RockCarnegie
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 963
- 1,927
Tangu Serikali na Rais Magufuli atangeze kuwa Tanzania imeingia uchumi wa kati, jiji la Mwanza limekumbwa na uhaba mkubwa wa huduma ya maji!
WanaCCM wakiulizwa kulikoni uchumi huu wa kati na adha ya maji, wao wanajibu hizo ni juhudi za Rais Magufuli!
Leo pia jiji wamepita wakiwatangazia machinga wavae vitambulisho shingoni, vinginvyo wahame mjini!
Viva Jiwe! Viva CCM! Viva Awamu ya viwanda!
WanaCCM wakiulizwa kulikoni uchumi huu wa kati na adha ya maji, wao wanajibu hizo ni juhudi za Rais Magufuli!
Leo pia jiji wamepita wakiwatangazia machinga wavae vitambulisho shingoni, vinginvyo wahame mjini!
Viva Jiwe! Viva CCM! Viva Awamu ya viwanda!