uchumi

  1. Influenza

    Mbeya: Mpaluka Nyagali Mdude akamatwa na Heroine, apandishwa kizimbani akikabiliwa na mashtaka ya Uhujumu Uchumi

    Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mdude Nyagali, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya, kujibu shtaka linalomkabili ya uhujumu uchumi baada ya kukutwa na gramu 23.4 za dawa za kulevya aina ya Heroine. Pia soma: 1). Dar, Kinondoni: Yaliyojiri...
  2. Return Of Undertaker

    BoT: Watu watumie huduma za mitandao, benki zikae na waliokopeshwa, riba zifikiliwe kutokana na Corona

    SWAHILI: CORONAVIRUS: BoT YAONGEZA KIWANGO CHA MIAMALA YA KWENYE SIMU NA UNAFUU KWA HATI FUNGANI Kamati ya Sera ya Fedha ya Bodi ya Benki Kuu ya Tanzania imepitisha hatua mbalimbali za kisera zinazolenga kukabiliana na athari za mlipuko wa #COVID19 katika Uchumi ili kudumisha uthabiti wa Sera...
  3. jmushi1

    Hivi uchumi wa Tanzania unaendeshwa na nani?

    Hakuna ubishi kwamba kilimo ndo kimekuwa nguzo kuu ya uchumi wa Tanzania, ambapo kilimo kinachangia 24.5% kwenye GDP. Kilimo kinachangia asilimia 85 kwenye total export, na pia nusu ya waajiriwa wote wanatokea kwenye sekta ya kilimo, kwa mujibu wa data zilizopo mitandaoni. Lakini kwenye uchumi...
  4. Ulimwengu Mbaya

    Kama Sukari tu inatushinda vipi kwenye mdororo wa uchumi

    Kwa kiburi alicho nacho mkuu wetu wa nchi ikatokea tukawekewa vikwanzo vya kiuchumi na mashirika au taasisi za fedha Duniani zikatususa itakueaje ? Najaribu kutafakuri tu
  5. technically

    Magufuli katuangusha kwenye uchumi

    Magufuli alipoinia madarakani kwa mjibu wa report ya BOT February 2016 Export Trade kwenye baadhi ya sector ilikuwa kama ifuatavyo Manufacturing $1.3 B,horticulture $960 M, Fish And Fish Products $402, Baada ya miaka 4 February 2020 Export. Manufacturing $794 M, Horticulture $167 M, Fish And...
  6. OLS

    RIPOTI BoT: Hali ya uchumi ya sasa ni mbaya zaidi ya miaka 5 iliyopita

    Moja kati ya kitu cha kuangalia ili kujua kama tuna uchumi wa viwanda ni kuangalia kiwango ambacho tunazalisha ndani ya nchi, ambacho kwa kupitia viwanda tunaweza kuwa na uuzaji mkubwa wa vitu hivyo nje ya nchi na kufanya uchumi kukua kwa kasi. Awamu hii ilikuja na kauli ya Tanzania ya viwanda...
  7. FRANCIS DA DON

    Ufaransa yasalimu amri na kuondoa lockdown, ni baada ya uchumi kuyumba vibaya

    Baada ya kujifungia ndani kwa muda mrefu, wafaransa wameamua kama kufa na wafe tu, lockdown haivumiliki tena, wame ‘ease’ lockdown ili kunusuru uchumi. Source: BBC TV usiku huu Watu wakipanga foleni ya kupewa msaada wa wali maharage huko Paris, Ufaransa.
  8. FRANCIS DA DON

    Trump asema kama kufa na tufe, lazima tuifungue nchi kuokoa uchumi

    Baada ya uchumi wa Marekani kudorora kutokana na lockdown, na pia baada ya kugundulika kwamba huu ugonjwa ndio kwanza unaanza Marekani, na kwamba hauta ondoka hata baada ya mwaka, pia kutokana na watu kuendelea kufa pamoja na kuwepo lockdown, Trump na jopo lake wanatarajia kufanya maamuzi ya...
  9. Miss Zomboko

    Mwigulu: Wanaosusia vikao vya Bunge wana mpango wa kushusha uchumi wa nchi

    WAZIRI wa Katiba na sheria, Mwigulu Nchemba amesema kitendo cha baadhi ya Wabunge wa Upinzani kususia vikao vya Bunge kwa kuogopa Corona ni ishara ya kutengeneza madaraja na mpango wa kushusha uchumi wa nchi. Waziri Nchemba amesema hayo jana Bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hotuba ya...
  10. FRANCIS DA DON

    Mabeberu waendeleza vita ya uchumi juu ya biashara ya dawa za Corona. Madagascar wadindisha na kusimamia ukucha kuhusu dawa yao ya ‘Covid organica’

    WHO imeendelea kuikandia dawa ya ‘Covid organica ambayo rais Magufuli ameahidi kuiagiza ili kunufaisha waTanzania, kwa kuwa dawa ya Corona ni fursa kubwa sana ya kiuchumi, mabeberu wameendelea kuiponda dawa hiyo wakati wakijiandaa kuiachia dawa yao ambayo itakuwa approved na WHO ili matrillioni...
  11. OLS

    Haijalishi kama inatibu au la, ila ni jambo muhimu kwa uchumi wa Afrika

    Yes! Ni kitu ya Madagascar, inalalamkiwa hii inaonyesha waafrika wamepoteza imani kwa wafrika wenzao, na wako tayari pesa zao kuzipeleka mataifa mengine. Tupo tayari kuchukua dawa za majaribio kutoka nje ya Afrika na kukuza uchumi wa wasio wa afrika huku tukirudi na kulaumu kuzorota kwa uchumi...
  12. GUSSIE

    Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

    Wanabodi, Kwa mujibu wa Rais Magufuli wametuma sample za mimea na wanyama kwa kuzipa majina ya binadamu kwenye maabara kuu ya Taifa Dar es Salaam kwa siri bila wapimaji kufahamu baada ya kupimwa zimetest positive yaani zina corona Hapa ndipo Magufuli ameprove uwana-science wake. Je? Tatizo ni...
  13. steve_shemej

    Mama awapikia watoto wake mawe akiwadanganya ni chakula

    Mjane mmoja nchini Kenya amepikia watoto wake mawe kuwadanganya kwamba chakula kinaiva. Mwanamke mmoja nchini kenya ameelezea vile ambavyo amekuwa akiwapikia watoto wake mawe kuwadanganya kwamba chakula kinaiva. Penina Bahati, mama wa watoto wanane hajafanikiwa kupata kazi zisizohitaji ujuzi...
  14. Miss Zomboko

    Afrika Kusini kulegeza masharti ya Lockdown kuanzia Mei Mosi ili kufufua uchumi wa taifa hilo

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametoa hotuba kwa njia ya televisheni akisema kuanzia tarehe 1 Mei, Afrika Kusini itapunguza hatua za zuio dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona kuwa ngazi ya nne, na kuruhusu baadhi ya biashara kufunguliwa tena. Rais Ramaphosa amesema kuna ushahidi wa...
  15. Corticopontine

    China: Tutafufua Uchumi wetu kwa haraka kuliko Taifa lolote Duniani

    Je, kwanini kampuni za Marekani zinaongeza uwekezaji nchini China wakati wa janga la COVID-19 Ujenzi wa mradi wa Kampuni ya ExxonMobil ya Marekani nchini China wenye thamani ya dola bilioni 10 za Kimarekani ulizinduliwa rasmi jana. Kabla ya hapo, Kampuni ya Walmart ya Marekani ilitangaza...
  16. Magonjwa Mtambuka

    USA PROTESTERS: We don't need more Lockdowns its better to be contracted with SARS-CoV-2 than Lockdown

    Waandamanaji nchini Marekani wameingia mitaani katika majimbo kadhaa wakishinikiza magavana kufungua uchumi wa majimbo yao kwa kuondosha amri ya kutokutoka nje ama 'lockdown'. Marufuku hiyo ya kutokutoka nje imewekwa katika majombo yote ya Marekani ili kudhibiti kusambaa kwa janga la virusi vya...
  17. Tindo

    Hivi wakati wa Katiba ya mwaka 1977, na mchakato wa katiba mpya 2011-2014 uchumi ulikuwa imara kiasi gani?

    Ndugu wanajamvi kuendana na kichwa changu cha habari, najaribu kuuliza uimara wa kiuchumi uliokuwepo 1977 wakati tunapata katiba hii, na uimara wa uchumi uliokuwepo 2011-2014 wakati wa mchakato wa katiba mpya chini ya rasimu ya Warioba? Kuna lugha tuliyopewa siku mbili hizi na serikali kuwa...
  18. CalvinKimaro

    Porojo za ACT kuhusu corona na uchumi

    Ndugu hawa wamegeuka popo kudandia kila tawi. Katika mapendekezo yao kuhami uchumi wanapendekeza mambo mengine hata mwanafunzi wa economics au development studies wa mwaka wa kwanza ataona haiwezekani. Nipitie mapendekezo mawili ili kuonyesha walivyopotoka: 1. Wanapendekeza kila kaya isiyo na...
  19. Analogia Malenga

    Uchumi wa China wadorora kwa 6.8% kutokana na Coronavirus

    Kwa mara ya kwanza baada ya miaka hamsini, uchumi wa China umepungua kwa asilimia 6.8, ofisi ya takwimu ya nchi hiyo imebainisha Wachambuzi wa kiuchumi wametahadharisha kuwa uchumi unaweza ukasinyaa zaidi kutokana na kushuka kwa uhitaji wa bidhaa za kutoka China kwa mataifa mengine Pato la...
  20. Zitto

    KWA UFUPI - Mapendekezo ya ACT Wazalendo kuhami Uchumi wakati wa #COVID19 Tanzania

    KWA UFUPI - Mapendekezo ya ACT Wazalendo kuhami Uchumi wakati wa #COVID19TZA 1. Kila Kaya isiyo na Mfanyakazi wa Sekta Rasmi katika Miji ya Dar es Salaam, Arusha, Dodoma na Mwanza na kila Kaya ya Zanzibar ilipwe Shilingi 300,000 wakati wa ‘partial lockdown’. 2. Wafanyakazi wa Sekta Rasmi...
Back
Top Bottom