Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 3,954
- 2,439
Kwa mahitaji ya kutaka kujua gharama halisi utakazotumia katika kukamilisha ujenzi wa jengo lako (BOQ).
Natoa huduma ya kufanya mchanganuao wa idadi halisi ya materials utakazotumia mpaka kukamilisha ujenzi.
MAHITAJI
1. Mchoro
2. Kufika site.
1. MCHORO
Mchoro utanisaidia kujua ukubwa wa Nyumba na design ya Nyumba .
Nikiona Mchoro nitakupa actual estimate ya vifaa utakavyo tumia mpaka kukamilika kwa jengo. Hii itakusaidia sana kukuepusha kuibiwa na mafundi au msimizi wa kazi zako.
2. KUFIKA SITE
Kutanisaidia kujua aina ya Udongo na ukubwa wa slope wa kiwanja chako. Nikisha jua hayo ni takushauri juu ya namna gani ujenzi ufanyike.
Gharama.
Site visiting tshs 20000 kwa dar es salaam.
Cost estimate tshs 50,000.
PIA TUNAJENGA NA KUFANYA FINISHING KWA WATAKAOTAKA HUDUMA ZETU.
Tupo DSM
0655 173113
Whatsup 0655173113
Instagram FUNDI MAHIRI WA UJENZI
Natoa huduma ya kufanya mchanganuao wa idadi halisi ya materials utakazotumia mpaka kukamilisha ujenzi.
MAHITAJI
1. Mchoro
2. Kufika site.
1. MCHORO
Mchoro utanisaidia kujua ukubwa wa Nyumba na design ya Nyumba .
Nikiona Mchoro nitakupa actual estimate ya vifaa utakavyo tumia mpaka kukamilika kwa jengo. Hii itakusaidia sana kukuepusha kuibiwa na mafundi au msimizi wa kazi zako.
2. KUFIKA SITE
Kutanisaidia kujua aina ya Udongo na ukubwa wa slope wa kiwanja chako. Nikisha jua hayo ni takushauri juu ya namna gani ujenzi ufanyike.
Gharama.
Site visiting tshs 20000 kwa dar es salaam.
Cost estimate tshs 50,000.
PIA TUNAJENGA NA KUFANYA FINISHING KWA WATAKAOTAKA HUDUMA ZETU.
Tupo DSM
0655 173113
Whatsup 0655173113
Instagram FUNDI MAHIRI WA UJENZI