Utafiti waonyesha Watanzania wengi wachafu huwa wanaenda kulala usiku bila kuoga

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,909
51,904
Watu huamka asubuhi kwenda kwenye shughuli mbalimbali ambazo husabibisha mwili kuchafuka iwe kwa jasho au vumbi au chochote hivyo kufanya mtu awe mchafu.

Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na taasisi ya usafi imegundulika kuwa Watanzania wengi huenda kulala usiku bila kuoga wanaenda na uchafu hivyo hivyo.

Wachache huosha tu miguu kabla ya kulala lakini walio wengi huingia kulala na uchafu wa siku nzima.

Tabia hiyo sio nzuri.
 
images.jpg
 
Serikali ya CCM inasababisha yote haya, maji tiririka ni adimu maeneo mengi. Ukifanikiwa kuletewa na watu wa mzega mzega ndoo mojawni shilingi 200.

Hujapika na kuosha vyombo, baada ya hapo pichu unazihifadhi kwa style ya Babu Tale.
 
Watu kuamka asubuhi kwenda kwenye shughuli mbalimbali ambazo husabibisha mwili kuchafuka iwe kwa jasho au vumbi au chochote hivyo kufanya mtu awe mchafu

Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na taasisi ya usafi imegundulika kuwa Watanzania wengi huenda kulala usiku bila kuoga wanaenda na uchafu hivyo hivyo

Wachache huosha tu miguu kabla ya kulala lakini walio wengi huingia kulala na uchafu wa siku nzima

Tabia hiyo sio nzuri

Maji ya kunywa tu ni shida, je hayo maji yenyewe ya kuoga yako wapi?
 
Watu kuamka asubuhi kwenda kwenye shughuli mbalimbali ambazo husabibisha mwili kuchafuka iwe kwa jasho au vumbi au chochote hivyo kufanya mtu awe mchafu

Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na taasisi ya usafi imegundulika kuwa Watanzania wengi huenda kulala usiku bila kuoga wanaenda na uchafu hivyo hivyo

Wachache huosha tu miguu kabla ya kulala lakini walio wengi huingia kulala na uchafu wa siku nzima

Tabia hiyo sio nzuri

Hiyo taasisi iliyofanya huu utafiti ni ya wapi na inaitwaje?
 
Aisee labda mikoa yenye baridi Sana ila yenye joto kulala Bila kuoga ni kipaji.
 
Kula tu ndio lazima! Kuoga ni hiyari.

Hao watafiti wasiingilie mambo ya ndani ya mwili wangu.
 
Back
Top Bottom