ujenzi

  1. S

    Mfugale awavimbia Waziri Mkuu na Waziri wa Ujenzi kwa kivuli cha Rais Magufuli?

    Siku kadhaa zilizopita, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alitoa agizo kwamba kutokana na meneja wa Tanroads wa Morogoro Godwin Andalwisye kufanya uzembe wa kutoyafanyia ukaguzi madaraja ya barabara ya Morogoro hadi Dodoma na kusababisha uvunjikaji wa daraja, basi aondolewe mara moja Morogoro na...
  2. J

    Maendeleo hayana chama: Jengo la ofisi za CCM mwenge lavunjwa kupisha ujenzi wa stendi ya kisasa ya Daladala

    Jengo la ofisi za CCM pale mwenge ambalo linafanana kwa ukubwa na uzuri na makao makuu ya Chadema pale Ufipa limevunjwa ili kuruhusu ujenzi wa stendi ya kisasa ya Daladala itakayokuwa mbadala wa makumbusho. Stendi hiyo inayojengwa na Suma JKT ujenzi wake unaenda sambamba na ujenzi wa barabara...
  3. X

    Tanroad wamejengewa uelewa wa kutosha wa namna ya kupambana na ujenzi wa dharura

    Ki-geographia, Tanzania ni mojawapo ya nchi za ukanda wa tropical pamoja na equatorial. Ina tabia ya kupata mvua kubwa na za mara kwa mara. Maji ya mvua hutengeneza makorongo au mito ya kudumu. Miundombinu muhimu kama ya barabara na vivuko hutegemeana na ufahamu na uelewa mkubwa hasusan Nyanja...
  4. MIMI BABA YENU

    Dr. Abbas: Tenda ya ujenzi wa reli ya SGR kutoka Mwanza-Isaka itatangazwa wakati wowote

    Shirika la Habari la Kimataifa la CNBC Africa tarehe 29 Februari, 2020 limerusha kwa zaidi ya nchi 100 duniani makala inayoeleza mafanikio ya Tanzania katika sekta mbalimbali Ripoti ya RMB ya mwaka 2020 imeitaja Tanzania imekuwa ya 21 duniani, Afrika imekuwa ya 4 na Afrika Mashariki imekuwa ya...
  5. Dr. Zaganza

    Tumia mbinu hii, Kupunguza gharama za ujenzi

    Baada ya kuona watu wengi wanaumiza kichwa juu ya gharama za ujenzi, kuanzia online hadi offline, nimeona kushare uzoefu wangu nanyi ni jambo muhimu.Kabla ya kukupa mbinu , nitangulize ushauri huu. Jambo la muhimu kuliko yote la kuelewa kabla hujaanza ujenzi ni kuwa, ujenzi ni mradi endelevu...
  6. FRANCIS DA DON

    Shuhudia shughuli ua uchepushaji mto rufiji ujenzi wa Nyerere hydro power dam

    Naona sasa kazi inaenda kwa kasi ya kuridhisha, tunasubiri hili bwawa kwa hamu kubwa ili bei ya umeme ishuke, umeme wa uhakika, na kunawiri kwa viwanda pamaoja na kushuka kwa gharama za uzalishaji nanhivyo kuongeza ushindani sokoni kwa bidhaa zinazozalishwa ndani. video ina maelezo ya ziada.
  7. Fundi mahiri wa Ujenzi

    Pata ushauri kuhusu gharama halisi za ujenzi kulingana na mchoro wako, location ya site na landscape ya kiwanja

    Kwa mahitaji ya kutaka kujua gharama halisi utakazotumia katika kukamilisha ujenzi wa jengo lako (BOQ). Natoa huduma ya kufanya mchanganuao wa idadi halisi ya materials utakazotumia mpaka kukamilisha ujenzi. MAHITAJI 1. Mchoro 2. Kufika site. 1. MCHORO Mchoro utanisaidia kujua ukubwa wa...
  8. gango2

    Mbona ujenzi barabara Makongo juu wasua sua sana! JASCO shida nini!

    Takribani miezi 4 sasa imeisha toka ujenzi wa barabara hii ya makongo juu kuzinguliwa (November 1) lakini ujenzi wake umezidi kusua sua kiasi kwamba unatia mashaka kama kweli mradi huu upo au ni danganya toto. Miezi 4 sasa hakuna maendeleo yoyote yaliyofanyika na hata hii kampuni ya JASCO...
  9. winnerian

    Mikataba minne ya ujenzi wa barabara ya kuanzia Kabingo kwenda mpakani mwa Kigoma na Burundi (Km260) imesainiwa

    Imesainiwa mikataba minne na kwa ufupi tu fedha zote zinatokana na waafrica ikiwemo Watanzania maana ni za Bank ya Maendelo ya Africa lakini cha kusikitisha na kushangaza wote waliopewa zabuni hizi ni wakandarasi kutoka china, katika wakandarasi wote wanne wote ni wachina. Naomba kama mzalendo...
  10. esther mashiker

    Wazee wampongeza Rais Magufui ujenzi bwawa la Nyerere

    CHAMA cha Saidia Wazee Tanzania (SAWATA) kimempongeza Rais John Magufuli kwa ushupavu, alioonesha wa kuamua kutekeleza ujenzi wa Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Mto Rufi ji wa Julius Nyerere Hydropower Project (JNHPP), ambao ujenzi wake kwa sasa umefi kia asilimia 10. Mradi huo wa kuzalisha...
  11. Tanzania Railways Corp

    Maendeleo ya ujenzi wa stesheni za reli ya kisasa - SGR

    MAENDELEO YA UJENZI WA STESHENI ZA RELI YA KISASA - SGR Ujenzi wa Stesheni ya Dar es Salaam wafika 65% Ujenzi wa Stesheni ya Pugu wafika 80% Ujenzi wa Stesheni ya Soga wafika 90% Soma pia: Uzi mkuu unaoonesha yaliyojiri kwenye mradi wa SGR tangu kuanza kwake mpaka mradi ulipofikia hivi sasa
  12. Mfikirishi

    Serengeti: Ujenzi Holela Hifadhini

    Ulishawahi kusikia ujenzi holela? Basi tazama hiyo picha hapo utajifunza kitu. Huwezi amini kuwa hayo ni majengo ya mojawapo ya hoteli za kitalii zinazoendelea kuibuka kama uyoga ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti! (Ninazo picha nyingi sana, nitaambatanisha nyingine very soon!). Hivi NEMC...
  13. Sky Eclat

    Zote ni ghorofa tofauti yake ni vifaa vya ujenzi

  14. Boniphace Kichonge

    Dkt Bashiru akagua na kuridhishwa na ujenzi wa soko la kisasa Morogoro

    Katibu Mkuu wa CCM Dk Bashiru Ali Kakurwa leo Jumamosi Februari 15, 2020 ametembelea na kukagua hatua za mwisho ujenzi wa Soko kuu la kisasa katika Manispaa ya Morogoro. Soko hilo la kisasa linatarajiwa kukamilika Machi 30, 2020 limegharimu kiasi cha *T. Shs Billioni 11,267,070,127.77...
  15. S

    Zitto Kabwe vs Prof. Kitila Mkumbo juu ya ujenzi wa SGR

    Zitto Kabwe: Uharibifu wa Uchumi unaofanywa na Serikali yaMagufuli ni mkubwa sana. Itachukua miaka 10 kurudi Hali ya mwaka 2015 ( ambayo nayo haikuwa nzuri) iwapo ataondolewa madarakani mwaka huu. Akipata miaka 5 mingine itachukua miongo 2 ( miaka 20, two decades) na Marais 2 kurudi 2015 Zitto...
  16. Ole

    Msalato International Airport

    Africa's ambitious infrastructure: Tanzania secures $272m for new airport ''Several African countries, and the African Union itself have prioritised infrastructure development as a means of integrating the continent and connecting people to markets, with an objective of lifting millions out of...
  17. N

    Natafuta wateja wa kokoto za ujenzi

    Wanajamvi, Kampuni yetu ya SASIL LTD inatafuta wateja wa kokoto bora kabisa za kujengea barabara, madaraja,majumba nk. Bei ni maelewano na ni nafuu sana. Kwa maelezo zaidi tuwasiliane kwenye simu namba 0782094435. Ofisi yetu ipo Dar es Salaam lakini tunaweza kupeleka mkoa wowote kwa...
  18. Miss Zomboko

    Tanzania yaongoza Afrika Mashariki kwa kuwa na miradi mingi ya ujenzi na yenye thamani kubwa sana. Kenya yafuata

    Wakati serikali ikiendelea kuwekeza katika miradi mikubwa ya maendeleo hasa katika sekta ya miundombinu, ripoti ya ujenzi ya The Africa Construction Trends Report (2019) iliyoandaliwa na Kampuni ya Deloitte kutoka nchini Uingereza inaonesha kuwa Tanzania inaongoza Afrika Mashariki kwa kuwa na...
  19. Kididimo

    Mawaziri wa Ujenzi na Mawasiliano katika kipindi cha miaka 10 iliyopita wawajibike: Barabara na madaraja mengi yalijengwa chini ya kiwango

    Tumejionea katika mvua hizi namna madaraja yanavyokatika kama chapati au keki. Ni aibu, mengine yana vinondo vya kama lenta za vibanda vya sokoni. Hili halisemwi, ni kwanini? Nini kinafichwa. Ukiangalia barabara nazo zinazolewa na mvua za wastani tu. Mifano ipo ya kutosha kuanzia Katavi...
  20. FRANC THE GREAT

    Israel: Ujenzi wa mfumo mpya wa ulinzi wa chini ya ardhi

    Israel imeanza hii leo kuchimba eneo la mpaka wake na Lebanon kwa ajili ya kufunga mfumo wa kujilinda utakaopita chini ya ardhi hii ikiwa ni mujibu wa jeshi la nchi hiyo. Luteni kanali Jonathan Conrius amesema kwenye mfumo huo kutafungwa vifaa vya kutambua shughuli zozote za uchokozi. Amesema...
Back
Top Bottom