johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,897
- 141,834
Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya firauni
Mbunge Nchambi ameshangiliwa sana na wanaccm wa mkoa wa Shinyanga alipoelezea namna alivyotekeleza kwa ufanisi mkubwa ilani ya CCM.
Nchambi alikuwa akijieleza katika mkutano wa CCM wa mkoa ambapo wabunge walitakiw kutoa mrejesho wa majukumu yao, wabunge wengine waliojieleza ni Stephen Masele na Lucy Mahyenga.
Source Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Mbunge Nchambi ameshangiliwa sana na wanaccm wa mkoa wa Shinyanga alipoelezea namna alivyotekeleza kwa ufanisi mkubwa ilani ya CCM.
Nchambi alikuwa akijieleza katika mkutano wa CCM wa mkoa ambapo wabunge walitakiw kutoa mrejesho wa majukumu yao, wabunge wengine waliojieleza ni Stephen Masele na Lucy Mahyenga.
Source Star tv
Maendeleo hayana vyama!