johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Msemaji mkuu wa Serikali Dr Abbas amesema uwekezaji mkubwa katika miradi ya kimkakati iliyozalisha ajira lukuki ndio sababu kuu ya kupaisha uchumi wetu.
Dkt. Abbas amesema miradi kama SGR na Stiglers Gorge imekuwa kichocheo cha ongezeko la ajira nchini.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Dkt. Abbas amesema miradi kama SGR na Stiglers Gorge imekuwa kichocheo cha ongezeko la ajira nchini.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!