Viongozi wetu wanapatikanaje?
Na tunapimaje uwezo wao wa kuongoza? Je tuna mfumo wa kuwatengeneza? Job Description ya Kuwa Rais, Waziri Mkuu, Spika kwa Tanzania inataka vitu gani?
Nimekumbuka hayo kutoka kwa hawa Nguli wawili. Mwaka 2015 baada ya vikao vya CCM DODOMA, Prof na Mwalimu wangu, Prof Mwandoshya alikuja na mshangao kwa CCM na Vikao vyake "kwanini tumemchagua mtu ambaye haijui CCM, hajawahi hata kuwa mjumbe wa kamati ya Siasa ya Tawi" kauli hii ilimtia matatani sana, akaamua kutumia muda mwingi nyumbani kwake Matema Beach Kyela ili pia Kujilinda. Yaliyofuatia wana CCM Wanayajua.
Mwaka 2021 baada ya kifo cha Hayati Magufuli akashika kijiti Mama Samia. Akaibuka Nguli Mwingine, Jenerali Ulimwengu, akamwambia Mama "Kaa kwa kutulia, Tanzania huijui" alimshauri Mama kupata wasaa kuijua Tanzania. Wakati ule sikumwelewa vema Jenerali, lkn sasa naanza kumwelewa.
Hawa watu wawili Prof. Mwandosha na Jenerali Ulimwengu ni watanzania wanaoijua nchi. Kauli zao zinaonesha chngamoto kubwa ya kuwapata viomgozi wetu.
Je, hawa wanaotuongoza wanajua wanakotupeleka?
Na tunapimaje uwezo wao wa kuongoza? Je tuna mfumo wa kuwatengeneza? Job Description ya Kuwa Rais, Waziri Mkuu, Spika kwa Tanzania inataka vitu gani?
Nimekumbuka hayo kutoka kwa hawa Nguli wawili. Mwaka 2015 baada ya vikao vya CCM DODOMA, Prof na Mwalimu wangu, Prof Mwandoshya alikuja na mshangao kwa CCM na Vikao vyake "kwanini tumemchagua mtu ambaye haijui CCM, hajawahi hata kuwa mjumbe wa kamati ya Siasa ya Tawi" kauli hii ilimtia matatani sana, akaamua kutumia muda mwingi nyumbani kwake Matema Beach Kyela ili pia Kujilinda. Yaliyofuatia wana CCM Wanayajua.
Mwaka 2021 baada ya kifo cha Hayati Magufuli akashika kijiti Mama Samia. Akaibuka Nguli Mwingine, Jenerali Ulimwengu, akamwambia Mama "Kaa kwa kutulia, Tanzania huijui" alimshauri Mama kupata wasaa kuijua Tanzania. Wakati ule sikumwelewa vema Jenerali, lkn sasa naanza kumwelewa.
Hawa watu wawili Prof. Mwandosha na Jenerali Ulimwengu ni watanzania wanaoijua nchi. Kauli zao zinaonesha chngamoto kubwa ya kuwapata viomgozi wetu.
Je, hawa wanaotuongoza wanajua wanakotupeleka?