Kuna faida gani nchi kuhamia kundi la nchi zenye uchumi wa kati?

Tila-lila2

JF-Expert Member
Oct 20, 2019
653
1,058
Ninavyojua mimi kuna nchi ambazo hazitaki kuhamia huko kwa sababu ukishakuwa huko unajiondoa kwenye kundi la nchi zinazotakiwa kusaidiwa na kupata misamaha baadhi na unahamia haraka kwenye kundi la nchi zinazokopesheka. Kwa maana hiyo Tanzania imepata sifa ya kuwa nchi ya kupata mikopo zaidi kuliko misaada.

Ukiangalia kwa undani nchi inayokopesheka ina maana ni nchi yenyewe inakopa na sio wananchi wanakopa. Tayari Tanzania ina deni kubwa sana ukilinganisha na awamu ya JK ilivyokuwa. Ukiangalia fedha zote ambazo Tanzania imekopa hazina athari chanya yeyote kwa wananchi wake wa kawaida.

Inasemekana huko nyuma Tanzania ilikuwa inasita kuingia kundi la nchi hizo kwa sababu ya kukwepa kuwa nchi inayokosa misaada. Nchi nyingine kama India pia nao waliwahi kujichelewesha kwenda kundi la nchi zinazoendelea ili wasikose misaada. Kwani kadri unavyokuwa ndivyo unavyoonesha huhitaji kusaidiwa. Kwa Tanzania wananchi bado wanahitaji kusaidiwa. Benki ya Dunia inafurahi tu kwa Tanzania kuhamia kundi hilo kwa sababu kwao wanapata mteja ambaye anajiamini kuwa ana uwezo wakati kiuhalisia ni hamna kitu kabisa hapo!
 
Ni lower middle sio kati yenyewe. Kwa usemi mwingine ni upper lower income.
 
Ninavyojua mimi kuna nchi ambazo hazitaki kuhamia huko kwa sababu ukishakuwa huko unajiondoa kwenye kundi la nchi zinazotakiwa kusaidiwa na kupata misamaha baadhi na unahamia haraka kwenye kundi la nchi zinazokopesheka. Kwa maana hiyo Tanzania imepata sifa ya kuwa nchi ya kupata mikopo zaidi kuliko misaada.

Ukiangalia kwa undani nchi inayokopesheka ina maana ni nchi yenyewe inakopa na sio wananchi wanakopa. Tayari Tanzania ina deni kubwa sana ukilinganisha na awamu ya JK ilivyokuwa. Ukiangalia fedha zote ambazo Tanzania imekopa hazina athari chanya yeyote kwa wananchi wake wa kawaida.

Inasemekana huko nyuma Tanzania ilikuwa inasita kuingia kundi la nchi hizo kwa sababu ya kukwepa kuwa nchi inayokosa misaada. Nchi nyingine kama India pia nao waliwahi kujichelewesha kwenda kundi la nchi zinazoendelea ili wasikose misaada. Kwani kadri unavyokuwa ndivyo unavyoonesha huhitaji kusaidiwa. Kwa Tanzania wananchi bado wanahitaji kusaidiwa. Benki ya Dunia inafurahi tu kwa Tanzania kuhamia kundi hilo kwa sababu kwao wanapata mteja ambaye anajiamini kuwa ana uwezo wakati kiuhalisia ni hamna kitu kabisa hapo!
Kuna gharama yake nafikiri jiwe bado haelewi hili. Benki ya Dunia pia sio philantropist/msamaria mwema ni mfanyabiashara. Hivyo ni kweli wanafurahia kupata mtu mwingine wa kukopesha na kutokusamehe madeni.
 
Ninavyojua mimi kuna nchi ambazo hazitaki kuhamia huko kwa sababu ukishakuwa huko unajiondoa kwenye kundi la nchi zinazotakiwa kusaidiwa na kupata misamaha baadhi na unahamia haraka kwenye kundi la nchi zinazokopesheka. Kwa maana hiyo Tanzania imepata sifa ya kuwa nchi ya kupata mikopo zaidi kuliko misaada.

Ukiangalia kwa undani nchi inayokopesheka ina maana ni nchi yenyewe inakopa na sio wananchi wanakopa. Tayari Tanzania ina deni kubwa sana ukilinganisha na awamu ya JK ilivyokuwa. Ukiangalia fedha zote ambazo Tanzania imekopa hazina athari chanya yeyote kwa wananchi wake wa kawaida.

Inasemekana huko nyuma Tanzania ilikuwa inasita kuingia kundi la nchi hizo kwa sababu ya kukwepa kuwa nchi inayokosa misaada. Nchi nyingine kama India pia nao waliwahi kujichelewesha kwenda kundi la nchi zinazoendelea ili wasikose misaada. Kwani kadri unavyokuwa ndivyo unavyoonesha huhitaji kusaidiwa. Kwa Tanzania wananchi bado wanahitaji kusaidiwa. Benki ya Dunia inafurahi tu kwa Tanzania kuhamia kundi hilo kwa sababu kwao wanapata mteja ambaye anajiamini kuwa ana uwezo wakati kiuhalisia ni hamna kitu kabisa hapo!
Hapo sawa kumbe kuamia huwa Ni maamuzi tu ya wanasiasa na sio uhalisia wa uchumi,
 
Aya ya pili imebeba ujumbe mahsusi,wenye kuelewa tumekuelewa
 
Tatizo la watanzania wengi aidha hammuamini au kumuelewa JPM yeye anaamini Tanzania sio maskini na kwa imani yake haoni haja ya kuonewa huruma bali kupambana tupate yale maendeleo tunayoyataka. Labda akija Rais mwingine mvivuvivu ndio litakua tatizo ila kwa Magufuli kwa hili la kuonewa huruma sio tatizo
 
Back
Top Bottom