Jenerali Ulimwengu (2021): Samia Haijui Tanzania. Prof. Mwandosya (2015) Magufuli haijui CCM, hajawahi hata kuwa Mjumbe

busar

JF-Expert Member
Dec 22, 2011
1,068
1,061
Viongozi wetu wanapatikanaje?
Na tunapimaje uwezo wao wa kuongoza? Je tuna mfumo wa kuwatengeneza? Job Description ya Kuwa Rais, Waziri Mkuu, Spika kwa Tanzania inataka vitu gani?

Nimekumbuka hayo kutoka kwa hawa Nguli wawili. Mwaka 2015 baada ya vikao vya CCM DODOMA, Prof na Mwalimu wangu, Prof Mwandoshya alikuja na mshangao kwa CCM na Vikao vyake "kwanini tumemchagua mtu ambaye haijui CCM, hajawahi hata kuwa mjumbe wa kamati ya Siasa ya Tawi" kauli hii ilimtia matatani sana, akaamua kutumia muda mwingi nyumbani kwake Matema Beach Kyela ili pia Kujilinda. Yaliyofuatia wana CCM Wanayajua.

Mwaka 2021 baada ya kifo cha Hayati Magufuli akashika kijiti Mama Samia. Akaibuka Nguli Mwingine, Jenerali Ulimwengu, akamwambia Mama "Kaa kwa kutulia, Tanzania huijui" alimshauri Mama kupata wasaa kuijua Tanzania. Wakati ule sikumwelewa vema Jenerali, lkn sasa naanza kumwelewa.

Hawa watu wawili Prof. Mwandosha na Jenerali Ulimwengu ni watanzania wanaoijua nchi. Kauli zao zinaonesha chngamoto kubwa ya kuwapata viomgozi wetu.

Je, hawa wanaotuongoza wanajua wanakotupeleka?
 
Samia hakutakiwa kuwa kiongozi wa hili taifa, hayupo aliyetarajia hili kutokea, ni bahati mbaya ndio imemfanya awepo hapo alipo, na matokeo ya hiyo bahati mbaya ndio sasa anatuonesha kwa vitendo vile alivyo dhaifu asiye na mwelekeo, mjinga ambaye anashindwa hata kulinda rasilimali za taifa, tuna bahati mbaya sana watanganyika.

Huyu mwanamke ataliacha taifa kwenye hali mbaya sana, anaharibu pakubwa ambapo athari za uharibifu wake zitaenda moja kwa moja kuumiza mpaka vizazi vijavyo vya hili taifa, ni jambo baya na la hatari sana pale kiongozi mharibifu anapojigeuza bubu, akijidanganya hiyo ndio hekima, kumbe ni ujinga mtupu, kiongozi lazima uoneshe njia kwa kauli na matendo.
 
Viongozi wetu wanapatikanaje?
Na tunapimaje uwezo wao wa kuongoza? Je tuna mfumo wa kuwatengeneza? Job Description ya Kuwa Rais, Waziri Mkuu, Spika kwa Tanzania inataka vitu gani?

Nimekumbuka hayo kutoka kwa hawa Nguli wawili. Mwaka 2015 baada ya vikao vya CCM DODOMA, Prof na Mwalimu wangu, Prof Mwandoshya alikuja na mshangao kwa CCM na Vikao vyake "kwanini tumemchagua mtu ambaye haijui CCM, hajawahi hata kuwa mjumbe wa kamati ya Siasa ya Tawi" kauli hii ilimtia matatani sana, akaamua kutumia muda mwingi nyumbani kwake Matema Beach Kyela ili pia Kujilinda. Yaliyofuatia wana CCM Wanayajua.

Mwaka 2021 baada ya kifo cha Hayati Magufuli akashika kijiti Mama Samia. Akaibuka Nguli Mwingine, Jenerali Ulimwengu, akamwambia Mama "Kaa kwa kutulia, Tanzania huijui" alimshauri Mama kupata wasaa kuijua Tanzania. Wakati ule sikumwelewa vema Jenerali, lkn sasa naanza kumwelewa.

Hawa watu wawili Prof. Mwandosha na Jenerali Ulimwengu ni watanzania wanaoijua nchi. Kauli zao zinaonesha chngamoto kubwa ya kuwapata viomgozi wetu.

Je, hawa wanaotuongoza wanajua wanakotupeleka?

Mwandosha ni nani! Sijawahi sikia jina hili tangu dunia ianze!
 
.
Hawa watu wawili Prof. Mwandosha na Jenerali Ulimwengu ni watanzania wanaoijua nchi. Kauli zao zinaonesha chngamoto kubwa ya kuwapata viomgozi wetu.

Je, hawa wanaotuongoza wanajua wanakotupeleka?

Hao watu wako unapimaje uwezo wao wa kuijua nchi? Ujuzi wao umewafikisha wapi wao wenyewe kwanza?

Hii nchi ni ya watanzania wote. Acheni Makasiriko yenu ya rejareja.
 
Viongozi wetu wanapatikanaje?
Na tunapimaje uwezo wao wa kuongoza? Je tuna mfumo wa kuwatengeneza? Job Description ya Kuwa Rais, Waziri Mkuu, Spika kwa Tanzania inataka vitu gani?

Nimekumbuka hayo kutoka kwa hawa Nguli wawili. Mwaka 2015 baada ya vikao vya CCM DODOMA, Prof na Mwalimu wangu, Prof Mwandoshya alikuja na mshangao kwa CCM na Vikao vyake "kwanini tumemchagua mtu ambaye haijui CCM, hajawahi hata kuwa mjumbe wa kamati ya Siasa ya Tawi" kauli hii ilimtia matatani sana, akaamua kutumia muda mwingi nyumbani kwake Matema Beach Kyela ili pia Kujilinda. Yaliyofuatia wana CCM Wanayajua.

Mwaka 2021 baada ya kifo cha Hayati Magufuli akashika kijiti Mama Samia. Akaibuka Nguli Mwingine, Jenerali Ulimwengu, akamwambia Mama "Kaa kwa kutulia, Tanzania huijui" alimshauri Mama kupata wasaa kuijua Tanzania. Wakati ule sikumwelewa vema Jenerali, lkn sasa naanza kumwelewa.

Hawa watu wawili Prof. Mwandosha na Jenerali Ulimwengu ni watanzania wanaoijua nchi. Kauli zao zinaonesha chngamoto kubwa ya kuwapata viomgozi wetu.

Je, hawa wanaotuongoza wanajua wanakotupeleka?
yeye ulimwengu anaijua nchi?
 
"E="denooJ, post: 47611876, member: 589148"]
Samia hakutakiwa kuwa kiongozi wa hili taifa, hayupo aliyetarajia hili kutokea, ni bahati mbaya ndio imemfanya awepo hapo alipo, na matokeo ya hiyo bahati mbaya ndio sasa anatuonesha kwa vitendo vile alivyo dhaifu asiye na mwelekeo, mjinga ambaye anashindwa hata kulinda rasilimali za taifa, tuna bahati mbaya sana watanganyika.

Huyu mwanamke ataliacha taifa kwenye hali mbaya sana, anaharibu pakubwa ambapo athari za uharibifu wake zitaenda moja kwa moja kuumiza mpaka vizazi vijavyo vya hili taifa, ni jambo baya na la hatari sana pale kiongozi mharibifu anapojigeuza bubu, akijidanganya hiyo ndio hekima, kumbe ni ujinga mtupu, kiongozi lazima uoneshe njia kwa kauli na matendo.
[/QUOTE]"

Tanzania haijawahi kupata rais bora kama SAMIA Kuanzia nyerere na waliomfuata. Tanzania inamhitaji zaidi Samia kwa sasa kuliko hata wakati wote. Samia anasemwa kwa ubaya tu ila makosa ni ya wataramu wake yaani baraza,chama,bunge,wanasheria na dola.
Jaribu kuwa rais alafu uone
 
"E="denooJ, post: 47611876, member: 589148"]
Samia hakutakiwa kuwa kiongozi wa hili taifa, hayupo aliyetarajia hili kutokea, ni bahati mbaya ndio imemfanya awepo hapo alipo, na matokeo ya hiyo bahati mbaya ndio sasa anatuonesha kwa vitendo vile alivyo dhaifu asiye na mwelekeo, mjinga ambaye anashindwa hata kulinda rasilimali za taifa, tuna bahati mbaya sana watanganyika.

Huyu mwanamke ataliacha taifa kwenye hali mbaya sana, anaharibu pakubwa ambapo athari za uharibifu wake zitaenda moja kwa moja kuumiza mpaka vizazi vijavyo vya hili taifa, ni jambo baya na la hatari sana pale kiongozi mharibifu anapojigeuza bubu, akijidanganya hiyo ndio hekima, kumbe ni ujinga mtupu, kiongozi lazima uoneshe njia kwa kauli na matendo.
"

Tanzania haijawahi kupata rais bora kama SAMIA Kuanzia nyerere na waliomfuata. Tanzania inamhitaji zaidi Samia kwa sasa kuliko hata wakati wote. Samia anasemwa kwa ubaya tu ila makosa ni ya wataramu wake yaani baraza,chama,bunge,wanasheria na dola.
Jaribu kuwa rais alafu uone[/QUOTE]Hao wasaidizi wanamshauri vibaya huku yeye anawatazama tu, amejigeuza bubu, ndio maana nimemuita mjinga dhaifu, mimi siwezi kuwa kiongozi nikafanya vibaya kama yeye.
 
Samia hakutakiwa kuwa kiongozi wa hili taifa, hayupo aliyetarajia hili kutokea, ni bahati mbaya ndio imemfanya awepo hapo alipo, na matokeo ya hiyo bahati mbaya ndio sasa anatuonesha kwa vitendo vile alivyo dhaifu asiye na mwelekeo, mjinga ambaye anashindwa hata kulinda rasilimali za taifa, tuna bahati mbaya sana watanganyika.

Huyu mwanamke ataliacha taifa kwenye hali mbaya sana, anaharibu pakubwa ambapo athari za uharibifu wake zitaenda moja kwa moja kuumiza mpaka vizazi vijavyo vya hili taifa, ni jambo baya na la hatari sana pale kiongozi mharibifu anapojigeuza bubu, akijidanganya hiyo ndio hekima, kumbe ni ujinga mtupu, kiongozi lazima uoneshe njia kwa kauli na matendo.
Mkuu

BADO unaamini hivyo!!?

Mi nadhani kuna architect waliofanya haya yakawezekana!!
 
Samahanini maana inawezekana mimi ndio sijui, hivi ukiwa mbunge unapaswa uhudhurie vikao vingapi vya chama???

Hivi unakuwaje Mbunge na hukijui chama ilhali una maelfu ya vikao unahudhuria kuanzia vya jimbo mpaka ngazi ya Taifa, vile vya siri mpaka vya figisu za uchaguzi, vya kura za maoni mpaka teuzi???

Hili la Magufuli kutokijua chama naonaga ni pumba ambayo haijawahi make sense kabisa kwangu
 
"E="denooJ, post: 47611876, member: 589148"]
Samia hakutakiwa kuwa kiongozi wa hili taifa, hayupo aliyetarajia hili kutokea, ni bahati mbaya ndio imemfanya awepo hapo alipo, na matokeo ya hiyo bahati mbaya ndio sasa anatuonesha kwa vitendo vile alivyo dhaifu asiye na mwelekeo, mjinga ambaye anashindwa hata kulinda rasilimali za taifa, tuna bahati mbaya sana watanganyika.

Huyu mwanamke ataliacha taifa kwenye hali mbaya sana, anaharibu pakubwa ambapo athari za uharibifu wake zitaenda moja kwa moja kuumiza mpaka vizazi vijavyo vya hili taifa, ni jambo baya na la hatari sana pale kiongozi mharibifu anapojigeuza bubu, akijidanganya hiyo ndio hekima, kumbe ni ujinga mtupu, kiongozi lazima uoneshe njia kwa kauli na matendo.
"

Tanzania haijawahi kupata rais bora kama SAMIA Kuanzia nyerere na waliomfuata. Tanzania inamhitaji zaidi Samia kwa sasa kuliko hata wakati wote. Samia anasemwa kwa ubaya tu ila makosa ni ya wataramu wake yaani baraza,chama,bunge,wanasheria na dola.
Jaribu kuwa rais alafu uone
[/QUOTE]
Yaani Rais anayegawa rasilimali zetu kama Njugu ndio Rais bora!.

Mwarabu hana misitu hata ekari moja unakuja kumgawiya ekari million 8 bure ?.Huyo ni Rais bora umekula maharage ya wapi.
 
Samia hakutakiwa kuwa kiongozi wa hili taifa, hayupo aliyetarajia hili kutokea, ni bahati mbaya ndio imemfanya awepo hapo alipo, na matokeo ya hiyo bahati mbaya ndio sasa anatuonesha kwa vitendo vile alivyo dhaifu asiye na mwelekeo, mjinga ambaye anashindwa hata kulinda rasilimali za taifa, tuna bahati mbaya sana watanganyika.

Huyu mwanamke ataliacha taifa kwenye hali mbaya sana, anaharibu pakubwa ambapo athari za uharibifu wake zitaenda moja kwa moja kuumiza mpaka vizazi vijavyo vya hili taifa, ni jambo baya na la hatari sana pale kiongozi mharibifu anapojigeuza bubu, akijidanganya hiyo ndio hekima, kumbe ni ujinga mtupu, kiongozi lazima uoneshe njia kwa kauli na matendo.
Hakunaga bahati mbaya Mzee katika haya mambo.
 
"E="denooJ, post: 47612015, member: 589148"]
"

Tanzania haijawahi kupata rais bora kama SAMIA Kuanzia nyerere na waliomfuata. Tanzania inamhitaji zaidi Samia kwa sasa kuliko hata wakati wote. Samia anasemwa kwa ubaya tu ila makosa ni ya wataramu wake yaani baraza,chama,bunge,wanasheria na dola.
Jaribu kuwa rais alafu uone[/QUOTE]Hao wasaidizi wanamshauri vibaya huku yeye anawatazama tu, amejigeuza bubu, ndio maana nimemuita mjinga dhaifu, mimi siwezi kuwa kiongozi nikafanya vibaya kama yeye.
[/QUOTE]"

Kuwa rais uone maana kwenye vijiwe vya kahawa mnadanganyana kuwa rais ndie mtu wa mwisho au ni mtu anaeamua kwa mapenzi yake.
Faida ya rais ni kuwa anashirikishwa kila kitu na hivyo anajua kila kitu ila afanyi kila kitu eti kwakuwa ni rais. Yeye anawategemea zaidi wanaomzunguka hvyo lazma aende nao sawa bila kujifanya mwema au katili sana.
Hao wanaomzunguka na ndio waliomfanya awe rais na ndio watakao mfanya awe rais watakavyo leo na kesho.
 
Back
Top Bottom