mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,661
- 18,035
Ronaldo amecheza mechi 4 dhidi ya Ujerumani. Mara zote hizo hajawahi kufunga goli! Je leo atauvunja mwiko huo na kuzifumania nyavu? Ngoja tuone, yetu macho!
Inapendeza...Ronaldo tayari amefanikiwa kuuvunja mwiko wa kutokuwavunga wajerumani. Tayari ametikisa nyavu!! Nawahurumia wasiompenda R7!! Porgugal 1 Ujerumani 0.
Sioo kweliiiPortugal wamejifunga wenyewe magoli mawili na aliyejifunga magoli yote mawili ni huyohuyo!
Wamejifunga magoli mawili, ila wamejifunga watu wawili tofauti!Sioo kweliii
Ger 4 Porgugal 2Walio na updates watuwekee na sisi tulioko maeneo hatarishi tuone jinsi mjerumani anavyotaabika...