usiku

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bujibuji Simba Nyamaume

    Mwizi aliyekuja kuiba saa tisa usiku

    Usiku wa kuamkia leo kibaka aliingia ndani na akafanikiwa kuchomoka na decoder ya Dstv, uzuri tukashtuka tukaanza kupiga kelele za mwizi huku tukimfukuza. Tukiwa tunaendelea kumfukuza mwizi wetu, tukasikia tena kelele zikitokea kwenye nyumba jirani, mwizi huyo anaruka kaiba simu!!!! Majirani...
  2. Analogia Malenga

    Ndugulile: Kama hauna uhakika na taarifa usipost, usiretweet, ku-like wala kukomenti

    Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile amewatahadharisha wanaochapisha taarifa wasizokuwa na uhakika nazo. Kuanzia jumatatu, Februari 21, Ndugulile amesema wataanza kuwachezesha wote wanaotoa taarifa potofu na wanaofanya utapeli. Amesema kama hauna uhakika na...
  3. R

    TUJIKUMBUSHE: Kifo cha Rais wa Malawi wahaini sita usiku wa manane" The Midnight Six" na Njama za kutaka kumpora Urithi wa Urais Joyce Banda

    Habari za leo ndugu wasomaji wa JamiiForums. Kisa hiki cha Rais wa Malawi Pres Bingu wa Mutharika na Makau wake Joyce Banda chaweza kuwa na funzo namna taasisi za nchini humo zilivyokuwa na maadili kwa maslahi ya wana Malawi. Twende pamoja. Ni usiku wa kuamkia tare 5 aprili 2012, Rais Bingu...
  4. Rebeca 83

    Waziri wa Maji, Jumaa Aweso: Wachawi kikwazo maji kufika vijijini

    Hello JF Hii habari imenichekesha sana ---- Waziri wa Maji, Jumaa_Aweso ameeleza kupitia alipokuwa katika ziara ya kukagua miradi ya maji Vijijini moja ya kituko alichokutana nacho kwenye kijiji kimoja alipomuuliza mkandarasi sababu ya maji kutokuwepo kwenye kijiji hicho licha ya kujengwa tank...
  5. kyagata

    Amelala kwangu usiku mmoja tu, tayari ameanza kujisahaulisha chupi zake

    Habari wakuu. Jana nililala na mtoto mmoja wa kike hapa kwangu, asubuhi kulivyokucha akaoga fresh ili awahi kazini kwake ila kilichonishangaza amejidai kusahau chupi yake bafuni, hajanijulisha kama ni lini atarudi kuichukua binafsi nimepanga kuiweka kwenye mfuko ili nimpitishie nyumbani kwake...
  6. K

    Sakata la Kanisa lililoripotiwa kupiga muziki saa 24 na kujengwa kuziba barabara Tabora lajengwa usiku kucha kuwahi kulimaliza

    Wiki iliyopita ililipotiwa hapa jukwaani kuhusu wakazi wa Kariakoo Tabora kata ya Kitete wakilalamikia kanisa lililojengwa katikati ya barabara na kupiga muziki mkubwa sana masaa 24 Sakata limeingia sura mpya baada mchungaji Jackson wa kanisa hilo kuonyesha jeuri na kuwaweka viongozi wote wa...
  7. JOESKY

    Ajira nihurumie nifurahi na mimi pia

    Maisha ni kitendawili kigumu ambacho kwa sisi wanadamu kukitegua tunashindwa kabisa kutokana na ugumu wake. Ama kwa hakika mambo hayajawa mepesi mpaka ugumu ukukumbatie. Ni mwaka mwingine bado namaliza soli ya kiatu kusaka fursa ya ajira au kibarua nipate kuweka mkono kinywani ila still mambo...
  8. Shadida Salum

    Kuelekea mechi za usiku wa Ulaya leo

    Sevilla atakuwa mwenyeji wa Borussia Dortmund katika Dimba la Ramon Sanchez- Pizjuan . Mara ya mwisho kukutana kwenye michuano hii timu hizo mbili ilikuwa msimu wa 2010- 11 kwenye Europa ligi hatua ya makundi. Sevilla alishinda 1 -0 wakiwa Dortmund na mchezo wa marudiano ulimalizika kwa sare ya...
  9. YEHODAYA

    Rais Magufuli kutembelea Temeke zazua taharuki, barabara zaanza kutengenezwa usiku na mchana

    Tetesi za Raisi Magufuli kutembelea Temeke zazua taharuki barabara zaanza kutengenezwa usiku na mchana nyingi zilikuwa mbovu na midimbwi kibao nimepita leo Tandika nikashangaa nikaambiwa kuna tetesi Rais atatembelea Temeke. Watendaji ofisini hawaonekani wanashinda site kusimamia kazi. Raisi...
  10. YEHODAYA

    Utafiti waonyesha Watanzania wengi wachafu huwa wanaenda kulala usiku bila kuoga

    Watu huamka asubuhi kwenda kwenye shughuli mbalimbali ambazo husabibisha mwili kuchafuka iwe kwa jasho au vumbi au chochote hivyo kufanya mtu awe mchafu. Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na taasisi ya usafi imegundulika kuwa Watanzania wengi huenda kulala usiku bila kuoga wanaenda na uchafu...
  11. nagG

    Haloteli wameondoa bando la internet la Usiku Unlimited

    Kwa wale wapenzi wa kudownlaod movies, games na mafaili yenye ukubwa sana imekua pigo kwetu baada ya mtandao pekee uliokua umebakia na kifurushi kizuri cha internet cha usiku halotel ile unlimited kwa 1500 kuondolewa na kushushwa mpaka GB 5 tu. Je, wadau ni mtandao gani mwingine uliobaki ambao...
  12. YEHODAYA

    Kijana kama unakesha usiku kucha kusoma ufaulu; kama ajira huna unatakiwa kukesha pia usiku kucha kuwaza ufanye nini upate pesa

    Vijana wengi hukesha hata usiku kucha kusoma ili wafaulu mtongani Akishamaliza vyuo na kupata vyeti hushinda tu akilalamika ajira hamna huku akikesha kuchat na simu kuhangaika kuangalia movie na ujinga mwingine wa mitandaoni. Hakeshi kuwaza na ku-brain storm afanye nini ili apate pesa. Vijana...
  13. Deejay nasmile

    Ni ndoto gani uliota usiku na asubuhi ikatimia?

    Mimi nakumbuka kuna siku nimeota nipo stend nasubiri basi ili niende mkoani..sasa nikasemaa ili nisiwasumbue waatu njàni nikaenda kukojoa kabisa ili nikikaa kwenye gari ni moja kwa moja. Duh! Naamka asubuhi...
  14. B

    Moshi, Kilimanjaro: Watu waliojitambulisha kama maafisa wa TRA wavamia Rau Pub Usiku huu

    Habari wanajukwaa, TRA moshi wamevamia club maarufu ijulikanayo kama Rau pub usiku na kuifunga wakidai club hiyo inadaiwa hivyo wanatakiwa kufunga na kulipa kwanza, hali iliyopelekea tafrani ,maana wateja bado walikuwa wamejaa sana! Umetokea mvutano mkubwa kati ya meneja wa pub hiyo na TRA...
  15. Analogia Malenga

    Usiku wa mabingwa wa ndondi: Wabongo wawachakaza vikali Wamalawi

    Kama kawa wadau leo kutakuwa na mapambano nane wadau wakirushiana makonde pale kati, fuatilia hapa Mapambano ya leo Mfaume Mfaume Vs Chikondo Makawa (Malawi) Twaha Kiduku Vs Guy Tshimanga Tshitundu (Mkongo) Abdallah Pazi Vs Simon Tcheta (Malawi) Tonny Rashid Vs Hasan Milanzi (Zimbabwe) Seleman...
  16. M

    Serikali hasa Hazina Kuwawahishia Wanajeshi Mishahara Mwezi huu mnatusababishia Kero tu Mitaani Usiku huu

    Nashauri Krismasi zijazo ikiwapendeza muwe mnawapa ( mnawaingizia ) Mishahara yao Tarehe 24 tena Usiku ili angalau Mshahara ukae kae na hata Fujo za Kimatumizi nazo ziweze Kupungua. Kwa Kitendo chenu tu cha Kuwaingizia ( Kuwapa ) Mishahara yao Juzi Jumanne tarehe 22 kwa aina ya Matumizi na Bata...
  17. D

    Mkandarasi anayejenga barabara pale Mwenge mwambieni ajenge Usiku na Mchana

    Eneo korofi kama pale mwenge mataa! Mkandarasi anapata wapi usingizi wa kulala usiku? Kwanini eneo lile asiwe anajenga usiku? Kama hawezi kujenga usiku serikali na Tanroads! Pelekeni maombi Lugalo Muombe Diversion ya kutumia njia ya mda kupitia jeshini hadi mlimani (Survey-mliman city) kwa...
  18. Sam Gidori

    Once-in-a-lifetime experience: Sayari ya Mshtarii na Zohali zinatarajiwa kuonekana kama umbo moja usiku wa leo

    Baada ya zaidi ya miaka 400, leo usiku sayari mbili kubwa zaidi katika mfumo wetu wa jua, sayari ya Mshtarii (Jupiter) na Zohali (Saturn) zinatarajiwa kuonekana katika umbo moja kutoka duniani. Tukio hili linalotokea mara moja katika muda wa uhai wa mwanadamu linafanya sayari hizo mbili...
  19. U

    Taarifa Muhimu Kwa Umma: Usikose Kufuatilia Kipindi Maalumu Cha PapoKwaPapo Kinachoongozwa Na Kamarada Humphrey Polepole Saa 3 Usiku Huu

    Mpigie kamarada atakuwa live kutatua kero za Watanzania bila kujali itikadi zao za Kisiasa Usisahau kumtaarifu mwenzako Tuna Jambo Letu
Back
Top Bottom