johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,904
- 141,855
Jengo la ofisi za CCM pale mwenge ambalo linafanana kwa ukubwa na uzuri na makao makuu ya Chadema pale Ufipa limevunjwa ili kuruhusu ujenzi wa stendi ya kisasa ya Daladala itakayokuwa mbadala wa makumbusho.
Stendi hiyo inayojengwa na Suma JKT ujenzi wake unaenda sambamba na ujenzi wa barabara ya kisasa kama Japan ya Mwenge hadi Morocco.
Tunawashukuru sana CCM kwa uzalendo wenu.
Maendeleo hayana vyama!
Stendi hiyo inayojengwa na Suma JKT ujenzi wake unaenda sambamba na ujenzi wa barabara ya kisasa kama Japan ya Mwenge hadi Morocco.
Tunawashukuru sana CCM kwa uzalendo wenu.
Maendeleo hayana vyama!