mbona mzigo wa Kodi anabebeshwa mwananchi kabudi atusaudie kutupa jibu sababu yeye ndo alietuambia tutaanza kuneemeka

Kama tungekua na rasilimali nyingi mwigulu asingebebesha wananchi mzigo wa Kodi
Mfumo wa siasa ya nchi yetu ubadilike siasa za mdomoni kukilinda chama tawala ccm ni tatizo,watawala walikubali hili tatizo na kulitolea ufumbuzi,"Kama katiba inatambua kuwa,Kila mtu alizaliwa huru"(Ibara ya 12) kwa nini uccm,uchadema na ucuf utusumbue mpaka tushindwe kuwa wazalendo wa kweli katika nchi yetu wenyewe?
 
Kiongozi yule na wanufaika wake waliitawa Nchi Kwa Ngiriba na Uongo Mwingi ndio Maana Hata Sasa Walioirithi Mikoba Wanapata wakati Mgumu katika kutaka Uiongoza nchi badala ya walivyozoea Kututawala. Kwa Miaka Mitano na Usheee nchi Ilitawaliwa na Kikundi cha watu Wachache waliotuaminisha na Kutulazimisha tuamini ya kuwa Nchi yetu ni DONA CANTIRI Kumbe Nchi Ilikuwa Inaenda Kufilisika.
Kweli kabisa.
 
Back
Top Bottom