Sakata la Kanisa lililoripotiwa kupiga muziki saa 24 na kujengwa kuziba barabara Tabora lajengwa usiku kucha kuwahi kulimaliza

King Kisali

JF-Expert Member
Nov 20, 2019
1,042
1,349
Wiki iliyopita ililipotiwa hapa jukwaani kuhusu wakazi wa Kariakoo Tabora kata ya Kitete wakilalamikia kanisa lililojengwa katikati ya barabara na kupiga muziki mkubwa sana masaa 24

Sakata limeingia sura mpya baada mchungaji Jackson wa kanisa hilo kuonyesha jeuri na kuwaweka viongozi wote wa mkoa mfukoni, hasa afisa mipango miji na afisa utamaduni baada ya usiku wa leo kukesha usiku kucha akijenga kulimalizia kanisa hilo na nyumba ya mchungaji katikati ya barabara huku akitamba kuwa hawawezi kumfanya kitu chochote licha ya kujenga kwenye makazi ya watu, mchungaji huyu ameziba barabara kutoka shule ya msingi Westland kusini mwa shule kutoka magharibi kwenda mashariki

Kali kuliko Leo kanisani mchungaji na waumini wanamuombea mabaya aliyeleta taarifa hizi mtandaoni.

NB: Afisa mipango miji hebu lipeleke hilo kanisa eneo maalum lililotengwa kwa ajili ya makanisa. Halafu afisa mipango miji kwanini toka uagizwe na mkurugenzi kuangalia uhalali wa shughuli zinazoendeshwa na kanisa kama ni halali na zina vibali husika wewe na afisa utamaduni hujafanya hivyo toka November mwaka jana, tukisema mchungaji Jackson kakuweka mfukoni kama anavyosema tutakuwa tunakosea?

Anyway ibada inaendelea kama kazi muziki kama wote. Mnataka wananchi wafanye nini ndio mchukue hatua.
IMG_20210213_105518_3.jpg
IMG_20210213_111506_1.jpg
 
Afisa Mipango Miji amejiridhisha uhalali wa hilo kanisa kuwepo hapo ndo maana linaendelea kuwepo lilipo.
Amejiridhisha kanisa kuwepo katikati ya barabara ? Mbona hajawapa kibali cha ujenzi ? Mbona wajazi wa enough hili hatujaona kibao kinachoomba kubadili matumizi ya eneo husika kuwa kanisa kama sheria inavyotaka ? Kwahiyo afisa mipango miji ndio anawatuma wapige muziki mkubwa sana huku sisi tukiwa na wagonjwa ? Huyuhuyu Deo .
 
Mnafiki mkubwa wewe, inaonywsha wewe ni mchawi
Wachawi wanaohoji haki na sheria mbona ndio wanahitajika kuliko wema wanaoharibu na kuleta anti-social behaviour

Sijui undani wa hii issue ila hata mimi nisingependa watu walete disco na kunipigia kelele (hata kama kwao ni burudani ) basi wawe na hekima waweke sound proof (Imani / raha yao) isiwe kero kwa wengine
 
Wachawi wanaohoji haki na sheria mbona ndio wanahitajika kuliko wema wanaoharibu na kuleta anti-social behaviour

Sijui undani wa hii issue ila hata mimi nisingependa watu walete disco na kunipigia kelele (hata kama kwao ni burudani ) basi wawe na hekima waweke sound proof (Imani / raha yao) isiwe kero kwa wengine
Mkuu nashukuru kwa majibu yako naona yamemtosha , usikute huyu anayejibu hivyo ni mlokole .
 
Wiki iliyopita ililipotiwa hapa jukwaani kuhusu wakazi wa Kariakoo Tabora kata ya Kitete wakilalamikia kanisa lililojengwa katikati ya barabara na kupiga muziki mkubwa sana masaa 24

Sakata limeingia sura mpya baada mchungaji Jackson wa kanisa hilo kuonyesha jeuri na kuwaweka viongozi wote wa mkoa mfukoni, hasa afisa mipango miji na afisa utamaduni baada ya usiku wa leo kukesha usiku kucha akijenga kulimalizia kanisa hilo na nyumba ya mchungaji katikati ya barabara huku akitamba kuwa hawawezi kumfanya kitu chochote licha ya kujenga kwenye makazi ya watu, mchungaji huyu ameziba barabara kutoka shule ya msingi Westland kusini mwa shule kutoka magharibi kwenda mashariki

Kali kuliko Leo kanisani mchungaji na waumini wanamuombea mabaya aliyeleta taarifa hizi mtandaoni.

NB: Afisa mipango miji hebu lipeleke hilo kanisa eneo maalum lililotengwa kwa ajili ya makanisa. Halafu afisa mipango miji kwanini toka uagizwe na mkurugenzi kuangalia uhalali wa shughuli zinazoendeshwa na kanisa kama ni halali na zina vibali husika wewe na afisa utamaduni hujafanya hivyo toka November mwaka jana, tukisema mchungaji Jackson kakuweka mfukoni kama anavyosema tutakuwa tunakosea?

Anyway ibada inaendelea kama kazi muziki kama wote. Mnataka wananchi wafanye nini ndio mchukue hatua.


Je ni kweli tabora mmetenga maeneo kwaajili ya makanisa? Je ni vizuri pia tukijiuliza misikiti imetengewa maeneo gani? Binafsi naona tatizo hapo ni ubinafsi na majungu ya wanyamwezi wachache wenye malengo ya udini, ni majuzi tu wana
tabora mmeambiwa na mkuu kuwa chapeni kazi acheni majungu
 
Je ni kweli tabora mmetenga maeneo kwaajili ya makanisa? Je ni vizuri pia tukijiuliza misikiti imetengewa maeneo gani? Binafsi naona tatizo hapo ni ubinafsi na majungu ya wanyamwezi wachache wenye malengo ya udini, ni majuzi tu wana
tabora mmeambiwa na mkuu kuwa chapeni kazi acheni majungu
Kusema watu wamejenga katikati ya barabara ni majungu ? Kusema watu wanapiga muziki kwa sauti kubwa sana kwenye makazi ya watu ni majungu ? Uhuru wa nchi ulitafutwa na kupiganiwa Sana na wanatabora , mwaka 1958 wakafanya uamuzi wa busara , vipi nyie msiokuwa na majungu mlifanya nini? Eneo lililotengwa kwa makanisa lipo , ndipo kanisa la RC kariakoo lilipojengwa .
 
Wiki iliyopita ililipotiwa hapa jukwaani kuhusu wakazi wa Kariakoo Tabora kata ya Kitete wakilalamikia kanisa lililojengwa katikati ya barabara na kupiga muziki mkubwa sana masaa 24

Sakata limeingia sura mpya baada mchungaji Jackson wa kanisa hilo kuonyesha jeuri na kuwaweka viongozi wote wa mkoa mfukoni, hasa afisa mipango miji na afisa utamaduni baada ya usiku wa leo kukesha usiku kucha akijenga kulimalizia kanisa hilo na nyumba ya mchungaji katikati ya barabara huku akitamba kuwa hawawezi kumfanya kitu chochote licha ya kujenga kwenye makazi ya watu, mchungaji huyu ameziba barabara kutoka shule ya msingi Westland kusini mwa shule kutoka magharibi kwenda mashariki

Kali kuliko Leo kanisani mchungaji na waumini wanamuombea mabaya aliyeleta taarifa hizi mtandaoni.

NB: Afisa mipango miji hebu lipeleke hilo kanisa eneo maalum lililotengwa kwa ajili ya makanisa. Halafu afisa mipango miji kwanini toka uagizwe na mkurugenzi kuangalia uhalali wa shughuli zinazoendeshwa na kanisa kama ni halali na zina vibali husika wewe na afisa utamaduni hujafanya hivyo toka November mwaka jana, tukisema mchungaji Jackson kakuweka mfukoni kama anavyosema tutakuwa tunakosea?

Anyway ibada inaendelea kama kazi muziki kama wote. Mnataka wananchi wafanye nini ndio mchukue hatua.
Acheni uzoba, pigeni moto kanisa hilo
 
Amejiridhisha kanisa kuwepo katikati ya barabara ? Mbona hajawapa kibali cha ujenzi ? Mbona wajazi wa enough hili hatujaona kibao kinachoomba kubadili matumizi ya eneo husika kuwa kanisa kama sheria inavyotaka ? Kwahiyo afisa mipango miji ndio anawatuma wapige muziki mkubwa sana huku sisi tukiwa na wagonjwa ? Huyuhuyu Deo .
Aombe kubadili matumizi kwenye barabara? Yaani itoke barabara na iwe kiwanja halafu kijengwe kanisa?😄😄😆

Lakini mkuu, ni kweli kuna barabara au ni kinjia tu kisicho rasmi lakini kilichozoeleka kinachopita kwenye kiwanja cha mtu?? Mkurugenzi ndio mtoa vibali vya ujenzi, ameshindwa kujua kama alipitisha au la kibali cha ujenzi huo? Au hata siku mtumbuaji akifika eneo hilo Mkurugenzi atapoulizwa swali atamuita afisa mipango miji kujibu?
 
Back
Top Bottom