Miongoni mwa wahubiri NGULI na mahiri kabisa kupata kukaa miguuni mwa Mwinjilisti wa kweli wa Mungu Mch. Moses Kulola, Basi ni Dustan Maboya.
Maboya mwenye sauti nzito na swaggz za kufa mtu, miaka ile ya mwishoni ya 80 alikuwa akitisha kwa namna alivyokuwa akizivuta roho nyingi kwa Yesu.
Leo...
Kwanza nianze kwa kumshukuru Mungu kwa kutuumbia nyie viumbe maana sometimes huwa nashindwa kuimagine maisha yangekuaje bila nyie
To be honest wadada wenye lips nene mna nafasi kubwa sana moyoni mwangu.
Nisiongee sana nisije nikakufuru naomba tu niwatakie usiku mwema wenye baraka tele
Mungu...
USIKU YAONEKANA KAMA JIJI LA NEW YORK AU LONDON. WENYEWE WAMWOMBA RAIS KIKWETE, MZEE WA VIJISENTI AKAWASAFISHE
WAKAZI wa Kijiji cha Gamboshi, kilichopo wilayani Bariadi, Mkoa wa Shinyanga, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete awasaidie kusafisha kijiji chao kutokana na jina baya lililoenezwa duniani...
Wakuu amani iwe kwenu!
Leo sina mengi ila nataka niwaombe wajomba zangu wa TAKUKURU kwamba kuna wateja wao Kawe tena wateja wakubwa sana. Leo usiku wateja hao walikuwa wanapita nyumba kwa nyumba na kila mwenye kitambulisho cha kura alikuwa anakula pesa halali za kitanzania kati ya 30000/= na...
Jamani leo niko wilaya ya Kilosa nimepanga nyumba nzima ya peke yangu hapa Kilosa mjini mtaa wa Uhindini. Sasa maji yanatoka nje hapa kwangu usiku huu na kuna wanawake wawili wanachota maji kwa zamu mmoja anaenda mmoja anabaki, tena nje ya dirisha langu ndio kuna bomba.
Sasa namsikia kabisa...
Kwanini hapa Tanzania boxing iwekwe saa 8 au saa 10 usiku/alfajiri?
Watu wengi wanaangalia ngumi kwenye kumbi na vibanda umiza na wale wanaokwenda kuhudhuria mubashara mapambano hayo wanatoka mbali na ukumbi.
Shida iko wapi Kama mapambano yakifanyika muda huo?
1. Usalama mdogo kwa watazamaji...
Aisee huu mwaka mambo yamebadilika kabisa.
Hapa ni Mlima Nyoka watu wamekusanyika kupokea ujio wa Lissu ambaye anakadiriwa kuwa umbali wa kilomita zaidi ya 150 kufika hapo walipo.
Ikumbukwe kutokana na msafara wake jana kusimamishwa mara kwa mara alishindwa kuhutubia mwembe togwa Iringa na...
#Sasa basi
===
Taarifa ya awali inasema Watu ambao hawajajulikana, usiku wa kuamkia leo wamevamia na kumwagia petroli kisha kuchoma moto Ofisi za CHADEMA Kaskazini na ofisi za Mkoa na Wilaya
Uchunguzi wa tukio hilo bado unaendelea kubaini wahusika na madhara yaliyojitokeza
ZAIDI:
Ofisi za...
Kwa mara ya kwanza mimi nilipolala na aliyekuwa demu wangu usiku kucha yaani ilikuwa shida sana. Yaani nilikuwa kama dokta yupo na mgonjwa ICU.
Nakumbuka ilikuwa Moshi maeneo ya Ushirika wa Neema, kabaridi kanapiga balaa. Dogo mwili ulikuwa wa moto basi kila nikiamka namgusa mwili, naona...
Habari zenu wana jukwaa, natumai hamjambo nyote na munaendelea kupambana na majukumu. Mimi kwa upande wangu pia namshukuru Mungu kwa kuniwezesha pumzi bila gharama yoyote. Mungu ni mwema wakati wote.
Maada..
Wapendwa wa Mungu hiki kitu kimekaaje?
Ilikuwa usiku wa tarehe 3-8-2020
Wakati nikiwa...
Ebwanaaa kuna folen balaaaaa. Nimekaa kwenye folen kwa masaa 4. nipo maeneo ya mbezi mwisho. Nilikua na safari ya Arusha usiku huu sasa inabidi nilale tuu Nikimbizane na tochi asubuhi.
Sijui shida ipo wapi
Kubali au usikubali, ushindi wa CCM kwa nafasi ya Urais haina mjadala. JPM atashinda kwa kishindo.
Busara zingetumika kwa wapinzani wasome alama za nyakati na wakae pembeni ili JPM apite bila kupingwa na fedha za kampeni afanyie vitu vya maana kwa maendeleo ya nchi.
Msionyeshe uwepo wenu...
Hii ni kwa wale wanaoangaika na kutafuta wapenzi au kutafuta namna ya kuwashawishi watu wenye wapenzi tayari,muda mzuri wakuchanga karata zako nikuanzia SAA 4 hadi SAA 8 usiku wa manane ukiweza kuwa na salio lakupiga kuanzia mida hiyo kwa wiki mbili mfululizo unaweza kuwa na nafasi kubwa...
Huduma ya M-PESA haipatikani toka usiku.
Hizi huduma za mitandao sio za kuamini sana unaweza kulala njaa au kuachwa na gari kwa kuhifadhi pesa kwenye hii mitandao.
Kuna siku almanusura niachwe na ndege kwa kutegemea mtandao wa NMB halafu siku hiyo ukagoma kufanya kazi.
Baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu ambao ni CCM asilia walikutana kwa siri jana usiku sehemu fulani pale Area C Dodoma kubuni mbinu za kushughulika na wagombea wa "kupandikizwa".
Wagombea wa kupandikizwa wako wa aina mbili.
Moja, ni wale ambao wana uswahiba na Mwenyekiti lkn hawana mvuto wala...
Kwa tulichokifanya ' Kamati ya Roho Mbaya na Ufundi wa Kimila ' usiku wa Kuamkia leo ili Kulipiza Kisasi kwa Yanga SC tutakapocheza nao Kesho Jumapili tarehe 12 July, 2020 kama Yanga SC akishinda ( akitufunga ) tena basi GENTAMYCINE najitolea kuwa namwagilia Bustani zote za Manispaa ya Mji wa...
Serikali Wilayani Hai imeondoa zuio batili lililowekwa na baadhi ya Viongozi katika Kijiji cha Isuki Kata ya Masama Kati ambalo lilikuwa linakataza Wananchi kutembea na kutokwenda Bar kuanzia saa mbili usiku.
Mkuu wa Wilaya Hai Lengai Ole Sabaya ameiongoza Kamati ya Usalama na kuamuru Viongozi...
Kuna mahala fulani nilihamia Uswahilini na Siku moja nikasikia Kilio kama cha Mtoto Mdogo anamlilia Mama yake na nilipotoka zangu tu nje kwa nia njema ya kwenda Kumuangalia huyo Mtoto nikihisi ametelekezwa na Mama yake nikaishia kukutana na Paka Wawili wakilia hivyo tena kwa Sauti ya pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.