Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,993
- 144,329
Wakati ujenzi wa uwanja wa mpira kwa ufadhili wa mfalme wa Morocco ukiwa hauelewiki maana hakuna kinachoendelea site, naomba kujuzwa ni nini kinaendelea kuhusu ahadi ya kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa katika eneo la Msalato mkoani Dodoma.
Nakumbuka iliripotiwa kuwa mkopo wa shilingi bilioni 625.1 kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) kwa ajili ya kugharamia ujenzi huo ulishaidhinishwa na Benki hiyo ila kinachoendelea site kwa sasa sijui hivyo naomba kama kuna mwenye taarifa ya kuanza kwa ujenzi huo atupatie.
Ujenzi Kiwanja cha Ndege Msalato waiva
Nakumbuka iliripotiwa kuwa mkopo wa shilingi bilioni 625.1 kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) kwa ajili ya kugharamia ujenzi huo ulishaidhinishwa na Benki hiyo ila kinachoendelea site kwa sasa sijui hivyo naomba kama kuna mwenye taarifa ya kuanza kwa ujenzi huo atupatie.
Ujenzi Kiwanja cha Ndege Msalato waiva