YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Vijana wengi hukesha hata usiku kucha kusoma ili wafaulu mtongani
Akishamaliza vyuo na kupata vyeti hushinda tu akilalamika ajira hamna huku akikesha kuchat na simu kuhangaika kuangalia movie na ujinga mwingine wa mitandaoni.
Hakeshi kuwaza na ku-brain storm afanye nini ili apate pesa.
Vijana wa Kenya wako vizuri Mon kwenye hili asilimia kubwa kuanzia simu hadi mitandao kutumia kutafuta fursa tofauti na vijana wa Mtanzania wanaomaliza vyuo utanikuta anachat usiku na mchana kazi hana anachat ujinga mtupu mitandaoni ukiingia ni kuhangaika na ujinga tu.
TV zina vipindi vingi vya kuamsha akili lakini utakuta muda wote yuko kwenye kuangalia movie. Hana muda wa kuhangaika kuhangaika kuwaza fursa au nini afanye apate sijui anangoja nani amuwazie kwa niaba yake?
Dunia hii mtu kukaa anasubiri mtu mwingine akuwazie kuwa ufanye nini? Utasubiri sana mbona. Utachakalia nyumbani kwa wazazi shauri yako
Akishamaliza vyuo na kupata vyeti hushinda tu akilalamika ajira hamna huku akikesha kuchat na simu kuhangaika kuangalia movie na ujinga mwingine wa mitandaoni.
Hakeshi kuwaza na ku-brain storm afanye nini ili apate pesa.
Vijana wa Kenya wako vizuri Mon kwenye hili asilimia kubwa kuanzia simu hadi mitandao kutumia kutafuta fursa tofauti na vijana wa Mtanzania wanaomaliza vyuo utanikuta anachat usiku na mchana kazi hana anachat ujinga mtupu mitandaoni ukiingia ni kuhangaika na ujinga tu.
TV zina vipindi vingi vya kuamsha akili lakini utakuta muda wote yuko kwenye kuangalia movie. Hana muda wa kuhangaika kuhangaika kuwaza fursa au nini afanye apate sijui anangoja nani amuwazie kwa niaba yake?
Dunia hii mtu kukaa anasubiri mtu mwingine akuwazie kuwa ufanye nini? Utasubiri sana mbona. Utachakalia nyumbani kwa wazazi shauri yako