Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,502
- 9,280
"Nchi yetu imeshuka kiuchumi tangu lilipoanza janga la #Corona. Tulikuwa tunaingiza Trilion 6 na zaidi kwenye utalii ila kwa sasa mapato yameshuka mpaka trilion 2" Mbunge wa Ilala Mussa Azan Zungu.
"Ujerumani yenyewe imeweka solidarity fund hii ni kwa ajili ya wale wenye uwezo kutoa ili kuwasaidia wale wenye uwezo mdogo. Ukikatwa usijiwaze wewe, waza wale ambao wanahali ya chini kuliko wewe"
"Hii kodi tumeiweka kwa ajili ya watu wenye uwezo. Kati ya watu Milioni 50 wanaomiliki line za simu, watu Milioni 20 tumewatoa hawalipi hii kodi. Wanaolipa ni Milioni 30 ambao tunaamini wanauwezo kiasi. Na tunajuaje wana uwezo ni kwa kupitia TCRA"
"Kuwa na ada ya simu ni uzalendo leo hatuandiki barua, hatuna gharama ya sempu, leo mtu yupo Mwanza anauliza Soko la Pugu ni shilingi ngapi, anauliza soko la samaki ni shilingi ngapi. Hii ni nafasi nzuri tuwe na kodi ya uzalendo"
"Ujerumani yenyewe imeweka solidarity fund hii ni kwa ajili ya wale wenye uwezo kutoa ili kuwasaidia wale wenye uwezo mdogo. Ukikatwa usijiwaze wewe, waza wale ambao wanahali ya chini kuliko wewe"
"Hii kodi tumeiweka kwa ajili ya watu wenye uwezo. Kati ya watu Milioni 50 wanaomiliki line za simu, watu Milioni 20 tumewatoa hawalipi hii kodi. Wanaolipa ni Milioni 30 ambao tunaamini wanauwezo kiasi. Na tunajuaje wana uwezo ni kwa kupitia TCRA"
"Kuwa na ada ya simu ni uzalendo leo hatuandiki barua, hatuna gharama ya sempu, leo mtu yupo Mwanza anauliza Soko la Pugu ni shilingi ngapi, anauliza soko la samaki ni shilingi ngapi. Hii ni nafasi nzuri tuwe na kodi ya uzalendo"