Habari,
Kama imeandikwa. Ningetaka kuunda kama society itakayohusu sekta ya ujenzi.
Kwa hiyo ninahitaji partners kwa ajili ya:
- Kupandisha mtaji
- Kutafuta viwanja
- Kutafuta wateja
- Kuajiri wafanyakazi
- Kufanya taratibu zote za serikali.
Kama uko serious na una interest na sekta hiyo nipe...
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Prof. Riziki Shemdoe ameitaka kampuni ya Tanelec – Arusha kuharakisha utengenezaji wa vifaa vya umeme ikiwemo (switch gears ) ambazo zinasubiriwa kufungwa kwenye kiwanda cha kuzalisha bidhaa za ngozi cha Karanga kilichopo Mkoani Kilimanjaro. Prof...
Kujenga reli ya aina hii ni jambo geni sio tu geni kwetu Tanzania lakini hata kwa mataifa mengine. Hivyo namna bora ya kuitumia, kuitunza, na kuepuka madhara kama yatakuwepo kwa usahihi lazima ianze sasa kabla ujenzi haujakamikika
Yabakie yale tu yanayosubiri hadi ianze kufanya kazi kama vile...
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amezitaka Halmashauri zote nchini kuhakikisha kuwa wanapotenga asilimia 10 ya mapato yao ya ndani kwa ajili ya kuwapatia mikopo vijana,wanawake na watu wenye walemavu wawape fursa hiyo hasa vijana wanaotaka kuondoka kwenye matumizi ya Dawa za kulevya.
Waziri Ummy...
Katika siku za karibuni nimeanza kuona utitiri wa vibarua wakipigika vilivyo kama siafu pale site ya ujenzi wa barabara za juu Ubungo (Ubungo Flyover), ongezeko hili la kasi limetokea ghafla sana.
Je, kuna deadline wanaiwahi au ni nini?
Mshauri wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa Bi Jacquline Musiitwa amesema, maambukizi ya virusi vya Corona yameathiri vibaya uchumi na biashara za Afrika, huku thamani za sarafu za nchi nyingi za Afrika zikishuhudiwa kuporomoka zaidi.
Amezihimiza nchi za Afrika kuendeleza ushirikiano wa kiuchumi...
Building a gravel road takes planning, preparation and the use of specialised grading and compacting equipment. Ideally, you want a smooth, uniform surface that can handle heavy loads and heavy weather without breaking up.
For highly detailed instructions and insights on how to build a gravel...
Western ByPass inaungana na Southern Bypass pamoja kwenye Nairobi - Waiyaki way - Rironi Express way.
Ujenzi wa 10 lane - Kutoka Westlands mpaka Rironi unaendelea pia.. huku ujenzi wa Mlolongo to Westlands ukiandaliwa tayari..
Hii hapa ni inter-change ya Ruaka kwenye Northern Bypass na...
Rais Magufuli yupo sherehe za kuzindua ujenzi wa 51.2 km za barabara ya mji wa kiserikali wa Mtumba, mkoani Dodoma
Barabara hiyo itakuwa na km 11.2 za njia nne, zenye upana wa mita 7 kila upande
Katika sherehe hizo pia kutakuwa na uzinduzi wa Jengo la ofisi za TARURA mji wa Mtumba, katika...
Habari zenu humu ndani.
Mimi nina mashine ambazo naweza kukodisha au nikipata tender nifanye. mashine nilizokuwa nazo ni kama ifuatavyo
1) mashine ya kutengeneza pavers
2) mashine yakutengeneza matofali yale ya south africa
3) concrete mixer
4) tipa kubwa kwa tender za kokoto
5) mashine ya...
Miradi hii ni ya gharama kubwa na utekelezaji wake huchukua miaka mingi.
Ni maoni yangu kuwa, sambamba na ujenzi wa bwawa la mwal Nyerere, serikali ingeanza kutafuta fedha za kujenga njia kuu ya kusafirishia umeme itakayopita magharibi mwa nchi hasa katika mikoa ya Lindi, Ruvuma, Njombe, Mbeya...
Katika pitapita yangu mitandaoni,nimekutana na habari iliyoibuliwa na Bwana mmoja huko twitter kuhusu gharama ambazo serikali imetumia katika kugharamia ujenzi wa huo mradi ambapo muhusika ametoa nyaraka inayoonekana ni nyaraka iliyoandaliwa kwa ajili ya kujadiliwa Bungeni ikionyesha fedha...
Habarini ,wakuu
Naomba msaada kwa wale wenye uzoefu/walio na ujuzi na pia waliofanikisha ujenzi wa Nyumba za mbao ,,mfano mzuri Nyumba za wenzetu wa ulaya, wanipe msaada na maelekezo juu ya mahitaji muhimu ya kuanzisha ujenzi huu, mazingira yanayofaaa kujenga..
Nimeamua nianze ujenzi huu...
Naomba kwa mwenye uelewa kuhusu ubora wa gypsum board zinazotengenezwa hapa nchini (za kichina) na zile maarufu za Thailand.
Je, ni kweli zinatofautiana sana ubora au ni swala la brand tu? Nauliza hivi kwa sababu bei zinatofautiana sana. Za hapa ndani zinauzwa kati ya 14000 na 15000 wakati...
Wananchi wa Jiji la mwanza walifurahi sana walipoona Soko la zamani likivunjwa kupisha ujenzi wa soko mpya. Soko lilipovunjwa wafanyabiashara walisambaa maeneo mbalimbali ili wapate nafasi ya kuendelea na biashara zao.
Kibaya zaidi maeneo waliopelekwa ni maeneo hatarishi na hakuna huduma za...
Habari zenu ndungu zangu,
Ninauwezo wa kuweka akiba ya Laki 4 kila mwezi.
Nina kiwanja changu cha m 27 kwa 20 pale Mbezi ya Kimara.
Maswali yangu ni yafuatayo :
1) Je, naweza kujenga nyumba ya vyumba 4 hapo?
2) Nianzie wapi katika project ya ujenzi wangu? Ninunue kwanza matofali?
Shukran kwa...
Wakati ujenzi wa uwanja wa mpira kwa ufadhili wa mfalme wa Morocco ukiwa hauelewiki maana hakuna kinachoendelea site, naomba kujuzwa ni nini kinaendelea kuhusu ahadi ya kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa katika eneo la Msalato mkoani Dodoma.
Nakumbuka iliripotiwa kuwa mkopo wa shilingi...
UTANGULIZI
Practical Idealist ni Account maalumu ya mitandao ya kijamii iliyoanzishwa na watu wenye taaluma na uzoefu mbalimbali katika tasnia ya ujenzi mnamo mwezi May, 2020 katika Jiji la Dar es Salaam huku lengo lake kuu ni kutoa msaada wa Ushauri(Consultation) bure kabisa kwa Watanzania wote...
Umofia kwenu!!
Kuna muda unamaliza ujenzi na materials yanabaki, unatafuta wa kukurudishia gharama kdogo wakati ambapo kuna mdau anahitaji materials hayo hayo ulobakisha akamilishe jengo lake. Lakini Case ya pili, umemaliza project au kufunga biashara na Asset au materials yanapigwa vumbi tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.