ulimwengu

Thomas Emanuel Ulimwengu (born 14 June 1993) is a Tanzanian football striker who is currently playing as a forward for TP Mazembe and the Tanzania national football team.

View More On Wikipedia.org
  1. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania SoC03 Elimu Ndiyo Silaha Yenye Nguvu Zaidi Ambayo Unaweza Kutumia Kubadilisha Ulimwengu

    ELIMU NDIYO SILAHA YENYE NGUVU ZAIDI AMBAYO UNAWEZA KUTUMIA KUBADILISHA ULIMWENGU Imeandikwa na: MwlRCT I. Utangulizi Elimu imekuwa ikitajwa mara kwa mara kama silaha yenye nguvu zaidi ambayo mtu anaweza kutumia kubadilisha ulimwengu. Kichwa cha habari hiki kinaangazia umuhimu wa elimu...
  2. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hodi kwenye Ulimwengu wa Mahaba. Ninaachana na jukwaa la Siasa kwa muda

    Hodi hapa, nitakuwapo kwa muda na pakinipendeza nitabakia hapa. Kule kwenye siasa naona kichwa kinaenda mbio. Nimerudi iliko mioyo. Leo nimekutana na kisa. Hiki kisa cha leo kimenifanya nije hapa kujua kama na wengine mmeshakutana na hili. Mara zote nikiwa na miadi na mwanamke mpya huwa siwezi...
  3. Zanzibar-ASP

    JamiiForums Tanzania Mama Samia akiweza kuvuka 2025, yatakuwa maajabu mapya ya ulimwengu!

    Kwa haya yanayoendelea sasa hapa Tanzania (ufujaji, upigaji na udalali wa rasimali za taifa), ni mwendewazimu pekee ( tena aliyevaa shati la kijani) anayeweza kuamini kuwa, Mama Samia anaweza kushinda kiti cha urais mwaka 2025. Naandika haya nikiwa na uhakika kamili kuwa, watanzania wengi sana...
  4. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Ulimwengu wa Haki Sawa 50/50 hakuna kulipa Faini ukimpa Mwanamke mimba au mtoto

    ULIMWENGU WA HAKI SAWA 50/50 HAKUNA KULIPA FAINI UKIMPA MWANAMKE MIMBA AU MTOTO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Oooh! Umemzalisha mtoto wetu, lipa sijui FAINI, sijui lipa vitu gani. Sasa Sisi Watibeli tukitaka kuonyeshwa huyo Binti aliyezalishwa analetwa Mwanamke MTU mzima kabisa zaidi ya...
  5. The Supreme Conqueror

    JamiiForums Tanzania Dhana Tata "Forbidden knowledge na Forbidden Archeology"

    "Forbidden knowledge"ni maarifa au habari ambazo haziruhusiwi kufikiwa au kutumiwa na watu fulani au kundi la watu kwa sababu za kisiasa, dini, kimaadili au kulinda siri za kibiashara. Habari hizi zinaweza kuwa hatari kwa wale wanaozitumia kwa sababu zinaweza kusababisha madhara au kuhatarisha...
  6. Donnie Charlie

    JamiiForums Tanzania Akutwa hana hatia jaribio la mauaji baada ya miaka 33 jela

    MWANAUME mmoja huko California ambaye alikaa gerezani kwa miaka 33 kwa jaribio la kuua ametangazwa kuwa hana hatia na kuachiliwa huru baada ya kubainika kuwa hata hakuwepo eneo la tukio. Daniel Saldana, ambaye sasa ana umri wa miaka 55, alipatikana na hatia mwaka wa 1990 ya kufyatulia risasi...
  7. 5

    JamiiForums Tanzania Sababu ya Kiongozi wa Wagner Group kuudanganya ulimwengu jana kuteka Bakhmut yatajwa

    "Kuna sababu kadhaa, kwanza wanahitaji angalau ushindi wa mbali, kwa sababu tayari wameifedhehesha dunia nzima wakati hawana uwezo wa kuchukua kituo cha mkoa kwa zaidi ya miezi 9 Cherevaty, in an interview with Ukraine's Radio NV, said there are two significant reasons why Prigozhin appears to...
  8. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Katika ulimwengu huu wa digitali, ni utahira kukataa kuletewa Intaneti ya kasi ya juu kwa bei nafuu ya Elon Musk

    Na wote tunashuhudia kwa jinsi internet inavyozidi kuwa sehemu kubwa ya maisha yetu, Dunia ya sasa Internet ni hitaji moja wapo muhimu katika kuondoa ujinga, kurahisisha mawasiliano, kufanya tafiti, kufanya biashara, n.k. Ni muda sasa umepita ishu ya internet ya Elon Musk kuletwa bongo...
  9. J

    JamiiForums Tanzania Je, ulipata kujua mwaka ambao Ulimwengu ulimjua rasmi Yesu kuwa ndiye Masihi aliyetabiriwa?

    Ukisoma Luka 3:1 inatambulisha kuwa katika mwaka wa 15 wa Roman Emperor Tiberius Caesar (Kaisari Tiberius). Halafu ukienda chini kwenye hiyo Sura ya 3 unakuta masimulizi ya Yesu Kubatizwa katika Mto Yordan na Yohana. Na kwakweli, kwakuwa Wayahudi walikuwa wakiujua unabii mwingine wa Daniel...
  10. NetMaster

    JamiiForums Tanzania Hali ni mbaya kwenye ubunifu wa Programming kwa wahitimu wa IT Tanzania, Roughly 80% wanaishia kujua html tu.

    Wengi huwa wanaambulia html tena ile basic kabisa, wachache angalau wataongezea php, javascript, wachache sana hawa wenye passion ndio wataingia mpaka kwenye python, c#, c++, java... Hapa nazungumzia kuelewa kwa lengo la uundaji na ubunifu sio kukariri tu kwajili ya test kisha baada ya hapo vina...
  11. Izizimba

    JamiiForums Tanzania Je, wajua Ulimwengu mzima ikiwa kila Mwanaume ataoa Mwanamke mmoja, Wanaume milioni 65.51 watakosa wake wa kuoa?

    Hadi kufikia Mwaka 2021, idadi ya wanaume duniani ilikuwa 3,970,238,390 au milioni 3,970 au bilioni 3.97, wakiwakilisha 50.42% ya idadi ya watu ulimwenguni. Idadi ya wanawake duniani ilikadiriwa kuwa 3,904,727,342 au milioni 3,905 au bilioni 3.905, ikiwa ni 49.58% ya idadi ya watu duniani...
  12. Hemedy Jr Junior

    JamiiForums Tanzania Fahamu haya kabla hujafa/kupoteza uhai katika ulimwengu huu wa mwili na roho

    1. Usingizi 2. Ndoto 3. Mateso 4. Ridhiki 5. Afya 6. Uhuru • Ushawai kuota ndoto yenye mateso,haya unatambua kuwa usingizi ni nusu kifo? na ushawai kuota umeumwa na unapelekwa hospitalin ila gafla ukashutuka na ukajikuta uko na (Afya njema kabisa🙏) ukaamka na kwenda kutafuta Ridhiki, unapata...
  13. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?

    Wanabodi Declaration of Interest Mimi Paskali sio GT, ila naweza kuandika contents kwa ajili ya ma GT only. JF ilipoanzishwa na Mkuu Maxence Melo na Mike Mushi, was meant to be a home of Great Thinkers!, Hili ni bandiko la maswali fikirishi kwa ma GT only!. Wewe kama ni mwenzangu na mimi, na...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini KEMET haipewi heshima yake katika ulimwengu huu?

    Ni mara chache sana kukutana na msomi ukamuuliza habari za Kemet akakujibu kwa ufasaha. Hii inaonesha ni kwa kiasi gani knowledge ya Kemet iliyofichwa hasa hasa kwa waafrika ili kutodhihilisha ukuu wa mtu mweusi katika hii dunia. Waafrika weusi wa Kemet walikuwa wamekwisha gundua kila kitu...
  15. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Kama ulimwengu ungekuwa ni Usiku tu ama Mchana tu, maisha yetu yangekuwaje?

    Kwa sasa maisha yetu ya kila siku huamuliwa kwa kuwepo kwa mchana na usiku. Jee ulimwengu ungekuwa na usiku tu ama na mchana tu, maisha yetu yangekuwaje??
  16. Mamujay

    JamiiForums Tanzania Ulimwengu wa roho haujui lolote kuhusu wewe kama hujatamka lolote

    Hi, Karibu uchukue nondo. Usitamke jambo kumwambia mtu yoyote kama huna uhakika limekamilika. Mtu umevalishwa pete ya uchumba, unatangaza kila kona, mtu unataka ununue gari unamtangazia kila mtu. Unajuaje wote ni watu wazuri? Kama una jambo la kheri unataka ufanye, chunga sana mdomo wako...
  17. Zingzingzing

    JamiiForums Tanzania Kama kweli hisi tetesi za kumsajili thomas ulimwengu ni za ukweli, basi usajili wa kukurupuka hutoisha.

    Kuna tetesi kuwa mchezaji wa zaman wa tp mazembe thomas ulimwengu atatambulishwa hii leo na club ya yanga, hvi kuna haja gani ya kumsajili garasa kwa sasa. Viongozi kwann?
  18. J

    JamiiForums Tanzania Picha ya mchezaji wa Argentina yachafua ulimwengu mzima

    Jamaa baada ya kupewa golden globe akafanya ishara Kama Ana**MBA vile mbele ya watu bilioni 4
  19. D

    JamiiForums Tanzania Maisha ni fomula ya ulimwengu ikiwemo kupata au kukosa

    Habari za asubuhi ndugu na marafiki! Kupevuka kiakili ni kuyajua ya Ulimwengu! Dini karibu zote pia zinatumia sehemu ya formula. hii ya Ulimwengu ambayo kuijua siyo lazima usali dini zilizokuja afrika kwa majahazi na meli! Nitaufupisha Uzi huu kwa maelezo machache kwani somo hili ni pana sana...
  20. Mwanaume wa kiroho

    JamiiForums Tanzania Mambo usiyoyajua kuhusu ulimwengu wa kiroho

    Nina ushahidi tosha juu ya ulimwengu wa kiroho sana ila sasa ningependa kukushirikisha juu ya watoto wa kiroho na jinsi wanavyopatikana . Mara nyingi wanapatikana katika ndoto pale unapoota unazini au unafanya mapenzi huwa no kweli katika ulimwengu wa kiroho na unapata watoto kabisa niamini...
Back
Top Bottom