Habari zenu ndungu zangu,
Ninauwezo wa kuweka akiba ya Laki 4 kila mwezi.
Nina kiwanja changu cha m 27 kwa 20 pale Mbezi ya Kimara.
Maswali yangu ni yafuatayo :
1) Je, naweza kujenga nyumba ya vyumba 4 hapo?
2) Nianzie wapi katika project ya ujenzi wangu? Ninunue kwanza matofali?
Shukran kwa maoni yenu wakuu!
Ninauwezo wa kuweka akiba ya Laki 4 kila mwezi.
Nina kiwanja changu cha m 27 kwa 20 pale Mbezi ya Kimara.
Maswali yangu ni yafuatayo :
1) Je, naweza kujenga nyumba ya vyumba 4 hapo?
2) Nianzie wapi katika project ya ujenzi wangu? Ninunue kwanza matofali?
Shukran kwa maoni yenu wakuu!