ujenzi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri kuhusu ujenzi

    Habari zenu ndungu zangu, Ninauwezo wa kuweka akiba ya Laki 4 kila mwezi. Nina kiwanja changu cha m 27 kwa 20 pale Mbezi ya Kimara. Maswali yangu ni yafuatayo : 1) Je, naweza kujenga nyumba ya vyumba 4 hapo? 2) Nianzie wapi katika project ya ujenzi wangu? Ninunue kwanza matofali? Shukran kwa...
  2. Mr Q

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa Picha zake tangu ujenzi hadi kukamilika Bei chee!

    Folks hapa bei utajipangia mwenyewe karibu sana
  3. S

    JamiiForums Tanzania Nini kinaendelea kuhusu ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa mkoani Dodoma baada ya kupatiwa mkopo wa kugharamia ujenzi huo?

    Wakati ujenzi wa uwanja wa mpira kwa ufadhili wa mfalme wa Morocco ukiwa hauelewiki maana hakuna kinachoendelea site, naomba kujuzwa ni nini kinaendelea kuhusu ahadi ya kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa katika eneo la Msalato mkoani Dodoma. Nakumbuka iliripotiwa kuwa mkopo wa shilingi...
  4. Practical Idealist

    JamiiForums Tanzania Ofa ya Ujenzi

    UTANGULIZI Practical Idealist ni Account maalumu ya mitandao ya kijamii iliyoanzishwa na watu wenye taaluma na uzoefu mbalimbali katika tasnia ya ujenzi mnamo mwezi May, 2020 katika Jiji la Dar es Salaam huku lengo lake kuu ni kutoa msaada wa Ushauri(Consultation) bure kabisa kwa Watanzania wote...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalum Kwa Waliobakiza Materials Katika Ujenzi Au Asset Katika Project Yoyote

    Umofia kwenu!! Kuna muda unamaliza ujenzi na materials yanabaki, unatafuta wa kukurudishia gharama kdogo wakati ambapo kuna mdau anahitaji materials hayo hayo ulobakisha akamilishe jengo lake. Lakini Case ya pili, umemaliza project au kufunga biashara na Asset au materials yanapigwa vumbi tu...
  6. waltham

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hospitali ya kuelea itakayotoa huduma ziwa Victoria yaelekea kukamilika ujenzi

    Mother hospital kijijini butere subcounty, kakamega county Kenya Hamptons floating hospital is a game changer in the Medical industry in the Lake region economic bloc (LREB) and will serve five Lake Victoria Counties. The floating hospital has been designed and is being build by a large...
  7. Richard

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mwalimu Nyerere hakujenga hospitali ya mkoa wa Mara? Ujenzi ulisimama kwa miaka 40 na sasa kukamilika mwaka huu!

    Kuna mambo ambayo serikali imekuwa ikiyafanya nchi hii yanashangaza sana. Mchoro wa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mara ya kumbukumbu ya Mwalimu Julius Nyerere yaani Kwangwa ulibuniwa mwaka 1975 na baadae mwaka 1977 ujenzi ulianza. Baadae mwaka huo wa 77 ujenzi wa hospitali hii iliyoko Musoma...
  8. hp4510

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kufahamishwa maduka ya vifaa vya ujenzi Kariakoo

    Mwenye kujua maduka ya Vifaa Vya Ujenzi ambayo bei zake ni rafiki Sana Kariakoo anipe direction
  9. Bwegemsela

    JamiiForums Tanzania Gharama za ujenzi wa lodge

    Habari za jioni wana jamvi mm ni kijana wa kitanzania ambaye napambana na hili janga la umasikini, nina bajeti ya 50ml nahitaji kujenga Lodge ya kiwango cha kati Room zisizopungua 7 reception na counter vyumba vyote self, gharama za kiwanja pembeni, naombeni wajuzi mnisaidie kwa ushauri na...
  10. D

    JamiiForums Tanzania Ramani za nyumba na ujenzi

    Doltu Architects offers design and planning services for new construction, renovations and additions for commercial and residential projects.Our architectural fee are competitive and our services are of great value. contacts: 0654003555 mail:doltuarch@gmail.com
  11. S

    JamiiForums Tanzania Mfugale awavimbia Waziri Mkuu na Waziri wa Ujenzi kwa kivuli cha Rais Magufuli?

    Siku kadhaa zilizopita, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alitoa agizo kwamba kutokana na meneja wa Tanroads wa Morogoro Godwin Andalwisye kufanya uzembe wa kutoyafanyia ukaguzi madaraja ya barabara ya Morogoro hadi Dodoma na kusababisha uvunjikaji wa daraja, basi aondolewe mara moja Morogoro na...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Maendeleo hayana chama: Jengo la ofisi za CCM mwenge lavunjwa kupisha ujenzi wa stendi ya kisasa ya Daladala

    Jengo la ofisi za CCM pale mwenge ambalo linafanana kwa ukubwa na uzuri na makao makuu ya Chadema pale Ufipa limevunjwa ili kuruhusu ujenzi wa stendi ya kisasa ya Daladala itakayokuwa mbadala wa makumbusho. Stendi hiyo inayojengwa na Suma JKT ujenzi wake unaenda sambamba na ujenzi wa barabara...
  13. X

    JamiiForums Tanzania Tanroad wamejengewa uelewa wa kutosha wa namna ya kupambana na ujenzi wa dharura

    Ki-geographia, Tanzania ni mojawapo ya nchi za ukanda wa tropical pamoja na equatorial. Ina tabia ya kupata mvua kubwa na za mara kwa mara. Maji ya mvua hutengeneza makorongo au mito ya kudumu. Miundombinu muhimu kama ya barabara na vivuko hutegemeana na ufahamu na uelewa mkubwa hasusan Nyanja...
  14. MIMI BABA YENU

    JamiiForums Tanzania Dr. Abbas: Tenda ya ujenzi wa reli ya SGR kutoka Mwanza-Isaka itatangazwa wakati wowote

    Shirika la Habari la Kimataifa la CNBC Africa tarehe 29 Februari, 2020 limerusha kwa zaidi ya nchi 100 duniani makala inayoeleza mafanikio ya Tanzania katika sekta mbalimbali Ripoti ya RMB ya mwaka 2020 imeitaja Tanzania imekuwa ya 21 duniani, Afrika imekuwa ya 4 na Afrika Mashariki imekuwa ya...
  15. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Tumia mbinu hii, Kupunguza gharama za ujenzi

    Baada ya kuona watu wengi wanaumiza kichwa juu ya gharama za ujenzi, kuanzia online hadi offline, nimeona kushare uzoefu wangu nanyi ni jambo muhimu.Kabla ya kukupa mbinu , nitangulize ushauri huu. Jambo la muhimu kuliko yote la kuelewa kabla hujaanza ujenzi ni kuwa, ujenzi ni mradi endelevu...
  16. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Shuhudia shughuli ua uchepushaji mto rufiji ujenzi wa Nyerere hydro power dam

    Naona sasa kazi inaenda kwa kasi ya kuridhisha, tunasubiri hili bwawa kwa hamu kubwa ili bei ya umeme ishuke, umeme wa uhakika, na kunawiri kwa viwanda pamaoja na kushuka kwa gharama za uzalishaji nanhivyo kuongeza ushindani sokoni kwa bidhaa zinazozalishwa ndani. video ina maelezo ya ziada.
  17. Fundi mahiri wa Ujenzi

    JamiiForums Tanzania Pata ushauri kuhusu gharama halisi za ujenzi kulingana na mchoro wako, location ya site na landscape ya kiwanja

    Kwa mahitaji ya kutaka kujua gharama halisi utakazotumia katika kukamilisha ujenzi wa jengo lako (BOQ). Natoa huduma ya kufanya mchanganuao wa idadi halisi ya materials utakazotumia mpaka kukamilisha ujenzi. MAHITAJI 1. Mchoro 2. Kufika site. 1. MCHORO Mchoro utanisaidia kujua ukubwa wa...
  18. gango2

    JamiiForums Tanzania Mbona ujenzi barabara Makongo juu wasua sua sana! JASCO shida nini!

    Takribani miezi 4 sasa imeisha toka ujenzi wa barabara hii ya makongo juu kuzinguliwa (November 1) lakini ujenzi wake umezidi kusua sua kiasi kwamba unatia mashaka kama kweli mradi huu upo au ni danganya toto. Miezi 4 sasa hakuna maendeleo yoyote yaliyofanyika na hata hii kampuni ya JASCO...
  19. winnerian

    JamiiForums Tanzania Mikataba minne ya ujenzi wa barabara ya kuanzia Kabingo kwenda mpakani mwa Kigoma na Burundi (Km260) imesainiwa

    Imesainiwa mikataba minne na kwa ufupi tu fedha zote zinatokana na waafrica ikiwemo Watanzania maana ni za Bank ya Maendelo ya Africa lakini cha kusikitisha na kushangaza wote waliopewa zabuni hizi ni wakandarasi kutoka china, katika wakandarasi wote wanne wote ni wachina. Naomba kama mzalendo...
  20. esther mashiker

    JamiiForums Tanzania Wazee wampongeza Rais Magufui ujenzi bwawa la Nyerere

    CHAMA cha Saidia Wazee Tanzania (SAWATA) kimempongeza Rais John Magufuli kwa ushupavu, alioonesha wa kuamua kutekeleza ujenzi wa Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Mto Rufi ji wa Julius Nyerere Hydropower Project (JNHPP), ambao ujenzi wake kwa sasa umefi kia asilimia 10. Mradi huo wa kuzalisha...
Back
Top Bottom