ujerumani

  1. M

    Uchambuzi: Kante mechi ya Ufaransa vs Ujerumani

    Mzuka wanajamvi! Tahadhari kama hujui kiingereza vizuri kabisa usiendelee chini kusoma. Nimeamua kutumia taaluma yangu kwenye huu Uchambuzi. Omnipresent N'Golo Kante delivers Munich masterclass In 26 days’ time, N’Golo Kante could hold every major honour in the club and inhternational game...
  2. comte

    CHADEMA wananukuu kila kitu kutoka Ujerumani ambako habari ya kubadilishana madaraka ni nadra sana

    Kiongozi wa Ujerumani Angela Merkel amekuwa chancellor wa Ujerumani toka 2005 Jakaya Kikwete kamkuta kamuacha John Pombe Magufuli kamkuta kamuacha Samia Suluhu Hassan kamkuta Huko duniani kafanya kazi na:- Marais 4 wa Marekani, Mawaziri Wakuu 2 wa Canada, Mawaziri Wakuu 3 wa Japan, Marais 4 wa...
  3. beth

    Namibia: Upinzani wakosoa makubaliano ya Serikali na Ujerumani kuhusu mauaji ya kimbari

    Wanasiasa wa Upinzani Nchini humo wameikosoa kitendo cha Serikali kuingia makubaliano na Ujerumani kuhusu mauaji ya kimbari wakati wa Ukoloni, ambapo Taifa hilo liliomba msamaha na kuahidi Dola za Marekani Bilioni 1.3 Wameishutumu Serikali kwa kuwaweka kando wao pamoja na Jamii zilizoathiriwa...
  4. beth

    Ujerumani yaiomba msamaha Namibia kwa mauaji ya kimbari

    Ujerumani imekiri rasmi kufanya mauaji ya kimbari enzi za Ukoloni wa Namibia. Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Heiko Maas ameomba radhi kwa Taifa pamoja na walioathiriwa na matukio hayo. Watawala wa Ujerumani waliua maelfu ya watu kutoka Jamii za Herero na Nama mwanzoni mwa Karne ya 20...
  5. Kurunzi

    Mapadre wa kikatoliki Ujerumani wanaokaidi maagizo ya Kanisa na Kubariki mahusiano ya wapenzi wa jinsia moja

    Mapadre wa kikatoliki Ujerumani wanaokaidi maagizo ya kanisa na kubariki mahusiano ya wapenzi wa jinsia moja. Baraka hizi hutolewea chini ya kampeni inayosema''mapenzi yanashinda''CHANZO CHA PICHA,EPA-EFE Kanisa katoliki nchini Ujerumani limeendelea kuonyesha kukaidi maagizo ya makao makuu ya...
  6. Roving Journalist

    Serikali ya Ujerumani kutoa kiasi cha Shilingi Bilioni 56 za Kitanzania zitakazotumika kwa ajili ya miradi ya mikubwa ya shughuli za Uhifadhi nchi

    Akizungumza leo na Waandishi wa Habari katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti liliyopo wilaya ya Serengeti mkoani Mara Waziri wa Maliasili na utalii,,Dkt.Damas Ndumbaro akiwa na Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania amesema miradi mbalimbalii inayofadhiliwa na Ujerumani iliyopo ndani na nje ya...
  7. kavulata

    Safari ya kwanza ya Rais Samia Ulaya ni vizuri iwe Ujerumani

    Binafsi nimeshaanza kuuona mwanga kupitia mboni za macho ya Rais Mama Samia. Ninamuona Rais Samia akizifuata nyao za Angel Makel wa Ujerumani. Kama Rais mwanamke ni vizuri covid 19 ikipungua aombe kwenda kumtembelea chancellor wa Ujerumani Mama Angel Makel kwa uzoefu na pengine kubadilishana...
  8. Miss Zomboko

    Uhalifu wa chuki za kisiasa waongezeka Nchini Ujerumani

    Takwimu rasmi kuhusu uhalifu unaotokana na siasa nchini Ujerumani zinaonesha kuwa ghasia na uhalifu wa kibaguzi vimeongezeka nchini humu. Waziri wa Mambo ya ndani wa Ujerumani. Horst Seehofer leo amewasilisha takwimu za uhalifu uliotokana na siasa uliofanyika mwaka 2020. Seehofer ameelezea...
  9. Shadow7

    Ujerumani yasitisha Oxford-AstraZeneca kwa walio chini ya miaka 60

    Serikali ya Ujerumani imesema kuwa inasitisha matumizi ya chanjo ya corona ya Oxford-AstraZeneca kwa watu wenye umri ulio chini ya miaka 60, kwasababu wanahofia watu kuganda damu baada ya kupata chanjo hiyo. Tayari watu milioni 2.7 wamepata dozi ya chanjo hiyo katika taifa hilo, na watu...
  10. Infantry Soldier

    Nini kiliua safari za moja kwa moja za mashirika ya ndege ya Ulaya kama Scandinavian Airlines na Lufthansa?

    Mambo vp jamiiforums. Nini kiliua safari za moja kwa moja (Direct Flight) za kuja Tanzania kwa mashirika ya ndege ya Ulaya kama Scandinavian Airlines System (SAS) pamoja na Lufthansa ya Ujerumani? Mbona mkongwe mwenzao KLM bado anakujaga? ========== ========== Jana nikiwa nimepaki gari yangu...
  11. The Assassin

    Kansela wa Ujerumani mama Angela Markel apinga uamuzi wa Twitter kumfungia Donald Trump, asema haukubaliki

    Kiongozi wa Ujerumani mama Angela Markel amepinga uamuzi wa Twitter kumfungia Donald Trump kwa kusema utaratibu huo haukubaliki. Markel amesema vyombo vya ulinzi na usalama ndivyo vilitakiwa kuona kama Trump anahatarisha amani au lah na sio menejimenti ya Twitter. Twitter kwenye utetezi wake...
  12. Analogia Malenga

    Watu karibu 700 wafariki kwa COVID-19 Ujerumani

    Watu 698 wamekufa kutokana na ugonjwa wa COVID-19 kwa muda wa saa 24 zilizopita nchini Ujerumani, hii ikiwa ni kulingana na taasisi ya Robert Koch inayoshughulikia magonjwa ya kuambukiza nchini humu. Idadi hiyo ni ya pili kwa ukubwa kurekodiwa kwa siku moja tangu mripuko wa maradhi hayo...
  13. Analogia Malenga

    Bayume Mohamed Husen: Mswahili aliyeuawa kwenye kambi za manazi Ujerumani

    Mahajub Adam Mohamed ambaye pia alifahamika kwa jina la Bayume Mohmed Husen alizaliwa Dar es Salaam mwaka 1904 kipindi hiko Tanganyika ikiwa ni koloni la Ujerumani Bayume alipigana vita ya Kwanza ya Dunia mwaka 1914 akiwa na miaka kumi. Kipindi hicho wanajeshi watoto walitumika kutoa ishara...
  14. Miss Zomboko

    Ujerumani kufunga maduka mengi na shule kudhibiti Corona

    Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amesema hii leo kwamba sserikali kuu na zile za majimbo wamekubaliana kuhusu rasimu ya mapendekezo ya kuweka hatua kali za kujaribu kudhibiti wimbi la maambukizi ya virusi vya Corona nchini humo. Hatua hizo ni pamoja na kufungwa kwa maduka mengi kuanzia siku...
  15. Kinyungu

    Barabara ya Ujerumani kupewa jina la mwanaharakati wa Tanzania, Lucy Lameck. Alikuwa Waziri wa 1 mwanamke wa Tanzania

    Barabara hiyo ya Wissmannstraße inatarajiwa kubadilishwa jina mwaka ujao Madiwani katika mji mkuu wa Ujerumani , Berlin wamepiga kura ya kuondoa jina la barabara moja linalompatia heshima gavana mmoja wa nyakati za ukoloni katika eneo la Afrika mashariki aliyeshutumiwa kwa kuagiza mauaji na...
  16. Leslie Mbena

    Uhusiano wa CHADEMA, Tundu Lissu na Ubelgiji: Kwanini Tundu Lissu alikimbia ubalozi wa Ujerumani?

    UHUSIANO WA CHADEMA, TUNDU LISSU NA UBELGIJI: KWA NINI TUNDU LISSU ALIKIMBILIA UBALOZI WA UJERUMANI? Leo 20:30hrs 14/11/2020 Ilani ya CHADEMA ikinadiwa na mgombea wao wa Urais, Tundu Lissu, walizunguka Tanzania nzima wakipiga mbiu kuwa watatumia rasilimali za madini kama dhamana kwa ajili ya...
  17. Intelligence Justice

    Kuna nini kati ya CHADEMA, Marekani, Ujerumani, Ubelgiji, Amnesty International na Kenya dhidi ya Usalama wa Tanzania?

    Wakuu, Hili ni bandiko la swali ili kupata uelewa mpana kuhusiana na taswira mpya wanasiasa wa Tanzania na washirika wao wanavyoonesha katika siku za hivi karibuni. Je, kuna uhusiano gani wa ziada nje ya utaratibu wa kawaida kwa nchi tajwa hapo juu na shirika mojawapo la haki za binadamu na...
  18. Elius W Ndabila

    Baada ya watu kugoma kuandamana, Lissu atafuta asylum Ujerumani

    LISSU AMEKIMBIA AU ANAENDELEA KUFANYA SIASA? Na Elius Ndabila Aliyekuwa mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wakili Tundu ANTIPAS MUGWHAI LISU baada ya kushindwa vibaya Uchaguzi alitangaza maandamano yasiyo na ukomo. Maandamano hayo alisema yataanza Jumatatu...
  19. tramadol

    Lissu: Naishi kwenye makazi ya balozi(Ujerumani) kwa sababu maisha yangu hayako salama, nitarejea Ubelgiji

    Tundu Lissu akihojiwa na redio Ujerumani DW anasema amepata simu za kutishiwa amani na ameamua kujificha kwenye makazi ya Balozi wa Ujerumani Anasema maisha yake yako hatarini na anajipanga kuondoka na kurudi Ubeligiji Tundu ni mwanasheria na very treak man tujihadhari naye sana =========...
  20. Ziroseventytwo

    Sola kwa Sasa lipo ujerumani

    Miaka ya 1980-90 mwishoni Mpira nzuri na wakuvutia ulikuwa ukichezwa nchini Italia. Ligi ya Italia Serie A likuwa ndio Bora kabisa duniani. Wachezaji wote wazuri na Bora toka mataifa mengine ya ulaya na America ya kusini pamoja na Africa walipenda kucheza Mpira nchini italia. Ligi yao ilisheheni...
Back
Top Bottom