usiku

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MWALLA

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu: Gamboshi usiku yaonekana kama jiji la New York au London

    USIKU YAONEKANA KAMA JIJI LA NEW YORK AU LONDON. WENYEWE WAMWOMBA RAIS KIKWETE, MZEE WA VIJISENTI AKAWASAFISHE WAKAZI wa Kijiji cha Gamboshi, kilichopo wilayani Bariadi, Mkoa wa Shinyanga, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete awasaidie kusafisha kijiji chao kutokana na jina baya lililoenezwa duniani...
  2. K

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU, Kawe kuna mteja wenu mzuri sana wakati wa usiku

    Wakuu amani iwe kwenu! Leo sina mengi ila nataka niwaombe wajomba zangu wa TAKUKURU kwamba kuna wateja wao Kawe tena wateja wakubwa sana. Leo usiku wateja hao walikuwa wanapita nyumba kwa nyumba na kila mwenye kitambulisho cha kura alikuwa anakula pesa halali za kitanzania kati ya 30000/= na...
  3. Superbug

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini kuchota maji usiku na wanawake kunaamsha hisia za ngono?

    Jamani leo niko wilaya ya Kilosa nimepanga nyumba nzima ya peke yangu hapa Kilosa mjini mtaa wa Uhindini. Sasa maji yanatoka nje hapa kwangu usiku huu na kuna wanawake wawili wanachota maji kwa zamu mmoja anaenda mmoja anabaki, tena nje ya dirisha langu ndio kuna bomba. Sasa namsikia kabisa...
  4. kavulata

    JamiiForums Tanzania Mapambano ya ngumi usiku mwingi sio sawa Tanzania

    Kwanini hapa Tanzania boxing iwekwe saa 8 au saa 10 usiku/alfajiri? Watu wengi wanaangalia ngumi kwenye kumbi na vibanda umiza na wale wanaokwenda kuhudhuria mubashara mapambano hayo wanatoka mbali na ukumbi. Shida iko wapi Kama mapambano yakifanyika muda huo? 1. Usalama mdogo kwa watazamaji...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Ofisi ya CHADEMA Mbeya yachomwa moto usiku wa kuamkia leo

    Habari hii ni kwa mujibu wa tweet ya kiongozi wa CHADEMA, Parick Ole Sosopi aliyoi-post dakika chache zilizopita asubuhi ya hii.
  6. G Sam

    JamiiForums Tanzania Umati wajitokeza nje ya jiji la Mbeya kumlaki Tundu Lissu akiwa bado Iringa, ataingia Mbeya usiku ila wamekusanyika ili wamlaki

    Aisee huu mwaka mambo yamebadilika kabisa. Hapa ni Mlima Nyoka watu wamekusanyika kupokea ujio wa Lissu ambaye anakadiriwa kuwa umbali wa kilomita zaidi ya 150 kufika hapo walipo. Ikumbukwe kutokana na msafara wake jana kusimamishwa mara kwa mara alishindwa kuhutubia mwembe togwa Iringa na...
  7. Libya

    JamiiForums Tanzania Ofisi za CHADEMA Kanda ya Kaskazini zimechomwa moto usiku wa kuamkia leo ikiwa katika maandalizi ya kumpokea Tundu Lissu

    #Sasa basi === Taarifa ya awali inasema Watu ambao hawajajulikana, usiku wa kuamkia leo wamevamia na kumwagia petroli kisha kuchoma moto Ofisi za CHADEMA Kaskazini na ofisi za Mkoa na Wilaya Uchunguzi wa tukio hilo bado unaendelea kubaini wahusika na madhara yaliyojitokeza ZAIDI: Ofisi za...
  8. luangalila

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siku yako ya kwanza kulala na mpenzi wako usiku kucha ilikuwaje?

    Kwa mara ya kwanza mimi nilipolala na aliyekuwa demu wangu usiku kucha yaani ilikuwa shida sana. Yaani nilikuwa kama dokta yupo na mgonjwa ICU. Nakumbuka ilikuwa Moshi maeneo ya Ushirika wa Neema, kabaridi kanapiga balaa. Dogo mwili ulikuwa wa moto basi kila nikiamka namgusa mwili, naona...
  9. Bin Shaib

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mishindo miwili kwa usiku mmoja

    Habari zenu wana jukwaa, natumai hamjambo nyote na munaendelea kupambana na majukumu. Mimi kwa upande wangu pia namshukuru Mungu kwa kuniwezesha pumzi bila gharama yoyote. Mungu ni mwema wakati wote. Maada.. Wapendwa wa Mungu hiki kitu kimekaaje? Ilikuwa usiku wa tarehe 3-8-2020 Wakati nikiwa...
  10. Hazchem plate

    JamiiForums Tanzania Foleni kubwa Morogoro road

    Ebwanaaa kuna folen balaaaaa. Nimekaa kwenye folen kwa masaa 4. nipo maeneo ya mbezi mwisho. Nilikua na safari ya Arusha usiku huu sasa inabidi nilale tuu Nikimbizane na tochi asubuhi. Sijui shida ipo wapi
  11. Zambavuni

    JamiiForums Tanzania Upinzani acha kutuwekea usiku

    Kubali au usikubali, ushindi wa CCM kwa nafasi ya Urais haina mjadala. JPM atashinda kwa kishindo. Busara zingetumika kwa wapinzani wasome alama za nyakati na wakae pembeni ili JPM apite bila kupingwa na fedha za kampeni afanyie vitu vya maana kwa maendeleo ya nchi. Msionyeshe uwepo wenu...
  12. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Muda wa kumteka mpenzi wako kimahaba ni usiku kati ya saa 4 na saa 8 usiku

    Hii ni kwa wale wanaoangaika na kutafuta wapenzi au kutafuta namna ya kuwashawishi watu wenye wapenzi tayari,muda mzuri wakuchanga karata zako nikuanzia SAA 4 hadi SAA 8 usiku wa manane ukiweza kuwa na salio lakupiga kuanzia mida hiyo kwa wiki mbili mfululizo unaweza kuwa na nafasi kubwa...
  13. T

    JamiiForums Tanzania M-PESA haipatikani toka usiku

    Huduma ya M-PESA haipatikani toka usiku. Hizi huduma za mitandao sio za kuamini sana unaweza kulala njaa au kuachwa na gari kwa kuhifadhi pesa kwenye hii mitandao. Kuna siku almanusura niachwe na ndege kwa kutegemea mtandao wa NMB halafu siku hiyo ukagoma kufanya kazi.
  14. S

    JamiiForums Tanzania Kikao cha siri cha WanaCCM "asilia" Jana usiku cha pale Dodoma huenda kikasaidia kupambana na wagombea "wa kupandikizwa"

    Baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu ambao ni CCM asilia walikutana kwa siri jana usiku sehemu fulani pale Area C Dodoma kubuni mbinu za kushughulika na wagombea wa "kupandikizwa". Wagombea wa kupandikizwa wako wa aina mbili. Moja, ni wale ambao wana uswahiba na Mwenyekiti lkn hawana mvuto wala...
  15. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kwa ' Kufuru ' tuliyoifanya Usiku wa Kuamkia leo kama Kesho Yanga SC akishinda Taifa nitamwagilia Bustani za Dar Mwaka mzima

    Kwa tulichokifanya ' Kamati ya Roho Mbaya na Ufundi wa Kimila ' usiku wa Kuamkia leo ili Kulipiza Kisasi kwa Yanga SC tutakapocheza nao Kesho Jumapili tarehe 12 July, 2020 kama Yanga SC akishinda ( akitufunga ) tena basi GENTAMYCINE najitolea kuwa namwagilia Bustani zote za Manispaa ya Mji wa...
  16. Civilian Coin

    JamiiForums Tanzania Live show Usiku wa Burudani na Don Nalimison.

  17. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Hai: Wananchi wapakwa upupu kwa kutotii agizo la kwenda Baa usiku

    Serikali Wilayani Hai imeondoa zuio batili lililowekwa na baadhi ya Viongozi katika Kijiji cha Isuki Kata ya Masama Kati ambalo lilikuwa linakataza Wananchi kutembea na kutokwenda Bar kuanzia saa mbili usiku. Mkuu wa Wilaya Hai Lengai Ole Sabaya ameiongoza Kamati ya Usalama na kuamuru Viongozi...
  18. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini Paka wengi wa Uswahilini hulia kama Watoto Wachanga (Wadogo) tena kwa Nyakati za Usiku tu pekee huku Wakiwa Madirishani kwa Watu?

    Kuna mahala fulani nilihamia Uswahilini na Siku moja nikasikia Kilio kama cha Mtoto Mdogo anamlilia Mama yake na nilipotoka zangu tu nje kwa nia njema ya kwenda Kumuangalia huyo Mtoto nikihisi ametelekezwa na Mama yake nikaishia kukutana na Paka Wawili wakilia hivyo tena kwa Sauti ya pamoja na...
  19. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Usiku huu Liverpool FC inanianzishia Furaha yangu, ila Siku ya Jumapili Simba SC itanikamilishia Burudani ya Mfululizo wa Ubingwa

    Asanteni sana Chelsea FC kwa Kuturahisishia Kazi baada ya Miaka 30, ila Prisons FC Jumapili mtatusamehe mno Simba Sports Club kwa Kichapo.
  20. D

    JamiiForums Tanzania Mbowe tangu ashambuliwe na wasiojulikana amekuwa kimya, au kaamua kuwasamehe?

    Kitendo cha kushambuliwa Mhs. Freeman Mbowe na watu wasiojulikana na kumvunja miguu mwenyekiti wa Chadema taifa na KUB hasa ukichukulia tena tukio hili limetokea tukiwa tunakaribia uchaguzi mkuu, tena wakora hao walimwambia kuwa anaisumbua serikali vyo wakamtegua mguu sasa ni vipi huyu...
Back
Top Bottom