ujenzi

  1. elivina shambuni

    Ujenzi meli ya kisasa Ziwa Victoria wafikia asilimia 35

    UJENZI wa meli mpya ya kisasa Ziwa Victoria umefikia asilimia 35, ambao unatarajia kugharimu Sh. bilioni 86 hadi kukamilika kwake. Hayo yameelezwa juzi jijini Mwanza na Kaimu Mhandisi Mkuu wa Kampuni ya Huduma za Meli (Mscl) Mwanza, Abel Gwanafyo, kwa niaba ya ofisa mtendaji mkuu wa huduma hizo...
  2. Analogia Malenga

    RC Makonda atembelea mradi wa ujenzi wa njia nane kutoka Morocco hadi Mwenge

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo ametembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa barabara nne mpya kutoka Morocco hadi Mwenge ambapo kukamilika kwa njia hizo kutafanya idadi ya barabara kufikia nane jambo linalotarajiwa kupunguza na ikiwezekana kumaliza tatizo la foleni kwenye...
  3. elivina shambuni

    Mradi wa ujenzi wa Meli mpya na Chelezo washika kasi

    Mkurugenzi wa Idara ya Habari – MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi alitembelea mradi wa ujenzi wa meli ya kisasa ambayo ni meli kubwa kuliko zote katika Ukanda wa Afrika Mashariki pamoja na ujenzi wa chelezo kwa ajili ya matengenezo na marekebisho ya meli mbalimbali ikiwa...
  4. beth

    RC Makonda aagiza Kampuni ya Ujenzi ya Nyanza kutopewa mradi wowote ndani ya Dar

    Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda amewapiga marufuku Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS) kuipa mradi wowote Kampuni ya Ujenzi ya Nyanza ndani ya mkoa wa Dar RC Makonda ametoa maagizo hayo baada ya Kampuni hiyo kutumia miezi 12 kujenga Barabara ya Kilometa 3.2 ya Kitunda-Kivule ya kiwango cha...
  5. F

    Kampuni ya ujenzi

    We are registered company deals with; House plan design and certify, Site consultation and supervision, Design and Installation of building services (water supply and waste water system, AC, CCTV, smoke detectors etc) Environmental impact assessment and Audit. For any clarification or further...
  6. J

    Waziri Jaffo ampa siku 14 DC wa Iringa Mjini kukamilisha ujenzi wa Hospitali ya Wilaya

    Waziri wa Tamisemi mh Jaffo amesikitishwa na viongozi wa mkoa wa Iringa kushindwa kujenga hospitali ya wilaya kwa wakati. Mh Jaffo amempa siku 14 mkuu wa wilaya ya Iringa mh Kasesela awe amekamilisha ujenzi huo kwa 100% vinginevyo wasilaumiane. DC Kasesela ameahidi kukamilisha ujenzi huo ndani...
  7. Nendubotho Sunguya

    Kuchangia kwa hiari ujenzi barabara ya Msongola jimbo la Ukonga

    Habari wanajukwaa. Kwa dhati ya moyo wangu ninalileta jambo hili mikononi mwenu nikiamini linawezekana. Kama unatokea Mbagala kuna kipande kutokea Mbande mpaka Msongola (kilimo) ambacho sio kwamba tu hakina lami bali ni mashimo na makorongo yasiyohimilika kabisa. Kero hiyo ya barabara...
  8. ChoiceVariable

    Ushauri kwa Serikali kuhusu TARURA na Wizara ya Ujenzi

    Habari ndugu wana jukwaa, Napenda kutoa ushauri kwa serikali iangalie uwezekano wa kuihamishia Tarura chini ya wizara ya ujenzi na uchukuzi kutoka Tamisemi na kuondoa mambo ya mawasiliano kutoka wizara ya ujenzi kupeleka wizara ya habari Ili kuleta ufanisi masuala ya barabara yawe chini ya...
  9. Mzee Mwanakijiji

    Pendekezo Chanya: Rais Magufuli aanzishe Mfuko wa Ujenzi Mpya na Maendeleo wa Taifa (MUMT)

    Mkazi wa Kijiji cha Nohli, Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma akihifadhi mazao juu ya paa la nyumba kama alivyokutwa kijijini. PICHA: IBRAHIM JOSEPH (Nipashe) Na. M. M. Mwanakijiji Tumekuwa tukiona mara kwa mara Rais John Magufuli akiagiza utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo. Na tumeona...
  10. FRANCIS DA DON

    Napendekeza ujenzi a garden / bustani kubwa viwanja vya Jangwani

    Painuliwe juu vizuri, pawekwe level, pachimbwe mitaro mipana iliyoenda chini vya kutosha na ijengewe vizuri (water drainage canals). Padizainiwe garden moja kali sana, yawekwe mabenchi ya zege mazuri kabisa, watu wawe wanapunga upepo na kufanya picnic. ______________________________...
  11. R

    Ujenzi wa barabara ya Tanga hadi Pangani, malipo ya watakaopitiwa na barabara mustakabali wake ni upi?

    Hii barabara inapitia mitaa hii ambayo ina wakazi ambao nyumba za zimewekewa X na namba nyekundu. Ni Mwembeduga-Mwan'gombe- Mwakidila- Mwahako- Neema mpaka Pangani. Sehemu nilizotaja watu wako wansubiria kwa hamu walipwe wapate ziada wajenge na kupata myaji. Lakini nijuavyo (I stand to be...
  12. Black Thought

    Pata ramani ya nyumba aina yoyote kwa bei nafuu

    Habari wakuu, Ninatoa huduma ya michoro ya ramani za nyumba. Ramani zipo nyingi za aina na ukubwa tofauti, hivyo nitatoa kulingana na mahitaji ya mteja na kufanya marekebisho kidogo ili kukidhi hitaji husika. Utanipa 'details' zako kamili na maelezo ya kiwanja chako. Marekebisho ninayofanya ni...
  13. S

    Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo waweza kurejea rasmi hivi karibuni

    Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ambao wafuasi wa Chama cha Lumumba walidai ni wa kinyonyaji unatarajiwa kurejea rasmi. Sasa Bagamoyo kuwa kama Dubai. ======== Discussions are ongoing to get the China-backed US$10 billion Bagamoyo Port project in Tanzania, which was “suspended indefinitely” by...
  14. BAK

    Mkurugenzi TPA: Mkataba wa Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ungeifilisi Tanzania

    Bandari ya Bagamoyo ingefilisi, kuuza nchi Sunday May 19 2019 Kwa ufupi Pamoja na kusamehewa kodi na ushuru mbalimbali kama zile za lazima kisheria, kulipwa fidia ya hasara ya kibiashara watakayopata kwa mujibu wa mahesabu yao, mwekezaji pia aliweka sharti la kuachiwa ajipangie bei ya kuwatoza...
  15. S

    Kufutwa kwa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ni dharau kwa Rais Kikwete na watu wa Pwani

    Kufutwa kwa mradi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ni ujumbe wenye taarifa kamili kwamba awamu ya tano inadharau mipango na miradi mizuri iliyoanzishwa na awamu ya 4. Lkn pia, hatua hii inaua ndoto na matumaini ya kupunguza umaskini kwa watu wa Pwani kupitia mradi huu ambao ulipambaniwa na...
  16. Tanzania Railways Corp

    Zijue faida za mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipindi cha ujenzi na mara baada ya ujenzi kukamilika

    Kupitia sera ya kitaifa na mkakati wa nchi kufikia uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025 ni Dhahiri na lazima kwa taifa kuwa na miundombinu imara. Ujenzi wa reli ni nguzo kubwa katika kuchochea na kupunguza gharama na muda wa safari kwa abiria na mizigo. Mataifa yenye nguvu duniani yamejengwa na...
  17. Mpinzire

    China na Tanzania zashindwa kuafikiana kwenye ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, Ujenzi wakwama

    Serikali imesitisha mazungumzo na wawekezaji katika Bandari ya Bagamoyo, Mradi ambao ungegharimu Tsh. Trillion 23. Wawekezaji katika mradi huo walikuwa ni China Merchant Holdings International Limited (CMHI) na State General Reserve Fund (SFRF) ya Oman. ====== The government admitted yesterday...
  18. Kaka Pekee

    Miundombinu ya Jiji la dar inaponyesha mvua...

  19. G Sam

    Nani anayegharamia ujenzi wa daraja la Coco Beach? Kama taifa tumewekwa kwenye kapu la akili ndogo?

    Ukipita barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es Salaam baada ya mataa ya barabara inayoelekea Masaki pembeni ya bahari ya Hindi utakuta kuna kadaraja fulani hivi kanaunganisha kona moja na nyingine ambako kako mita chache sana kutoka barabara hiyo na kapo kando kidogo mwa bahari ya Hindi...
  20. J

    Hatimaye ujenzi wa stendi ya mabasi (Mbezi Luis) yaendayo mikoani yaanza kujengwa

    Halmashauri ya jiji la Dsm na ile ya Manispaa ya ubungo zimeanza kusimamia kisiasa ujenzi wa kituo kikuu cha mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani. Kituo hiki ni mbadala wa kile cha ubungo. Source Clouds 360 Maendeleo hayana vyama!
Back
Top Bottom