Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,320
- 24,190
Nimefuatilia kwa karibu huu mjdala wa World Bank kuitaja Tanzania kuwa nchi ya kipato cha wastani wa $1080 kwa kila mtanzania.
This can be misleading. Hapo kuna mchezo wa hesabu ambao Watanzania wengi hawataelwa na kuona ukweli wa hai halisi.
Tatizo la hesabu za wastani ni kutochukulia ukweli kuwa unahitaji mtu mmoja tu au wawili kuongeza wastani wapato la taifa.
Mimi si mchumi lakini GNI, Gross National Income ni jumla ya pato la Taifa ukiligawanya kwa jumla ya watu wote wa Taifa hilo. Hivyo unapata wastani wa pato la kila mtu katika Taifa.
Hivyo basi ukipata kina Sininu Laizer 10, wenye mapato wa bilioni 10 kila mmoja, ati pato la mtanzania kwa wastani limeongezeka, kwa vile umepata mabilionea kumi!
Wakati huo huo yle mkulima wa mahindi Sumbawanga, yule wa pamba kule Misungwi haguswi kimaendeleo na chochote walichopata hao mabilionea 10.
Ndio maana nasema figures can lie, but liars can figure it out!
This can be misleading. Hapo kuna mchezo wa hesabu ambao Watanzania wengi hawataelwa na kuona ukweli wa hai halisi.
Tatizo la hesabu za wastani ni kutochukulia ukweli kuwa unahitaji mtu mmoja tu au wawili kuongeza wastani wapato la taifa.
Mimi si mchumi lakini GNI, Gross National Income ni jumla ya pato la Taifa ukiligawanya kwa jumla ya watu wote wa Taifa hilo. Hivyo unapata wastani wa pato la kila mtu katika Taifa.
Hivyo basi ukipata kina Sininu Laizer 10, wenye mapato wa bilioni 10 kila mmoja, ati pato la mtanzania kwa wastani limeongezeka, kwa vile umepata mabilionea kumi!
Wakati huo huo yle mkulima wa mahindi Sumbawanga, yule wa pamba kule Misungwi haguswi kimaendeleo na chochote walichopata hao mabilionea 10.
Ndio maana nasema figures can lie, but liars can figure it out!